witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Heee mwenzio kaishapewa data Bite hana mume kamtaliki hata ndoa haina miaka 2 na hadi kasusa mtoto, ...mume anasema mtoto sio wake ni wa CCM ( kwa jinsi alivyokuwa anagawa papuchi bila condom[emoji87] [emoji87] [emoji87] ), so bite eti yuko uchagani huko migombani anaishi na babaake na huyo mtoto asiye na baba duuh!Atajutraa watu wanajijua wana ndoa kumchokoza mange