Acha upuuzimahakama imeweka stop order lkn haeshim maamuz ya mahakam mkuu wa mkoa pamoja na wair wote hawana msaada jamaa anaonga sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha upuuzimahakama imeweka stop order lkn haeshim maamuz ya mahakam mkuu wa mkoa pamoja na wair wote hawana msaada jamaa anaonga sana
Sasa familia walikopaje kwa jamaa wakijua uwezo kulipa deni hawaweziDuuh Bilion moja mkuu hata akisema achanganye na familia yetu hailipiki hiyo Mkuu...Billioni kama B sio milioni tutauza hizi IST zote hadi masofa na haifiki hata nusu ndio anachukua riba yake kwanza..
Jamaa atakuwa mtu wa stori za vijiwe vya kahawa sana. Sasa gorofa la urithi linaenda sijui atakula nini
Hamna utapeli hapo,hawa jamaa wakibosho ni hatari kwa kuwa kiu ya kutapelia nyumba za watu
Mbona wewe ujaribu kuwa Tapeli kama ni kazi RahisiMushi/Msoffe/Massawe= matapeli
Hao wachaga ni washenzi na matapeli sana walishamtapeli mzee wa kizaramo nyumba hapo mtaa wa aggrey, mzee alisainishwa mkataba mwaka 2005 kuwa mchaga ataichukia nyumba kujenga fremu za maduka na mzee atakuwa akilopwa shilingi milioni moja kila mwaka! Kwa muda wa miaka 10, ila mzee.alipokuwa na shida alikuwa akimfata mchaga anampa pesa huku anamuandika kwenye daftari lake ,mwisho mzee anakuja kuambiwa kuwa kashapewa milioni 56. Mchaga akarudi na mkataba mwingine kumwambia mzee kuwa anataka kuibomoa nyumba ajenge ghorofa ila atampa floor mbili na maduka mawili chini ila cha ajabu baada ya kumaliza ujenzi hakuna chochote ambacho mzee aliambulia, sasa hivi mzee kashafariki na mchaga amejimilikisha jumla cuz mzee alimkabidhi hati ya ntumba kama dhamana kila alipokuwa na shida ya pesa. Wanawe wamejaribu kufuatilia lakini wapi wanaishia kuzungushwa tu. Mzee mwenyewe alisainishwa mkataba wa kutia sahihi ya dole gumba maana alikuwa hajui kuandika
Tatizo wengi management ya pesa Ni Changamoto,Kwa mlio tanzania ogopeni sana kukopa kwa wachaga na wakinga, hao watu hawafai hata kidogo. Pesa zao huwa ni za kichawi akikupa hata laki basi jua utashindwa tu kuirudisha na matokeo yake anachukua mali yenye thamani kubwa uliyoiweka rehani, kuna jamaa alikopa kwa mkinga milioni 2 kwa bondi ya hati ya gari aina ya noah yenye thamani ya milioni 14 miaka hiyo, ila cha ajabu jamaa aliitelekeza gari mpk ndugu zake walipoingilia kati kwenda kuikomboa , jamaa alipigwa kipapai aisahau kabisa gari yake
Wachaga wamekuwa wachawi sana sanaHarafu hizo hela hawatoi muda wowote wanatoa sana kuanzia jioni na usiku huku watoaji wakiwa na wenge la hatari...jamaangu ashawahi kopa hizo hela alipokuja kunipa story na hela hajazitumia nikamwambia mrudishie hizo hela daah kila akipigiwa simu hapokei maana alianza kwa kumwambia amepata hela anataka azirudishe zile kwanza akamwambia hata siku mbili alipe sijui na riba ya mwezi waliendeshana ila kwa muda kidogo mpaka kufikia makubaliano ya kupokea ile hela yake...yeye anasema kaiweke bank mlipaji anagoma mbona wewe ulikataa ishu ya bank yaani ndio akaja kuamini mambo ya watu kutumia ushirikina kwenye hizo hela gari yake ilikua inapotea..
Hiyo bunduki unajua kuitumia mwenyewe auHivi bunduki na risasi ni adimu sana kutumika nchi hii kwenye uonevu na dhuluma, kwenye jambo kama hili mahakama ya nini? I don't do the fakafaka oyo. Mnada uza tupeane chenji other than that no way, flash you out with my shortiiii.
Hakuna ubabe hapo kwani huwa anawafuata majumbani kwao kuwataka awakopeshe au wao ndio humfuata kuomba mikopo? Hata mabenki yakikopesha ukishindwa kulipa dhamana hupigwa mnada kulipia deni nayo pia hutumia ubabe? Dawa ya deni kulipa hamna namna nyingine.hii ishu ya huyu jamaa kutapeli watu magorofa niliiiona hapo nyamwezi tena zilikuja fifenda 3 kumsaidia jamaa kuzuia fujo hapo zilipaki siku nzima jiulize , naskia huwa anakopesha watu ukishindwa kulipa anakuja kubeba mali zako kibabe
[emoji1787][emoji23][emoji1787] imeisha iyo jombii.alikuwepo kuringe, morio na macha ndio wachagga wamenunua nyumba nyingi kariakoo na kujengesha kwa mikataba ya kitapeli wazair simba wa viwanda na biashara katuita wazawa k/koo diamond jublee kututaka tusiuze nyumba zetu lkn ndugu zangu wazaromo hawakusikia sasa kuna mitaa inaitwa kibosho kariakoo
Sheria no. Ngapi hio tuisome Kwny act?sheria ya mabenk inataka shareholders wawe mchanganyiko lkn wachagga wameanzisha bank kama kikao cha ukoo nenda maendeleo bank ya lutheran mashareholders ni asilimia tisini wamachame hii sio fair kabisa
Hahah mkuu hii reply yako nimeihifadhi,hao jamaa unawajua very well inaonekana.Pole LDA company...and Associate....
..Mna Bahati sana kukutana na Primi..angalau ana utu
..Mngekutana na Tumbo (najua unajua naongea nn) mngejuta
..Mna bahati pia Macha (Hans) amefilisika
..uombe MUNGU sana na kuringe (Masai) kahamia moshi ila kanunua corner bar na unaiona ilivyo...
Ushukuru Mzee Asenga MUNGU Alimchukua (wa King Palace)
Na Ole wenu Mzee Kacheli wa Mti Mmoja angekuwepo
Wewe na wenzio hamuwajui wakibosho....hawa kina primi na kina Kiria ni kizazi cha kistaarabu mno...
Ungekutana na kina mzee Kidumbuyo mallya ungejinyonga...
Hawa kina Beda kileo wanawachekea mnakaa kwa uhuru...
LDA... wewe na mzee wako mngekua mmetangulia mbele za haki...nenda muulize gharib na kaka yake said watakueleza huyo Alex Massawe na msofe Hapo kariakoo walinyanyua mkono...bro...
Unawajua G7? Je unawajua KuDa?
Je ukikutana na kina mama wakina sinyaa wa vipodozi we si utawehuka...
Makoi wa mwika je...wanalipa hela ya clearing na tax 2b kama wanacheza...
Bro hiyo ni premier league....
Lala upumzike mpeni primi 1.7 b mpewe mali yenu,kuna mfipa mmoja pale karibu na city style sinza alirudisha hela akarudishiwa ghorofa lake bro...primi ana nyumba hapa dar hazipungui 250 pale mwenge ghorofa ni lake mikocheni ana ghorofa kama nane....
Bado mna bahati sana...pambaneni nyumba za benki hazina lawama benki zinawaita wenyewe..sijui kwann hakwenda na Tumbo swahiba wake...mngenyooka...pole sana mkuu
wewe huwajui wakibosho wewe kwanza wanavyama vyeje nguvu sana vikao vya votina ni hatari ndio maana kule manyara vipigwa ban na mnyeti magufuli alikuwa sahihi
Sio wachaga tuu makabila mengi yapo hapo kkoo..Wachaga wamekuwa wachawi sana sana
Hiyo mbona rahisi tu kuukwepa huo utapeli, kama dead line ya kulipa inakaribia pesa ya kulipa unayo na anakukwepa unaenda polisi au mahakamani na vielelezo vyote then unarudi nyumbani huku unapiga mluzi tu.Itakuwa yaleyale ya akina Alex Masawe na Pedeshe (PDG) Ndama.
Unakopa pesa kwao halafu dhamana inakuwa nyumba mnawekeana na deadline,muda wa kulipa ukifika wanakukwepa ili muda upite wachukue nyumba kwa bei ya kashata.
Mkuu walipigiwa hesabu za marejesho ya bank huku baadhi ya karatasi ndio zina terms halisi za mkoapaji hiyo mara nyingi wanaona baada ya kutulia na hela kuisha na walisaini hapo ndio mtihani unapoanza...Sasa familia walikopaje kwa jamaa wakijua uwezo kulipa deni hawawezi
Aseembona wakinga hawalalamikiwi ni wachagga tu ndugu zangu jirekebishene tutaungana makabila yote tuwwakill