Heee mwenzio kaishapewa data Bite hana mume kamtaliki hata ndoa haina miaka 2 na hadi kasusa mtoto, ...mume anasema mtoto sio wake ni wa CCM ( kwa jinsi alivyokuwa anagawa papuchi bila condom[emoji87] [emoji87] [emoji87] ), so bite eti yuko uchagani huko migombani anaishi na babaake na huyo mtoto asiye na baba duuh!Atajutraa watu wanajijua wana ndoa kumchokoza mange
Heee mwenzio kaishapewa data Bite hana mume kamtaliki hata ndoa haina miaka 2 na hadi kasusa mtoto, ...mume anasema mtoto sio wake ni wa CCM ( kwa jinsi alivyokuwa anagawa papuchi bila condom[emoji87] [emoji87] [emoji87] ), so bite eti yuko uchagani huko migombani anaishi na babaake na huyo mtoto asiye na baba duuh!
Kuna kitu nimegundua, kuna watu wanapenda kumuona Mange akitukana watu na hawa ndio wanaomfata DM na kumpa habari ya muhusika haijalishi ya uongo kwa chuki au ya ukweli. Ila kwa matusi ya mitandaoni tu wengine kwao mafuta. Nimeona huyo dada naye kakomaa tu
OoohNavyosikia am not sure... Ni project yao Yeye na Mwamy, pale Dangote alipewa kikita chake 50m tu... hapo unaeza kuta ni ishu ya mwamy ila kutokana na ushost sasa na yeye anajiongeza
[emoji28][emoji28][emoji28]sijaingia insta leo ntaingia badaeHeee mwenzio kaishapewa data Bite hana mume kamtaliki hata ndoa haina miaka 2 na hadi kasusa mtoto, ...mume anasema mtoto sio wake ni wa CCM ( kwa jinsi alivyokuwa anagawa papuchi bila condom[emoji87] [emoji87] [emoji87] ), so bite eti yuko uchagani huko migombani anaishi na babaake na huyo mtoto asiye na baba duuh!
Fanya kuingia kabla hazifuta...manake kuna baadhi kafuta, ile aliyosema Bite analala na baba ake![emoji28][emoji28][emoji28]sijaingia insta leo ntaingia badae
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mange angekuwa bongo na hivi ameachika ningefanya mchakato nimuoe ili niwe napata ubuyu kitandani kabla haujaingia kwenye media!
kumbe makonda hana mtoto jamani?Fanya kuingia kabla hazifuta...manake kuna baadhi kafuta, ile aliyosema Bite analala na baba ake!
Ngachokaaakumbe makonda hana mtoto jamani?
Makonda anatatizo gani na mange mbaka yamefikia huko
Kiukweli hata mimi sikuelewa hapa.out of topic
hivi mbona mimba za diamond huwa zina ukakasi kiaina?
unakumbuka ile picha zari alipost akafuata alikuwa anaogelea? mara ivan nae kapost eneo hilo hilo mara ana mimba
mimi sielewi ila ukisema utaambiwa umekuwa hater shogangu
Sijaelewa mbea mimi
Mange ananipa raha sana
ngoja kwanzaKiukweli hata mimi sikuelewa hapa.
Miss huu ubuyu unyooshe pls