City Of Lies
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 4,925
- 6,137
Aje na mikakati ya kueleweka tu.Na tumpe kura ya ndiyo 2025 ili hawa wahuni wezi aweze kumalizana nao vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aje na mikakati ya kueleweka tu.Na tumpe kura ya ndiyo 2025 ili hawa wahuni wezi aweze kumalizana nao vizuri
MKUUUU HII CHANEL N NDEFU SANA YAAN KILICHOPO HATA MKURUGEN ANAJUA UCHAFU WOTE WANAPOBADILISHANA WANAPENA NA MAJINA YA KAMPUNI WALIOANZISHA JIJSIGAN WANAPIGA N HATAREE SANA .. TUMERUDIII KULEEEEEHuko Mbeya tumeona watumishi wa TRA wakichepusha hela ya umma kuingia kwenye mtandao wa watu binafsi na kupiga hela. Huko Arusha tumeona mkutano wa Makonda mwananchi mlipa kodi (Halmashauri ya Arusha) akilalamika kodi zinachepushwa na kuingia katika mtandao wa wapigaji na wala haziingii serikalini kuu. Hata Rais katika hotuba zake aliwahi kusema kwa mujibu wa ripoti ya CAG mifumo ya ukusanyaji kodi haisomani.
Sasa mimi hebu niwaelekeze mahali palipo na wizi wa kuchepusha hela za michango ya mifuko ya hifadhi ya jamii kwa watumishi wa umma ni wizara ya fedha (HAZINA). Hakuna mwajiriwa hata mmoja ambaye katika utumishi wake anaweza kukuta hakuna kasoro ya malipo yake ya mwezi ya 20%. Utakuta miezi kadhaa wamepeleka pungufu au hakuna kabisa. Ukienda kudai malipo lazima uandike barua ya mapunjo na haya madai huwa hayalipwi kabisa! Utadai na kuandika barua mpaka unaamua kuacha na kukata tamaa kabisa!
Nina jamaa zangu wengi kabisa katika taasisi za umma hawakupelekewa 15% ya michango yao kwa zaidi ya miaka kadhaa. Walikuwa wanapelekewa 5% nyingine inachepushwa kusikojulikana. Wengine wamestaafu, kuachakazi, kufariki wamedai hela yao mpaka wamechoka. Hebu wahusika sijui TAKUKURU, PSSSF, NSSF sijui nini wawaangalie hawa jamaa wa HAZINA katika suala zima la michango ya watumishi.
Nina uhakika na wao wamejitengenezea kamfumo kakuchepusha na kuiba kiasi fulani cha michango kwa kila mtumishi wa umma. Nasema hivyo kwasababu ukienda kudai hulipwi mpaka utachoka! Ukienda ofisini kwao utaambiwa sijui nani na nani anahusika sijui hayupo sijui tutalifanyia kazi! NARUDIA! Michango ya mifuko ya hifadhi ya jamii kwa watumishi wa umma kwa ujumla inapigwa sana!
Mkuu nataka nijaze hiyo portal ya PSSF. Sasa nataka nifahamu Nini nijaze kwenye hivi vipengele.sign up online kwa kutumia credentials zako utaweza ku print statement uone vile hazina hawapeleki hela.
mimi naona last contribution ni feb 2024
Hidaya[emoji23] [emoji23] [emoji23]NENDA GEITAAAA HALMASHAURI ZA MBEYAAAA UCHAFUUU MTUPUUU NA WANAJULIKANAAAAA
SASAA NAWAZAA HUU MFUMOOO
TAUSII UNASAIDIAAA NN SI BORAAA MTUPEE HIDAYAAAAA TU TUJUE TUNAPIGWAA MAZIMA NA UPEPOOO
Duuh hata mimi october, december 2023 hawajapeleka, pia january,march, april 2024 hakuna kituMimi hapa nimeangalia jana, pesa ya miezi 5 haijafika PSSSF. Mwezi Oktoba na Desemba 2023, Mwezi Januari, Machi na Aprili 2024.
Na nipo taasisi kubwa tu.
Ikiwa online ni bora zaidi ili kila mtu popote alipo aweze kuaccess na kuona michango yakeKwani uliko hakuna ofisi zao? Haya mambo ya online kanjanja!
Sawa mkuu.Nenda ofisini kwao! Nadhani kila mkoa kuna ofisi zao
Hidayaq kahamiqaa wizaarani mpwaa hatareeeHidaya[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Aisee, kuna vitetesi pia teuzi Dkt Samia anachomekewa, kila mkeka ni maokoto tu, yaani kuhama, teuzi ni urefu wa kamba yako tu. Viashiria kwa huu uzi naanza kuamini. Maana haiwezekani mtu hajawahi kuwa mtumishi wa umma mara paap mkurugenzi wa shirika la umma mara wale walioenguliwa kwa kashafa mara paap wamerudi maana yake hao kamba zao ni ndefu kiasi kwamba wafanya vetting ni kutembea na tambo kubwa kubwa. Ila hii nchi nadhani inahitaji Dkt Samia afumue mfumo aje na wa kwake maana kama huu uozo ulivyo hakika nchi itafirisikaMKUUUU HII CHANEL N NDEFU SANA YAAN KILICHOPO HATA MKURUGEN ANAJUA UCHAFU WOTE WANAPOBADILISHANA WANAPENA NA MAJINA YA KAMPUNI WALIOANZISHA JIJSIGAN WANAPIGA N HATAREE SANA .. TUMERUDIII KULEEEEE
Tumezungukwa na cartel moja ya kipuuzi sana, ilituibia, inatuibia, na itaendelea kutuibia kwa sababu tumeamua kuiacha itutawale.Siyo dhaifu bali na yeye ni mwizi. Hukusikia anawaambia kila mtu ale kwa urefu wa kamab yake? Anafanya makusudi ili 1. Na yeye apate kuiba 2. Asipate upinzani kwenye vyombo vya dola.
download app play store, tumia hiyo app app ni rahisi hautakwana pahala.Mkuu nataka nijaze hiyo portal ya PSSF. Sasa nataka nifahamu Nini nijaze kwenye hivi vipengele.
1. Enter Verify Code from Employer
2. Scheme.
Maana nimekwama hapo
Kabisa lo hili la mafao watu Wengi wanalalamika sana!
Watu wanamiliki mabasi ,majumba unadhani pesa wanapata wapi.Ni wizi mtupuHuko Mbeya tumeona watumishi wa TRA wakichepusha hela ya umma kuingia kwenye mtandao wa watu binafsi na kupiga hela. Huko Arusha tumeona mkutano wa Makonda mwananchi mlipa kodi (Halmashauri ya Arusha) akilalamika kodi zinachepushwa na kuingia katika mtandao wa wapigaji na wala haziingii serikalini kuu. Hata Rais katika hotuba zake aliwahi kusema kwa mujibu wa ripoti ya CAG mifumo ya ukusanyaji kodi haisomani.
Sasa mimi hebu niwaelekeze mahali palipo na wizi wa kuchepusha hela za michango ya mifuko ya hifadhi ya jamii kwa watumishi wa umma ni wizara ya fedha (HAZINA). Hakuna mwajiriwa hata mmoja ambaye katika utumishi wake anaweza kukuta hakuna kasoro ya malipo yake ya mwezi ya 20%. Utakuta miezi kadhaa wamepeleka pungufu au hakuna kabisa. Ukienda kudai malipo lazima uandike barua ya mapunjo na haya madai huwa hayalipwi kabisa! Utadai na kuandika barua mpaka unaamua kuacha na kukata tamaa kabisa!
Nina jamaa zangu wengi kabisa katika taasisi za umma hawakupelekewa 15% ya michango yao kwa zaidi ya miaka kadhaa. Walikuwa wanapelekewa 5% nyingine inachepushwa kusikojulikana. Wengine wamestaafu, kuachakazi, kufariki wamedai hela yao mpaka wamechoka. Hebu wahusika sijui TAKUKURU, PSSSF, NSSF sijui nini wawaangalie hawa jamaa wa HAZINA katika suala zima la michango ya watumishi.
Nina uhakika na wao wamejitengenezea kamfumo kakuchepusha na kuiba kiasi fulani cha michango kwa kila mtumishi wa umma. Nasema hivyo kwasababu ukienda kudai hulipwi mpaka utachoka! Ukienda ofisini kwao utaambiwa sijui nani na nani anahusika sijui hayupo sijui tutalifanyia kazi! NARUDIA! Michango ya mifuko ya hifadhi ya jamii kwa watumishi wa umma kwa ujumla inapigwa sana!
Ni kweli kabisaWatu wanamiliki mabasi ,majumba unadhani pesa wanapata wapi.Ni wizi mtupu
Twende nae wapi sasa!!Twendeni na mama 2025
mama aliwambia wale kidogo kdogo wasivembeweInasikitisha sana tena sana. Inavyoonekana ni kama almost 70% ya mapato ya serikalini yanaibiwa na 30% ndiyo Dkt Samia anatamba nayo. Maana ukijiuliza inakuwaje na mifumo yote rais alalamike hakuna mapato? Kumbe kuna wajanja wametega mirija kila sehemu matokeo yake Dkt Samia anaitwa majina ya ajabu. Yaani huu ushauri wako mdau muhimu sana mi nilikuwa sijui ila hakika umeleta jambo la maana ili tusije mhukumu Dkt Samia kwa kukopa, tuanze kwanza na wezi hawa waadabishwe