Takwimu za Yanga msimu uliopita Round ya kwanza

kingine cha kuongezea,ss hv ukiacha uwezo binafs timu inacheza kitimu zaidi na sio kutegemea uwezo binafs wa mchezaji zaid.Ndio maana zinapigwa pasi milio 10,809,023/-. Sio km msimu uliopita unakuta bila mbio za kisinda timu inafel au km Mukoko au Fei toto akikosekana mnaumiza kichwa.
 
Angalia impact ya Bangala kwenye kikosi, impact ya Aucho, Mayele, Djuma na Moloko.

Alaf rudi kwenye wachezaji mliosajili nyie ambao mpaka sasa ww kama shabiki wamekukosha ni wangapi?
 
Weka na simba tulinganishe
 
Uto wako moto sana mwaka huu.

Simba tumepigwa tu, tukubali, maana kwa uchezaj ule, hatutoboi.
 
Nanunua Simba mbovu pamoja na Moo chakavu!
 
Kama 2011-2017 yanga walichukua ubingwa mfululizo

Azam ni mwaka gani alichukua ubingwa?

Hapo ndo utajua kwanini eymael aliwaita nyani
1968 Yanga
1969 Yanga
1970 Yanga
1971Yanga
1972Yanga..

2012/13 simba
2013/14 Azam
2014/15 Yanga
2015/16 Yanga
2016/17 Yanga
2017/18 Simba
2018/19Simba
2019/20 Simba
2020/21Simba


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tukumbushe kama mwaka jana Simba nao walikuwa na maandamano ya kutembea uchi.
 
Akiumia Mayele na Djuma mbadala wake ni nani? [emoji23][emoji23]
Bado naona Simba ikitwaa taji kwa mara nyingine timu yenu haina depth nzuri

Nitaftie mbadala wa hao jamaa wawili niliowataja ndo utajua kwamba simba ipo fresh na depth yake once again itawabeba
 
akiumia djuma

shomari kbwana anarud namba ake ya asili namba 2.....kule namba 3 kuna yassin kuna dogo bryson na adeyun


akiumia mayele atacheza makambo ikishindika yacouba anarud kati huku winga anaenda farid musa....ukiwa na waswas na yacouba kumbuka ndio top scorer wetu last season


eeeh swali lingine
 
Kulikuwa hakuna haja ya kumjibu Kolokolo hili swali,kwani timu yao hajaumia mtu lkn la ovyo ovyo,tena kila kukicha linazidi kuoza.
 
Anayewatia kiburi saizi ni mayele, ni kama mwaka jana ilivyokua kwa kalinyo

Yanga ni ile ile mtapoteana shauri zenu
Once upon a time nilisema hii kitu
 
Kwamba Mnajipa Moyo Yatajirudia Hayo Poleni Sana [emoji23][emoji23], Nyie Subirini Penati Yenu Baadae [emoji23][emoji23][emoji23]
Your browser is not able to display this video.
 
Kwamba Mnajipa Moyo Yatajirudia Hayo Poleni Sana [emoji23][emoji23], Nyie Subirini Penati Yenu Baadae [emoji23][emoji23][emoji23]
I told you but you didn't listen
Save your tears for another time

Hiyo ni ngoma ya weekend ikumbuke utaitumia kupoza maumivu
Haya sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…