Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Takwimu zinaendelea kutia uchungu, siba hufu moyaNaomba updates za huu uzi..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Takwimu zinaendelea kutia uchungu, siba hufu moyaNaomba updates za huu uzi..
[emoji23][emoji23][emoji23] hawezi kukanyaga hapa hata kwa bahati mbayaNaomba updates za huu uzi..
HahaaaMakolo fc wamekimbia uzi
Vp hiiNa tukienda deep tukisema tuufanye huu mjadala kuwa mpana tukaamua kujadili mechanism ya hayo magoli magoli kwa kina namna yalivyo patikana tutaona namna mayele alivyokua akibustiwa na favour ya refa
Mimi nawaambieni wana yanga wenzangu huyu mayele mpaka msimu unaisha akikaa vibaya atakuwa ameachwa gape kubwa ya magoli na onyango.
Kapoteza soko si tishio tena kwenye derby tunapata mashaka kwenye round ya pili ambayo sisi ndio wenyeji tutamtumia nani kama tishio ili kuwapa morale mashabiki
Upepo wa mayele umekata ghafla kama ule ulio mpitiaga mzee mpili, nahisi kuna haja ya kutowapigia promo wachezaji wetu kwa kuwajaza bichwa ili kuwafanya wasipotee haraka.
Unatumia mda mwingi kuandika pumbaNa tukienda deep tukisema tuufanye huu mjadala kuwa mpana tukaamua kujadili mechanism ya hayo magoli magoli kwa kina namna yalivyo patikana tutaona namna mayele alivyokua akibustiwa na favour ya refa
Mimi nawaambieni wana yanga wenzangu huyu mayele mpaka msimu unaisha akikaa vibaya atakuwa ameachwa gape kubwa ya magoli na onyango.
Kapoteza soko si tishio tena kwenye derby tunapata mashaka kwenye round ya pili ambayo sisi ndio wenyeji tutamtumia nani kama tishio ili kuwapa morale mashabiki
Upepo wa mayele umekata ghafla kama ule ulio mpitiaga mzee mpili, nahisi kuna haja ya kutowapigia promo wachezaji wetu kwa kuwajaza bichwa ili kuwafanya wasipotee haraka.
Msamehe bure Mbumbumbu wana sononaUnatumia mda mwingi kuandika pumba
HaaaahaaaKeshaweka post nyingine uko ya kuwa Aziz ki yanga amepigwa lakini baada ya muda autajua atakapopotelea na uzi atautelekeza kama huu anauchungulia kama anamchungulia baba mkwe
Punguani limeanzisha Uzi mwingine aziz k tumepigwa milioni 400[emoji16][emoji16][emoji16] wakati huu huku kaukimbia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mayele atawapiga mpaka mchakae,, ni vizuri wanasimba mkatubu kwa mwamposa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamaa anauchungulia uzi wake anaupita Kama auoni vile hana hamu na mayele[emoji1436][emoji1436]
Hawa mbumbumbu ni wa kuwasemehe, umeona kelele zote mtaani Leo? Tunapiga mtu halafu wala haturingi.Punguani limeanzisha Uzi mwingine aziz k tumepigwa milioni 400[emoji16][emoji16][emoji16] wakati huu huku kaukimbia
Hilo ni jini, siyo binadamu wa kawaida huyo.Mayele