Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hadi leo umekufa mara ngapi[emoji23][emoji23][emoji23]nilivyo vunja ungo niliambiwa ukifanya unakufa[emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watoto wachanga wananunuliwa,na nimeamini hivyo hadi ukubwani[emoji16]
Fanta ya moto na biskuti za MariaHutakiwi kunywa Soda mpaka uwe unaumwa.
Kumbu ulikuwa umedanganywaMuhamad alikuwa mtu mwema kuliko wote duniani
Eti kunguru analichukuaUking'oa jino lazima ulitupe juu ya bati ili ndio liote lingine.
Ana bahati sana huyo mwamba. Angeliwa nyama na wadauUkichana au kukanyaga kitabu cha msahafu basi hapo hapo utakufa au kuwa kichaa.
Sasa kulikuwa na mwamba mmoja tukiwa primary, kwenye ubishani kuhusu hilo yeye huo mkwara akaamua kuuvunja, akachana kitabu na kukikanyaga hicho kitabu kwa hasira, hakuna kitu kilitokea na maisha yakaendelea mpaka leo.
Sio kweli.Nikifa nitazaliwa tena mie kama mie??
Hii inanifanya nisiogope kifo
Duh...sijawahi kutishwa hivyo🤣🤣Wote tuliambiwa sawa
Sijawahi[emoji23],nitajaribu nione[emoji1787]Ndio hadi leo umekufa mara ngapi
Ukikalia kinu huzaiKukaa juu ya mafiga mtoto wa kike huji kuolewa
Ha ha haa,yaan shidaUkikalia kinu huzai
Ila mengine tuliambiwa ili tusifanye kwasababu ni tabia mbaya. Imagine unakalia kinu ambacho tunatwangia chakulaHa ha haa,yaan shida
Walikuwa na akili kweli...ha ha haIla mengine tuliambiwa ili tusifanye kwasababu ni tabia mbaya. Imagine unakalia kinu ambacho tunatwangia chakula
.Sio kila muda tuwe tunakuwa serious sana, acha tuburudike kidogo.
- Kondoo anapigana na radi na radi inapigwa.
- Radi itakupiga ukivaa nguo nyekundu.