Tajiri wa Kariakoo ajulikanaye kama Primi Mushi kununua na kutapeli nyumba za watu Kariakoo na maeneo mengine nchini yuko nyuma ya nani?

Tajiri wa Kariakoo ajulikanaye kama Primi Mushi kununua na kutapeli nyumba za watu Kariakoo na maeneo mengine nchini yuko nyuma ya nani?

Una ushahidi gan anahonga Sana,
Tatizo hapo naona madai yenu hayana msingi
Yaani wakopaji hawanaga ushahidi zaidi ya kutaka kuonewa huruma.
Wakati wao wanavyokopa hawarudishi hawamuonei huruma aliyewakopesha.
Kuna mmoja mie nimesimama nae mahakamani anadai nimemuambia eti nitamnyoosha, nitamkomoa.
Anasema amenilipa na hana ushahidi wowote.
Nimetoa bank statements na tigostatements za mwaka mzima hakuna miamala yake.
Anabaki kuomba huruma ya hakimu.
Ndo anachokifanya mleta mada.
Anataka aonewe huruma wakati wao hawajamuonea huruma aliyewakopesha na hawajamrudishia hela zake.
Mkopaji anapokuja anadhihirisha ana uwezo wa kulipa na dhamana anaweka.
Lakini akishapewa mkopo tu uwezo wa kulipa hana.
Na wanaanza ushwahili wao oooo hela za majini, hela za uchawi.
 
Hao wachaga ni washenzi na matapeli sana walishamtapeli mzee wa kizaramo nyumba hapo mtaa wa aggrey, mzee alisainishwa mkataba mwaka 2005 kuwa mchaga ataichukia nyumba kujenga fremu za maduka na mzee atakuwa akilopwa shilingi milioni moja kila mwaka! Kwa muda wa miaka 10, ila mzee.alipokuwa na shida alikuwa akimfata mchaga anampa pesa huku anamuandika kwenye daftari lake ,mwisho mzee anakuja kuambiwa kuwa kashapewa milioni 56. Mchaga akarudi na mkataba mwingine kumwambia mzee kuwa anataka kuibomoa nyumba ajenge ghorofa ila atampa floor mbili na maduka mawili chini ila cha ajabu baada ya kumaliza ujenzi hakuna chochote ambacho mzee aliambulia, sasa hivi mzee kashafariki na mchaga amejimilikisha jumla cuz mzee alimkabidhi hati ya ntumba kama dhamana kila alipokuwa na shida ya pesa. Wanawe wamejaribu kufuatilia lakini wapi wanaishia kuzungushwa tu. Mzee mwenyewe alisainishwa mkataba wa kutia sahihi ya dole gumba maana alikuwa hajui kuandika
Yaani hii ni dhulma.
Kuna watu washenzi sana.
 
Unachoandika wala hukijui, mushi au maarufu kwa brand Mr UK alinunua nyumba hiyo kwa mnada kutoka Bank baada ya msimazi wa mirathi kukopa deni na kushindwa kulipa. Kosa Lake nini hapo?
Watoto wa kiswahili wapumbavu wanakopa wananunua subaru na kula bata nyumba zinaenda tu
walikopa kutoka Bank gani?
 
Ninachojua hata kama mliandikishiana mwenye final say ni mahakama maana mikataba mingine ni batili na haitekelezeki mbele ya sheria, nendeni mahakamani good chance mtapata mali zenu back, najua mahakama zetu zina ujinga mwingi lakini kuna mahakimu wengi wazuri tuu wataangalia kesi yako kwa haki, imagine mkataba unasema ukishindwa kulipa deni unauliwa😅 na kweli ukashindwa kulipa unafikiri mahakama itasema uuliwe kwa sababu mkataba mliandikishiana (ni mfano tuu), kuna mikataba mingi sana ya kipuuzi na nje ya sheria nenda mahakamani
 
Harafu hizo hela hawatoi muda wowote wanatoa sana kuanzia jioni na usiku huku watoaji wakiwa na wenge la hatari...jamaangu ashawahi kopa hizo hela alipokuja kunipa story na hela hajazitumia nikamwambia mrudishie hizo hela daah kila akipigiwa simu hapokei maana alianza kwa kumwambia amepata hela anataka azirudishe zile kwanza akamwambia hata siku mbili alipe sijui na riba ya mwezi waliendeshana ila kwa muda kidogo mpaka kufikia makubaliano ya kupokea ile hela yake...yeye anasema kaiweke bank mlipaji anagoma mbona wewe ulikataa ishu ya bank yaani ndio akaja kuamini mambo ya watu kutumia ushirikina kwenye hizo hela gari yake ilikua inapotea..
Inaitwa pesa ya Moto. Mimi Mzee wangu alishanionya SANA kutochukua hela ya Riba kutoka mikononi mwa Mtu yeyote.

Ile hela ina balaa na mikosi na huwezi kuirejesha, na ni kweli huwa wanaitoa kuanzia saa 12 mpaka saa 2 usiku.

Kuna Mzee mmoja Sakina Arusha sasahivi ni Marehemu, yeye alikuwa anakopesha hela halafu ukishindwa kuirejesha kwa wakati anachukua gari...alikuwa na magari mengi mno ameyapaki tu.
 
huyu tumekuja kuchunguza ni moja ya elite family huko moshi ameshindikana mpaka na serekali ndio mafounders wa akiba commercila bank nyumba zake zote sina mabranch ya hii bank shareholders wake asilimia tisini point tisa ni wachagga kinyume na sheria wakina anna mkapa,elizabeth minde,eng mark njiu,eng david mosha,ernest massawe,raymond mboya,eng joseph chuwa n.k n.k
Ni hivii...nakudondolezea siri :-

Mtaji wa huyu jamaa na wamachame wenzake 6 walipewa na Mama A. Mkp yaani katika awamu ya 3 na huo mtaji ndio ulioanzisha AKIBA COMMERCIAL BANK.

Hata Wamakonde waliwahi kulalamika sana kwamba ndugu yao anajali tu Ukweni na sio nyumbani.
 
alikuwepo jamaa anaitwa kuringe alipoingia magufuli alikimbia kwenda moshi ndio mwenye red stones club huyu p mushi wkt wa magufuli alikuwa kimya alipokufa anapandisha n=magorofa kama matatu kwa pamoja jiwe alikuwa yuko sahihi kuwachukia hawa jamaa
Akafa akawaacha, na kampuni yako iendeleze chuki ife kama jiwe.
 
Pole LDA company...and Associate....
..Mna Bahati sana kukutana na Primi..angalau ana utu
..Mngekutana na Tumbo (najua unajua naongea nn) mngejuta
..Mna bahati pia Macha (Hans) amefilisika
..uombe MUNGU sana na kuringe (Masai) kahamia moshi ila kanunua corner bar na unaiona ilivyo...
Ushukuru Mzee Asenga MUNGU Alimchukua (wa King Palace)
Na Ole wenu Mzee Kacheli wa Mti Mmoja angekuwepo

Wewe na wenzio hamuwajui wakibosho....hawa kina primi na kina Kiria ni kizazi cha kistaarabu mno...

Ungekutana na kina mzee Kidumbuyo mallya ungejinyonga...

Hawa kina Beda kileo wanawachekea mnakaa kwa uhuru...

LDA... wewe na mzee wako mngekua mmetangulia mbele za haki...nenda muulize gharib na kaka yake said watakueleza huyo Alex Massawe na msofe Hapo kariakoo walinyanyua mkono...bro...

Unawajua G7? Je unawajua KuDa?

Je ukikutana na kina mama wakina sinyaa wa vipodozi we si utawehuka...

Makoi wa mwika je...wanalipa hela ya clearing na tax 2b kama wanacheza...

Bro hiyo ni premier league....

Lala upumzike mpeni primi 1.7 b mpewe mali yenu,kuna mfipa mmoja pale karibu na city style sinza alirudisha hela akarudishiwa ghorofa lake bro...primi ana nyumba hapa dar hazipungui 250 pale mwenge ghorofa ni lake mikocheni ana ghorofa kama nane....

Bado mna bahati sana...pambaneni nyumba za benki hazina lawama benki zinawaita wenyewe..sijui kwann hakwenda na Tumbo swahiba wake...mngenyooka...pole sana mkuu
Hii kariakoo watu wamejisuka
 
sheria ya mabenk inataka shareholders wawe mchanganyiko lkn wachagga wameanzisha bank kama kikao cha ukoo nenda maendeleo bank ya lutheran mashareholders ni asilimia tisini wamachame hii sio fair kabisa

Sio fair kivipi kwani wameweka limit ya makabila[emoji23][emoji23]
 
Pole LDA company...and Associate....
..Mna Bahati sana kukutana na Primi..angalau ana utu
..Mngekutana na Tumbo (najua unajua naongea nn) mngejuta
..Mna bahati pia Macha (Hans) amefilisika
..uombe MUNGU sana na kuringe (Masai) kahamia moshi ila kanunua corner bar na unaiona ilivyo...
Ushukuru Mzee Asenga MUNGU Alimchukua (wa King Palace)
Na Ole wenu Mzee Kacheli wa Mti Mmoja angekuwepo

Wewe na wenzio hamuwajui wakibosho....hawa kina primi na kina Kiria ni kizazi cha kistaarabu mno...

Ungekutana na kina mzee Kidumbuyo mallya ungejinyonga...

Hawa kina Beda kileo wanawachekea mnakaa kwa uhuru...

LDA... wewe na mzee wako mngekua mmetangulia mbele za haki...nenda muulize gharib na kaka yake said watakueleza huyo Alex Massawe na msofe Hapo kariakoo walinyanyua mkono...bro...

Unawajua G7? Je unawajua KuDa?

Je ukikutana na kina mama wakina sinyaa wa vipodozi we si utawehuka...

Makoi wa mwika je...wanalipa hela ya clearing na tax 2b kama wanacheza...

Bro hiyo ni premier league....

Lala upumzike mpeni primi 1.7 b mpewe mali yenu,kuna mfipa mmoja pale karibu na city style sinza alirudisha hela akarudishiwa ghorofa lake bro...primi ana nyumba hapa dar hazipungui 250 pale mwenge ghorofa ni lake mikocheni ana ghorofa kama nane....

Bado mna bahati sana...pambaneni nyumba za benki hazina lawama benki zinawaita wenyewe..sijui kwann hakwenda na Tumbo swahiba wake...mngenyooka...pole sana mkuu

Mkuu embu njoo na uzi wa hao G7 huwenda ikawa ukawa inspirational kwa wapambanaji
 
TAJIRI WA KARIAKOO AJULIKANAYE KAMA PRIMI MUSHI KUNUNUA NA KUTAPELI NYUMBA ZA WATU K/KOO NA MAENEO MENGINE NCHIN YUKO NYUMA YA NAN?

Wanabodi kama uzi ulivyokaa hapo juu huyu ni mfanyabiashara wa vitengee karikoo lkn speed yake ya kuwafua watu nyumba K/Koo inatisha yuko nyuma ya nani ?

Kwasasa anamiliki zaidi ghorofa 10 Karikoo na nyumba za chini za kumwaga hapa miezi miwili iliyopita Maulid Kitenge alirusha habar mzee mmoja wa K/Koo akilalamika kutapeliwa ghorofa yenye floor 7 mtaa wa Nyamwezi na Narungombe je ni haki mtu kuchukua ghorofa K/Koo kwa deni la billion 1 je, Mushi yuko juu ya sheria?

Je, nyumba alochukua Kipata na Congo ni haki embu jamani tuangalie sisi wanyonge twende wapi
Nenda mahakamani.
Over
 
kulikuwa na tatizo la kifamilia tukahitaji mkopo wa fasta na mubaliano achukue baadhi ya fremu ili ajilipe

Hamko serios, yaani tatizo la kifamilia mkope 1b? Hiyo hela lazima ingewashinda kulipa tu maana hiyo mtakuwa mliitumbua kwa bata huku mkiwa mmeweka rehani jengo...!
Hiyo 1b maana yake haikuingia kwenye biashara badala yake mlitatulia tatizo na chenchi mkamwagilia moyo.... mngewezaje kulipa? Msitafute huruma wakati mlikoroga nyie!
 
hans macha kama sio nyumba za wazaramo asingetajirika leo tunaambiwa hatuna akili leo amekuwa shareholder mkubwa crdb kwasababu ya wazaramo lkn tumepata matusi leo sis ni pimbi
Shigongo mkinga,ndomana shigongo aliamua kilibomoa ghorofa awaachie hao wanaomsumbua liuwanjaaa

Ova
 
Hao wachaga ni washenzi na matapeli sana walishamtapeli mzee wa kizaramo nyumba hapo mtaa wa aggrey, mzee alisainishwa mkataba mwaka 2005 kuwa mchaga ataichukia nyumba kujenga fremu za maduka na mzee atakuwa akilopwa shilingi milioni moja kila mwaka! Kwa muda wa miaka 10, ila mzee.alipokuwa na shida alikuwa akimfata mchaga anampa pesa huku anamuandika kwenye daftari lake ,mwisho mzee anakuja kuambiwa kuwa kashapewa milioni 56. Mchaga akarudi na mkataba mwingine kumwambia mzee kuwa anataka kuibomoa nyumba ajenge ghorofa ila atampa floor mbili na maduka mawili chini ila cha ajabu baada ya kumaliza ujenzi hakuna chochote ambacho mzee aliambulia, sasa hivi mzee kashafariki na mchaga amejimilikisha jumla cuz mzee alimkabidhi hati ya ntumba kama dhamana kila alipokuwa na shida ya pesa. Wanawe wamejaribu kufuatilia lakini wapi wanaishia kuzungushwa tu. Mzee mwenyewe alisainishwa mkataba wa kutia sahihi ya dole gumba maana alikuwa hajui kuandika
Kabila la hovyo sana
 
Back
Top Bottom