Talaka inavyoniaribia Binti yangu mapema💔



Hakuna MTOTO wa kiume ambae si MWEMA kwa mama yake
 
Kwanza pole hizo ni changamoto za maisha tatizo kubwa hapo ni hao watoto kulelewa na step mother , kimsingi hakuna naeweza kulea mtt asomzaa vzr kama mama mtu hata iweje ungetengenez mazingr tu wallet na mama yao kuliko ulichofanya hatar sna ogopa matapel
 
Athari za kuvunjika ndoa ni wazi huathiri pia malezi ya watoto.
Ninachokiona hapo ni kuwa binti yako anaamini wewe baba ndiye mkosaji na chanzo cha mama yao kuondoka. Na kama aliwahi kushuhudia ukimpiga, kumnyanyasa mama yao, ni vigumu kuondoa kinyongo hicho moyoni mwake; na hii hupelekea kuwachukia wanaume wote au kuchukia maisha ya ndoa.
Kama unaamini wewe upo sahihi, mueleze ukweli chanzo cha mama yao kuondoka. Akijua mama ndiye mkosaji, atakuwa upande wako.
 


MKUU kuna tofauti kati ya malezi na kuwahudumia Watoto, mama yao wa kuwazaa atakuwa better katika kuwahudumia na kuwapendelea Watoto ila huyo Mama yao wa kambo atakuwa better katika kuwalea na kuwapenda watoto


Kuna dhana potofu DUNIA inatufundisha na kutuaminisha kuhusu UPENDO 👉 kuna tofauti Kati ya kupenda na kupendelea na kibaya Zaidi Dunia inatufundisha Kwamba, kupendelea Ndio kupenda kumbe tunatenda kinyume na UPENDO... Mama wa kambo atakua neutral kwa hao Watoto hatowapendelea kamwe na huko ndiko kutenda Upendo wa Kweli kwa Watoto


Unafikiri kwanini waswahili husema MTOTO kwa mama HAKUI? ✍️
 
9yrs Bado huyo nenda nae taratibu tu mtoto wa kike ukiwa nae karibu lazma akusikilize tu baba ake
 
9yrs Bado huyo nenda nae taratibu tu mtoto wa kike ukiwa nae karibu lazma akusikilize tu baba ake
 
Huu uzi ni mzito na ni rahis tu kukoment ila muhusika ndo anajua joto Lake, mama awe anapenda au anapendelea still huwez linganisha na huo upendo wa mama wa kambo ever. ndo mana watu hata biblia inakataa kuachana sab wanaoumia ni wengine. ila Inapolazimu bas watot waish na mama yao over.
 


Hujanibu swali nimekuuliza 👉 unafikiri kwanini waswahili husema MTOTO kwa mama HAKUI?
 
Binti wa miaka 9 ashakuwa na mawazo ya kuolewa au kutoolewa... Mimi binti yangu naye ana miaka 9 nadhani hata wazo hilo hana kabisa na wala hajaelewa ndoa hata ni kitu gani.
Mimi mwenyewe single father
Unajiona umepatiia mwenyewe. Anapswa ajue na aelezwe kama yapo madhara ya kuiingia mapema au faida iwapo zipo.
Na usipomwambia Wewe ataambiwa na wengine tena kwa namna wanayoijua na kuipenda wao
 
Unajiona umepatiia mwenyewe. Anapswa ajue na aelezwe kama yapo madhara ya kuiingia mapema au faida iwapo zipo.
Na usipomwambia Wewe ataambiwa na wengine tena kwa namna wanayoijua na kuipenda wao
Kwa hiyo wewe una binti wa miaka 9 anayejua masuala ya ndoa?
 
Ni bora ukosee maisha lakini usikosee kuoa. Ni hasara kubwa inayoondoa hata maana ya maisha yenyewe.

Alafu Oi! inakuwaje unamfundisha mtoto wa miaka 9 maswala ya ndoa na kuolewa? Sio kwamba bado ni mdogo tu. Bali hayo mambo hatakiwi kuyasikia kutoka kwako hata akifika 18. Kunormalize hayo mambo kwenye umri huo ni kosa kubwa sana, kwani ataona sex ni kitu cha kawaida na lazima awe malaya kupita viwango. Unatakiwa umfundishe kujitegemea, kujituma na kujimbua, sio kugegedana. Inavyoonekana wewe na mkeo wa kwanza wote hamjitambui. Mimi nimeanza kuongea kuhusu ndoa na wazazi juzijuzi baada ya kuanza kukaribia hiyo hatua.

Mzazi asiyejitambua ni hasara na maumivu kwa mtoto.
 
Mke agongwe nje bado unaendelea kuwa nae kisa watoto?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…