Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Mkuu utani wa kweli hatutaki humu. Mtanie mwenzako utani wa uongo tufaiza foxy ulivyo na sura ngumu ungeenda sherehe ya watu ingehariba bure.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu utani wa kweli hatutaki humu. Mtanie mwenzako utani wa uongo tufaiza foxy ulivyo na sura ngumu ungeenda sherehe ya watu ingehariba bure.
kiigizo cha dini na role model Wa waislam ni mtumi(saw) maswahaba(ra) wanachuoni waliopata radhi za Allah, na waja wema waliotangulia....kwahiyo waislam hawamuigi gsm au Mimi mmakonde Wa mtwara, huo ni uamuzi wake gsm and he is right by the way, kuwa na mke mmoja pia sunna ya mtumi lijue hilo, acha kufokea watu acha kusemea waislam kama wewe sio miongoni mwao, .Sisi tunawaza ngono tu na kuzaliana.
Gsm ni muislam na tajiri wa kufa mfu ila ana mke mmoja tu
Tazama waislam wazawa sasa akiwa na kaajira tu ka mshahara milioni anaoa wake kibao
Na wewe FaizaFoxy ulishawahi kufanyiwa suprise kama hiyo na baba chanja au ndio bora maisha yaende.GSM anayaweza ya kimjini mjini, vipi Mo?
Tajiri wa wananchi anamfurahisha bebi wake.
View attachment 2727374
Kakosekana mjomba'o tu hapo, Manara.
location iyo ni wapi South africa, kigamboni au state USAGSM anayaweza ya kimjini mjini, vipi Mo?
Tajiri wa wananchi anamfurahisha bebi wake.
Kakosekana mjomba'o tu hapo, Manara.
Haijalishi na sifahamu, mambo ya graphics siku hizi unaweza kuwa ahata upo chumbani kwako, vijana wakacheza na graphics ukawa popote pale.location iyo ni wapi South africa, kigamboni au state USA
na wewe unataka kupewa?GSM anayaweza ya kimjini mjini, vipi Mo?
Tajiri wa wananchi anamfurahisha bebi wake.
Kakosekana mjomba'o tu hapo, Manara.
SunbathingView attachment 2729214
Unawachora tu.
Sasa tuwabadili rangi family yake?This country is for black people. Haven't seen any black person in that video. They are just racists.
Sasa wake zake wengine watajisikiaje? Just imagine these women sharing the samedik na labda kibamyia.
Faizaaaaaaaaa👌🏿👆🏿🙌🏿😘♥️💘
Mama yake kwani yukoje?Sasa tuwabadili rangi family yake?
Mama'ke Ghalib, ungemuona usingesema hayo. Usilolijuwa ni usiku wa kiza.
mambo ya birthday Mo hana ujinga huo, si kipaumbele kwake
NdiyoHabari ya tajiri muulize mlala hoi,,,wewe umejuaje yote hayo au una access na account zao za benki
Kuna mwanaume anayeweza kukakaa na mwanamke mujuwaji wa kila kitu?🤣🤣🤣Nawe umepewa nn na mumeo?