Jemima Mrembo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 2,864
- 8,328
Wote tuliambiwa sawa[emoji23][emoji23][emoji23]nilivyo vunja ungo niliambiwa ukifanya unakufa[emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote tuliambiwa sawa[emoji23][emoji23][emoji23]nilivyo vunja ungo niliambiwa ukifanya unakufa[emoji16]
Jongoo alibadilisha macho na nyoka na nyoka akampa miguu jongooSio kila muda tuwe tunakuwa serious sana, acha tuburudike kidogo.
Kondoo anapigana na radi na radi inapigwa.
Radi itakupiga ukivaa nguo nyekundu
Yaani wana balaa, wanaanza mapema sanaAisee[emoji16]
Wasasa hawadanganyiki
Angefanya ukubwani angekufa (kwa kuuliwa na wanaomtetea mungu)Ukichana au kukanyaga kitabu cha msahafu basi hapo hapo utakufa au kuwa kichaa.
Sasa kulikuwa na mwamba mmoja tukiwa primary, kwenye ubishani kuhusu hilo yeye huo mkwara akaamua kuuvunja, akachana kitabu na kukikanyaga hicho kitabu kwa hasira, hakuna kitu kilitokea na maisha yakaendelea mpaka leo.
Utazaliwa ukiwa mtu bora zaidi kama ulikiwa mwema, au utazaliwa mtu duni zaidi kama ulikuwa muovu. Kifo ni darajaNikifa nitazaliwa tena mie kama mie??
Hii inanifanya nisiogope kifo
Kumbe sio mjomba au[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe unafanyaje....🤔🤔[emoji23][emoji23][emoji23]nilivyo vunja ungo niliambiwa ukifanya unakufa[emoji16]
Dah nyie ni jasiri kweli, yaani pamoja na vitisho vya kifo lakini bado mlijaribu🤣🤣🤣🤣Wote tuliambiwa sawa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]CCM ni chama kizuri
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kumbe wanadinyana ndani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Rais huwa anavaa vest ya chuma kifuani kuepessha asidunguliwe...sijui kama.samia Naye anavaa hizi.[emoji28][emoji28]