Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Mbona tumeambiwa wachagga hawana hela wameajiriwa tra na serikalini?
Ni issue ya IQ au janja janja tuKwa nchi hii ukitoa wageni bado hakuna kabila linalowasogelea hao watu.
Hao wakinga wanaosakiziwa kimsingi bado Sana.
Hao jamaa kizazi Chao cha 80 Kurudi nyuma walikuwa makini Sana kwenye ishu ya kutafuta pesa.
Ila hawa wa 90 kuja mbele naona Kama wamezubaa kidogo
Hawa jamaa walichukua hela benk wameshindwa kurudisha mkopo benk imeuza nyumba yao kwa mnada. Akina mushi wakainunua hasemi ukweli. Na aliyechukua mkopo ni msimamiz wa mirathi bingwa so hiz stor zote haziwez kuwasaidia. Ooh wachagga wez cjui nini we unafikir itabadili ukweli. Umekuja huku maana unajua ukienda mahakaman huna msaada.ndio maana wenye akili zao wamekuambia leta mkataba unabaki kuruka ruka leta usaidiwe.
Hili nakubali kuwa watu wengi hukopa ili kununua liabilities badala assets ambazo zitawaingizia pesa. Kopa pesa ili uendeleze biashara inayoendelea ili faida itakayopatikana ikusaidie kulipa deni.Tatizo wengi management ya pesa Ni Changamoto,
Na wengi ukopa pesa za riba kupeleka kusolve kwenye matatizo, hazizalishi.
Ukifika wkt wa rejesho ukifika hujui hate uanzie wapi na pesa ishakata
Ni issue ya IQ au janja janja tu
kile ni kizazi kilichokula ngararimo, nduu na ktarasa,hiki cha mjini kinakula chips mayai kimekuwa kama wazaramoUjasiri/uthubutu+ mahaba ya pesa + roho ngumu + ujanja ujanja+ Hesabu kali
Hilo Wachaga wa 80 Kurudi nyuma walilimudu
kile ni kizazi kilichokula ngararimo, nduu na ktarasa,hiki cha mjini kinakula chips mayai kimekuwa kama wazaramo
Sawa kabisa kesho asubuhi nitakula mamaya na chai.kile ni kizazi kilichokula ngararimo, nduu na ktarasa,hiki cha mjini kinakula chips mayai kimekuwa kama wazaramo
Na mm najua Dawa ya deni n kulipa. TuKutokulipa Deni imegeuka dhulma?
Tuacheni kutetea upuuzi, dawa ya Deni kulipa
Kina mwengine tena somebody kuringe nae naskia ni hivyo hivuo,,huko moshi nako malalamiko ni mengi tanga zile nyumba pale mjini za ndugu zangu wadinggo na wabondei keshamaliza arusha mjini nako malalamiko ni mengi
Harafu hizo hela hawatoi muda wowote wanatoa sana kuanzia jioni na usiku huku watoaji wakiwa na wenge la hatari...jamaangu ashawahi kopa hizo hela alipokuja kunipa story na hela hajazitumia nikamwambia mrudishie hizo hela daah kila akipigiwa simu hapokei maana alianza kwa kumwambia amepata hela anataka azirudishe zile kwanza akamwambia hata siku mbili alipe sijui na riba ya mwezi waliendeshana ila kwa muda kidogo mpaka kufikia makubaliano ya kupokea ile hela yake...yeye anasema kaiweke bank mlipaji anagoma mbona wewe ulikataa ishu ya bank yaani ndio akaja kuamini mambo ya watu kutumia ushirikina kwenye hizo hela gari yake ilikua inapotea..
Harafu hizo hela hawatoi muda wowote wanatoa sana kuanzia jioni na usiku huku watoaji wakiwa na wenge la hatari...jamaangu ashawahi kopa hizo hela alipokuja kunipa story na hela hajazitumia nikamwambia mrudishie hizo hela daah kila akipigiwa simu hapokei maana alianza kwa kumwambia amepata hela anataka azirudishe zile kwanza akamwambia hata siku mbili alipe sijui na riba ya mwezi waliendeshana ila kwa muda kidogo mpaka kufikia makubaliano ya kupokea ile hela yake...yeye anasema kaiweke bank mlipaji anagoma mbona wewe ulikataa ishu ya bank yaani ndio akaja kuamini mambo ya watu kutumia ushirikina kwenye hizo hela gari yake ilikua inapotea..
Wewe unafikiri yupo nyuma ya nani?huko moshi nako malalamiko ni mengi tanga zile nyumba pale mjini za ndugu zangu wadinggo na wabondei keshamaliza arusha mjini nako malalamiko ni mengi
Hili lipo.Wengi wanamadawa hao hizo Dili alikuwa nao Babu Sombeki wa Pale Moshi. Hata akikukopesha shilingi 1000 hutaweza rudisha hadi achukue Mali zako. Mungu atusaidie kwa kweli.
[emoji849][emoji849]duuh... mtihani Sana!Unachosema kweli kuna jamaa Alphard ilienda kwa milioni 4 alipewa mahela machafu jamaa aliyatoa ndani tu sijawahi ona mahela machafu kama yale duuuh.
Aseeehh..dunia hiii balaaHarafu hizo hela hawatoi muda wowote wanatoa sana kuanzia jioni na usiku huku watoaji wakiwa na wenge la hatari...jamaangu ashawahi kopa hizo hela alipokuja kunipa story na hela hajazitumia nikamwambia mrudishie hizo hela daah kila akipigiwa simu hapokei maana alianza kwa kumwambia amepata hela anataka azirudishe zile kwanza akamwambia hata siku mbili alipe sijui na riba ya mwezi waliendeshana ila kwa muda kidogo mpaka kufikia makubaliano ya kupokea ile hela yake...yeye anasema kaiweke bank mlipaji anagoma mbona wewe ulikataa ishu ya bank yaani ndio akaja kuamini mambo ya watu kutumia ushirikina kwenye hizo hela gari yake ilikua inapotea..
Nendeni kwa Waziri wa Ardhi na Makazi.mahakama imeweka stop order lkn haeshim maamuz ya mahakam mkuu wa mkoa pamoja na wair wote hawana msaada jamaa anaonga sana
Hivi hizi Mali wakifa wanaenda nazo au?!!!Hao wachaga ni washenzi na matapeli sana walishamtapeli mzee wa kizaramo nyumba hapo mtaa wa aggrey, mzee alisainishwa mkataba mwaka 2005 kuwa mchaga ataichukia nyumba kujenga fremu za maduka na mzee atakuwa akilopwa shilingi milioni moja kila mwaka! Kwa muda wa miaka 10, ila mzee.alipokuwa na shida alikuwa akimfata mchaga anampa pesa huku anamuandika kwenye daftari lake ,mwisho mzee anakuja kuambiwa kuwa kashapewa milioni 56. Mchaga akarudi na mkataba mwingine kumwambia mzee kuwa anataka kuibomoa nyumba ajenge ghorofa ila atampa floor mbili na maduka mawili chini ila cha ajabu baada ya kumaliza ujenzi hakuna chochote ambacho mzee aliambulia, sasa hivi mzee kashafariki na mchaga amejimilikisha jumla cuz mzee alimkabidhi hati ya ntumba kama dhamana kila alipokuwa na shida ya pesa. Wanawe wamejaribu kufuatilia lakini wapi wanaishia kuzungushwa tu. Mzee mwenyewe alisainishwa mkataba wa kutia sahihi ya dole gumba maana alikuwa hajui kuandika