Ndondocha mkuu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 2,490
- 2,965
Mkuu vpRound ya pili mnayoisubiri ndio atazidi kuwa takataka kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu vpRound ya pili mnayoisubiri ndio atazidi kuwa takataka kabisa
Tatizo hamjui kuwa OKW BOBAN SUNZU huwa ni MpuuziiiiiiiJamaa anapenda kujiaibisha bora akomae jukwaa la Siasa tu.
PopomaNa tukienda deep tukisema tuufanye huu mjadala kuwa mpana tukaamua kujadili mechanism ya hayo magoli magoli kwa kina namna yalivyo patikana tutaona namna mayele alivyokua akibustiwa na favour ya refa
Mimi nawaambieni wana yanga wenzangu huyu mayele mpaka msimu unaisha akikaa vibaya atakuwa ameachwa gape kubwa ya magoli na onyango.
Kapoteza soko si tishio tena kwenye derby tunapata mashaka kwenye round ya pili ambayo sisi ndio wenyeji tutamtumia nani kama tishio ili kuwapa morale mashabiki
Upepo wa mayele umekata ghafla kama ule ulio mpitiaga mzee mpili, nahisi kuna haja ya kutowapigia promo wachezaji wetu kwa kuwajaza bichwa ili kuwafanya wasipotee haraka.
AiseePopoma
Saa hizi takwimu zinatia Mimba kabisaTakwimu zinatia uchungu kweli
MVP wa NBC premier league 2021-2022[emoji122][emoji122]Yanick Bangala Litombo,mutu ya kazi,Mzee ya kazi chafuuu
🖐️ 🙄Mnaosema kibu ni mkali kuliko mayele nyoosheni mikono niwahesabu.
Mutoto ya Tshekedi. Mutu ya watu! Mutu isiyo na maneno mingi!! 🙌Yanick Bangala Litombo,mutu ya kazi,Mzee ya kazi chafuuu
KabsaaMutoto ya Tshekedi. Mutu ya watu! Mutu isiyo na maneno mingi!! 🙌
AsifuteAdmins futeni huu uzi umeshaexpire ni useless
Hahaha!! kama kuna ukweli ndani yake maana nakumbuka kipindi kile ana avatar ya Lisu na sasa hivi ni vitu viwili tofauti.Huyu pimbi tangu alipo badili avatar yake amekua mtu wa hovyo kabisa! mavi ya kuku
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Hivi izi kejeli mwisho wa siku ziliishia wapi?Makolo hamnaga akili[emoji23]Na tukienda deep tukisema tuufanye huu mjadala kuwa mpana tukaamua kujadili mechanism ya hayo magoli magoli kwa kina namna yalivyo patikana tutaona namna mayele alivyokua akibustiwa na favour ya refa
Mimi nawaambieni wana yanga wenzangu huyu mayele mpaka msimu unaisha akikaa vibaya atakuwa ameachwa gape kubwa ya magoli na onyango.
Kapoteza soko si tishio tena kwenye derby tunapata mashaka kwenye round ya pili ambayo sisi ndio wenyeji tutamtumia nani kama tishio ili kuwapa morale mashabiki
Upepo wa mayele umekata ghafla kama ule ulio mpitiaga mzee mpili, nahisi kuna haja ya kutowapigia promo wachezaji wetu kwa kuwajaza bichwa ili kuwafanya wasipotee haraka.