RungulaBwana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2018
- 219
- 352
.Sio kila muda tuwe tunakuwa serious sana, acha tuburudike kidogo.
- Kondoo anapigana na radi na radi inapigwa.
- Radi itakupiga ukivaa nguo nyekundu.
Ukila ugali usiku utaota ndoto za kutisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.Sio kila muda tuwe tunakuwa serious sana, acha tuburudike kidogo.
- Kondoo anapigana na radi na radi inapigwa.
- Radi itakupiga ukivaa nguo nyekundu.
Ni kweli, nightmare husababishwa na ulaji mbaya usiku..
Ukila ugali usiku utaota ndoto za kutisha.
Eti mtu akifa anazaliwa tena
Usikute we ulikua kibabu Cha huko Venezuela,Eti mtu akifa anazaliwa tena
Hilo jina sasa? Duh........
Mvua ikinyesha wakati jua linawaka ujue simba anazaa.
Kasokeera/kasokela[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukitaka kupona kijipu uchungu jichoni katazame tundu la choo ambacho hujawahi tumia(aisee,harufu zilitunyoosha)
.
Leka ngukubhula😂😆Kasokeera/kasokela[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nikafikiria haya marungu ya vijana, yanayopakwa vumbi la Congo 🇨🇩.
Yeremia 51:20
Wewe ni rungu langu na silaha zangu za vita;
Ndio. Mataifa yasiyokuwepoEti Yanga sc ni timu ya kimataifa ⁉️
kweli na kimataifa yenyewe ni bahasha iliyowekewa mwiko nyuma.Ndio. Mataifa yasiyokuwepo
Ukikojoa njiani pasina kutema mate, sehemu za siri zitaoza.
Kuna mijusi makazi yao ni kwenye miti, basi tuliambiwa huwa wanaminya korodani na kumtoa ni mpaka shangazi yako aje mtupu.
Ukimeza mbegu za ubuyu, itakuja mea kichwani.
Ukiwa mkubwa utalala sana.
Hivi mtoto wa kikopo ni yupi?Ukisikia harufu ya ubwabwa porini ujue Nyoka anajivua gamba.
Ukimchungulia mtu anakata gogo mzazi wako atakatika matiti
Hutakiwi kula ukiwa umelala ngedere watamaliza mazao shambani
Ukinyoosha kidole makaburini kitaoza
Tulipangwa sana ila ilisaidia kuwa na nidhamu
Nimekumbuka mbaliiLeka ngukubhula😂😆