Takwimu za bwawa la Nyerere zinastaajabisha sana

Takwimu za bwawa la Nyerere zinastaajabisha sana

Nafikiri toka uhuru hatujawahi kufanya mradi mkubwa namna hii. Kukamilika kwake kutatujengea roho ya uthubutu kwenye miradi mikubwa.

Eneo la ziwa litakuwa na ukubwa wa karibu km za eneo 1,350. Hii ni kama mara mbili ya ukubwa wa Mtera. Na kwa eneo litakuwa la tano nyuma ya ziwa Rukwa.

Japo ziwa Rukwa ni kubwa kwa eneo, likiwa na km za mraba 5700+. Ziwa la Nyerere litakuwa na maji mengi zaidi. Km za ujazo 33 dhidi ya 20 za ziwa Rukwa.

Litakuwa ni moja ya maziwa makubwa ya kutengenezwa na binadamu kwa ujazo. Ziwa kubwa kuliko yote la kutengenezwa duniani ni ziwa Kariba, likiwa na ujazo wa km za ujazo 180.

Umeme MW 2100 utatufaa sana. Hope tutaanza kupikia na umeme. Aliyethubutu kuanza mradi huu aliona mbali sana.
taarifa rasmi inasema ziwa natron siyo rukwa...acha kujaa upepe
 
Swali la kijinga sana hili
ni la kijinga kwa mjinga kama wewe anayepindisha ukweli. mjenzi, designer na hata mmiliki (serikali) analinganisha bwawa hilo na ziwa natron, lakini ninyi vibaka mnalinganisha na ziwa rukwa.

mjinga ni nani?
 
Nafikiri toka uhuru hatujawahi kufanya mradi mkubwa namna hii. Kukamilika kwake kutatujengea roho ya uthubutu kwenye miradi mikubwa.

Eneo la ziwa litakuwa na ukubwa wa karibu km za eneo 1,350. Hii ni kama mara mbili ya ukubwa wa Mtera. Na kwa eneo litakuwa la tano nyuma ya ziwa Rukwa.

Japo ziwa Rukwa ni kubwa kwa eneo, likiwa na km za mraba 5700+. Ziwa la Nyerere litakuwa na maji mengi zaidi. Km za ujazo 33 dhidi ya 20 za ziwa Rukwa.

Litakuwa ni moja ya maziwa makubwa ya kutengenezwa na binadamu kwa ujazo. Ziwa kubwa kuliko yote la kutengenezwa duniani ni ziwa Kariba, likiwa na ujazo wa km za ujazo 180.

Umeme MW 2100 utatufaa sana. Hope tutaanza kupikia na umeme. Aliyethubutu kuanza mradi huu aliona mbali sana.
Kariba Dam inazalisha megawatt ngapi
 
ni la kijinga kwa mjinga kama wewe anayepindisha ukweli. mjenzi, designer na hata mmiliki (serikali) analinganisha bwawa hilo na ziwa natron, lakini ninyi vibaka mnalinganisha na ziwa rukwa.

mjinga ni nani?
Acha ujinga. Kwani lazima tumuige mjenzi? Ndiyo elimu ya kukariri hiyo.
 
Acha ujinga. Kwani lazima tumuige mjenzi? Ndiyo elimu ya kukariri hiyo.
wewe ni fal.a sana. hoja yangu imejikita katika taarifa. mtoa post anasema linaukubwa kuzidi ziwa rukwa, lakini taarifa rasmi inasema ziwa natron...habari ya kumuiga mjenzi imetoka wapi>
 
wewe ni fal.a sana. hoja yangu imejikita katika taarifa. mtoa post anasema linaukubwa kuzidi ziwa rukwa, lakini taarifa rasmi inasema ziwa natron...habari ya kumuiga mjenzi imetoka wapi>
Sasa kama linazidi na ziwa Rukwa isisemwe? Yaani wote tuongee hiyo taarifa rasmi? Kwanza linazidi maziwa mengi tu. Natroni, Magadi, Manyara, Burigi, nk nk. Ni ziwa la nne kwa ujazo Tanzania.
 
Nafikiri toka uhuru hatujawahi kufanya mradi mkubwa namna hii. Kukamilika kwake kutatujengea roho ya uthubutu kwenye miradi mikubwa.

Eneo la ziwa litakuwa na ukubwa wa karibu km za eneo 1,350. Hii ni kama mara mbili ya ukubwa wa Mtera. Na kwa eneo litakuwa la tano nyuma ya ziwa Rukwa.

Japo ziwa Rukwa ni kubwa kwa eneo, likiwa na km za mraba 5700+. Ziwa la Nyerere litakuwa na maji mengi zaidi. Km za ujazo 33 dhidi ya 20 za ziwa Rukwa.

Litakuwa ni moja ya maziwa makubwa ya kutengenezwa na binadamu kwa ujazo. Ziwa kubwa kuliko yote la kutengenezwa duniani ni ziwa Kariba, likiwa na ujazo wa km za ujazo 180.

Umeme MW 2100 utatufaa sana. Hope tutaanza kupikia na umeme. Aliyethubutu kuanza mradi huu aliona mbali sana.
Hii ni kazi ya Mama Samia. Mingine tena.
 
Litakuwa ni moja ya maziwa makubwa ya kutengenezwa na binadamu kwa ujazo. Ziwa kubwa kuliko yote la kutengenezwa duniani ni ziwa Kariba, likiwa na ujazo wa km za ujazo 180.

Umeme MW 2100 utatufaa sana. Hope tutaanza kupikia na umeme. Aliyethubutu kuanza mradi huu aliona mbali sana.
yaani dadandu unawaza kupika tu...😜😜
unamaanisha unamuongelea aliyetupiga kwenye kivuko cha mv DarRsalam na mindege yake ya mitumba au?
FpeKU19WcAAPOBy
images
😜 😜
 
Nafikiri toka uhuru hatujawahi kufanya mradi mkubwa namna hii. Kukamilika kwake kutatujengea roho ya uthubutu kwenye miradi mikubwa.

Eneo la ziwa litakuwa na ukubwa wa karibu km za eneo 1,350. Hii ni kama mara mbili ya ukubwa wa Mtera. Na kwa eneo litakuwa la tano nyuma ya ziwa Rukwa.

Japo ziwa Rukwa ni kubwa kwa eneo, likiwa na km za mraba 5700+. Ziwa la Nyerere litakuwa na maji mengi zaidi. Km za ujazo 33 dhidi ya 20 za ziwa Rukwa.

Litakuwa ni moja ya maziwa makubwa ya kutengenezwa na binadamu kwa ujazo. Ziwa kubwa kuliko yote la kutengenezwa duniani ni ziwa Kariba, likiwa na ujazo wa km za ujazo 180.

Umeme MW 2100 utatufaa sana. Hope tutaanza kupikia na umeme. Aliyethubutu kuanza mradi huu aliona mbali sana.
Megawatt 2000 ni kidogo mno kwa nchi inayoendelea. Haitafika 2028 tutahitaji bwawa jingine. Potential ya Stiggler’s gorge ni zaidi ya mara tatu ya tulivyotumia. Sijui watanzania tuna shida gani!
 
Megawatt 2000 ni kidogo mno kwa nchi inayoendelea. Haitafika 2028 tutahitaji bwawa jingine. Potential ya Stiggler’s gorge ni zaidi ya mara tatu ya tulivyotumia. Sijui watanzania tuna shida gani!
Tuko nyuma sana kwenye uzalishai wa umeme. Safari ni hatua
 
Back
Top Bottom