Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Atajutraa watu wanajijua wana ndoa kumchokoza mange
Heee mwenzio kaishapewa data Bite hana mume kamtaliki hata ndoa haina miaka 2 na hadi kasusa mtoto, ...mume anasema mtoto sio wake ni wa CCM ( kwa jinsi alivyokuwa anagawa papuchi bila condom[emoji87] [emoji87] [emoji87] ), so bite eti yuko uchagani huko migombani anaishi na babaake na huyo mtoto asiye na baba duuh!
 
Screenshots plz

 
Navyosikia am not sure... Ni project yao Yeye na Mwamy, pale Dangote alipewa kikita chake 50m tu... hapo unaeza kuta ni ishu ya mwamy ila kutokana na ushost sasa na yeye anajiongeza
Oooh
 
[emoji28][emoji28][emoji28]sijaingia insta leo ntaingia badae
 
Mmmmmmmmh me mange simgusi kwa lolote, huwa namsoma na kupita... sicomment wala si like... mitusi yake ya zaidi ya tani elfu 10 nitaimudu wapi? Halafu ana mashushushu kila kona inavyoonyesha
 
Hello ladies & gents...
Wambea wenzangu [emoji23][emoji23][emoji23]
Nifah was busy like hell [emoji22][emoji22]
Lakini kwa sasa am baaaack...
Miss ya'll [emoji7][emoji7][emoji7]
Ngoja nianze kupitia ubuyu maana mmetiririkaje?
[emoji6][emoji6]
 
out of topic
hivi mbona mimba za diamond huwa zina ukakasi kiaina?
unakumbuka ile picha zari alipost akafuata alikuwa anaogelea? mara ivan nae kapost eneo hilo hilo mara ana mimba
mimi sielewi ila ukisema utaambiwa umekuwa hater shogangu
Kiukweli hata mimi sikuelewa hapa.
Miss huu ubuyu unyooshe pls
Sijaelewa mbea mimi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…