Takwimu rasmi kuanzia mwaka 1965 waumini milioni 18,555,581 wamejitoa kutoka Kanisa la Waadventista Wasabato, je Nini chanzo?

Niwe au nisiwe muumini, ni vyema kuhabarisha jukwaa kwa usahihi
 
Niwe au nisiwe muumini, ni vyema kuhabarisha jukwaa kwa usahihi
ungejibu kwanza hilo swali. mimi ninayejifanya nabii nikaja kuwaambia watu kwamba hiyo chart uliyoweka bwana ameniambia ni ya kweli. hapo utaniweka fungu gani?
 
soma kisa cha mpanzi utaelewa kwa nini hao watu waliacha iman, kwa kawaida kuna sababu nyingi za watu kuiacha iman moja wapo ni changamoto na shughuli za maisha. Nadhan si kanisa la wasabato pekee hata makanisa mengine yanakutana na hali kama hiyo ni vile tu hawajaweka takwimu
 
ungejibu kwanza hilo swali. mimi ninayejifanya nabii nikaja kuwaambia watu kwamba hiyo chart uliyoweka bwana ameniambia ni ya kweli. hapo utaniweka fungu gani?
Nikikuthibitishia hakuunga mkono hoja ya Miller, haitapunguza mtazamo wako. Kitabu hicho kina sura/chapters 42. Umejikita kwenye kipande kinachokidhi mtazamo wako. Hapa hoja ilikuwa kuhama kwa washiriki. Jambo ambalo lipo kwenye madhehebu yote duniani.
 
💯
 
Kabisa la kishwaini kabisa,
Lina masharti ya kijinga yasiyo na mashiko, Eti Ni marufuku kunywa kinywaji cheusi mf: pepsi na coca
Uliisoma wapi hiyo ya kukataza kunywa kinywaji cheusi, au ni hearsay umeifanya kuwa kweli?
 
sasa wewe inakusaidia nini labda tufafanulie
 
Kabisa la kishwaini kabisa,
Lina masharti ya kijinga yasiyo na mashiko, Eti Ni marufuku kunywa kinywaji cheusi mf: pepsi na coca
Hata mimi nasikia kwako hili pamoja na kuwa muumini siku nying
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…