Machange
Senior Member
- Jun 10, 2016
- 152
- 187
Acha mambo zako.... Wewe kabila lako ni lipi kwanza tujue...hezakaw ni walewale wala urojo
Kabila la hovyo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabila la hovyo sana
Kwa hiyo unatakiwa uchukue jengo la thamni gani?Kwa nini uliliweka rehani kama hutaki lichukuliwe?Yaani wewe ufanye Ujinga halafu uende mahakamani kuweka stop order.Dawa ya deni ni kulipa na ukishindwa kulipa kile ulichoweka bond kinaenda.Binafsi nafikiri kwamba bado watu wanaolalamika wanataka huruma ya umma wakati walipoenda kukopa waliangusha wino na kulia na kubembeleza.huwez kuchukua nyuma yenye zaid ya dhamani billion 14 kwa billion moja huyu jamaa kapewa stop order na mahakama lkn kadharau na wanaolalamika ni wengi kutapeliwa na huyu jamaa
Ndio zao watu km hawa hawana tofauti na wauaji tena huyo mmoja ni sample tu wapo wengi wanajipatia mali kwa dhuluma na unyanyasajihuwez kuchukua nyuma yenye zaid ya dhamani billion 14 kwa billion moja huyu jamaa kapewa stop order na mahakama lkn kadharau na wanaolalamika ni wengi kutapeliwa na huyu jamaa
Hio sio poa RUSHWA mbaya sana hauwezi kupata hakimahakama imeweka stop order lkn haheshimu maamuzi ya mahakama mkuu wa mkoa pamoja na waziri wote hawana msaada jamaa anaonga sana
Wachagga siku zote wamefanikiwa kwa WIZI, DHULMA, UTAPELI, UNDUGULISATION ( Vinafasi vya. Umma ) na Biashara za MAGENDO.Hao wachaga ni washenzi na matapeli sana walishamtapeli mzee wa kizaramo nyumba hapo mtaa wa aggrey, mzee alisainishwa mkataba mwaka 2005 kuwa mchaga ataichukia nyumba kujenga fremu za maduka na mzee atakuwa akilopwa shilingi milioni moja kila mwaka! Kwa muda wa miaka 10, ila mzee.alipokuwa na shida alikuwa akimfata mchaga anampa pesa huku anamuandika kwenye daftari lake ,mwisho mzee anakuja kuambiwa kuwa kashapewa milioni 56. Mchaga akarudi na mkataba mwingine kumwambia mzee kuwa anataka kuibomoa nyumba ajenge ghorofa ila atampa floor mbili na maduka mawili chini ila cha ajabu baada ya kumaliza ujenzi hakuna chochote ambacho mzee aliambulia, sasa hivi mzee kashafariki na mchaga amejimilikisha jumla cuz mzee alimkabidhi hati ya ntumba kama dhamana kila alipokuwa na shida ya pesa. Wanawe wamejaribu kufuatilia lakini wapi wanaishia kuzungushwa tu. Mzee mwenyewe alisainishwa mkataba wa kutia sahihi ya dole gumba maana alikuwa hajui kuandika
Mimi nmekuelewa mkuu asielewa atakua ni mbwa amekaa paaale👉🏾Wachagga siku zote wamefanikiwa kwa WIZI, DHULMA, UTAPELI, UNDUGULISATION ( Vinafasi vya. Umma ) na Biashara za MAGENDO.
Wewe chuki yako ni wachagaalikuwepo jamaa anaitwa kuringe alipoingia magufuli alikimbia kwenda moshi ndio mwenye red stones club huyu p mushi wkt wa magufuli alikuwa kimya alipokufa anapandisha n=magorofa kama matatu kwa pamoja jiwe alikuwa yuko sahihi kuwachukia hawa jamaa
Ukishaingiza mawazo kama haya akilini mwako ndio basi tena....utakuwa umeumaliza mwendo!Wachagga siku zote wamefanikiwa kwa WIZI, DHULMA, UTAPELI, UNDUGULISATION ( Vinafasi vya. Umma ) na Biashara za MAGENDO.
Macha kafilisika?Pole LDA company...and Associate....
..Mna Bahati sana kukutana na Primi..angalau ana utu
..Mngekutana na Tumbo (najua unajua naongea nn) mngejuta
..Mna bahati pia Macha (Hans) amefilisika
..uombe MUNGU sana na kuringe (Masai) kahamia moshi ila kanunua corner bar na unaiona ilivyo...
Ushukuru Mzee Asenga MUNGU Alimchukua (wa King Palace)
Na Ole wenu Mzee Kacheli wa Mti Mmoja angekuwepo
Wewe na wenzio hamuwajui wakibosho....hawa kina primi na kina Kiria ni kizazi cha kistaarabu mno...
Ungekutana na kina mzee Kidumbuyo mallya ungejinyonga...
Hawa kina Beda kileo wanawachekea mnakaa kwa uhuru...
LDA... wewe na mzee wako mngekua mmetangulia mbele za haki...nenda muulize gharib na kaka yake said watakueleza huyo Alex Massawe na msofe Hapo kariakoo walinyanyua mkono...bro...
Unawajua G7? Je unawajua KuDa?
Je ukikutana na kina mama wakina sinyaa wa vipodozi we si utawehuka...
Makoi wa mwika je...wanalipa hela ya clearing na tax 2b kama wanacheza...
Bro hiyo ni premier league....
Lala upumzike mpeni primi 1.7 b mpewe mali yenu,kuna mfipa mmoja pale karibu na city style sinza alirudisha hela akarudishiwa ghorofa lake bro...primi ana nyumba hapa dar hazipungui 250 pale mwenge ghorofa ni lake mikocheni ana ghorofa kama nane....
Bado mna bahati sana...pambaneni nyumba za benki hazina lawama benki zinawaita wenyewe..sijui kwann hakwenda na Tumbo swahiba wake...mngenyooka...pole sana mkuu
Umeshalewa Kitimoto asubuhi asubuhi hiiUkishaingiza mawazo kama haya akilini mwako ndio basi tena....utakuwa umeumaliza mwendo!
Jambo pekee la kumwomba Mungu ni akusaidie ufe na hiyo sumu mwenyewe usije ukaiacha kwa kizazi chako
Unaweza itwa mnada wote wamepangwa isivuke bilioniHivi bunduki na risasi ni adimu sana kutumika nchi hii kwenye uonevu na dhuluma, kwenye jambo kama hili mahakama ya nini? I don't do the fakafaka oyo. Mnada uza tupeane chenji other than that no way, flash you out with my shortiiii.
Bank mchakato mrefusana hadi pesa iiveCompany inaenda kukopa kwa Mushi fedha si zipo bank na wanabembeleza hizo hela tunaita za moto kwa jinsi riba yake ilivyo ni ngumu sana kuilipa na hao jamaa wanakopesha Cash hawaweki hela bank huku mganga wake ashaifanyia kazi yeye anashukuru ninyi kushindwa kumlipa ili achukue mali yenu...
Siku ukikopa halafu ukaweka bondi nyumba, halafu ukapata pesa ya deni lakini kila ukitafuta mhusika umlipe deni lake humuoni ndio utajua maana ya huu uchoko wa dawa ya deni in kulipa wakati huo umeshapoteza nyumba.Dawa ya Deni kulipa dawa ya mkopo rejesho
mushi endelea kuwakamatia hapohapo
Mnyonge mwenye gorofan ya bilioni 14 kariakoo!!Toa ujinga wako hapa yaani ukope bilioni zaidi ya moja halafu uweke ghorofa kama dhamana uje utupigie kelele hapa ,
Pumbav unawajua wanyonge wewe ?
Nitolee kichwa chako kilichojaa mtori na mbegeAcha mambo zako.... Wewe kabila lako ni lipi kwanza tujue...hezakaw ni walewale wala urojo