Taliban wavamia Iran na kuteka eneo

Taliban wavamia Iran na kuteka eneo

Mwanzo ulisema hujaiona, nimekuletea source tena ya kiarabu sasa umehamisha magoli, kwa kifupi fisi kala fisi na muendelee hivyo ili dunia tuishi kwa amani, hao mataliban wajilipue lipue kwa Iran ili wawahi mabikira.
Majamaa yanawaza ngono tu muda wote eti "nikifa naenda kula bikra 72" [emoji23]
 
Ilikuwa talban vs polisi wa iran mpaka inafika jana iran jesh la polisi la iran lilikomboa eneo lote na kujibebea hamvee 10 ambazo talbani waliziacha kufikia leo iran imepoteza askari 3 talban imepoteza askari 20 .talbani hawawez kusimama na iran kumbuka ndani ya afghanistan kuna jamii za madhehebu ya shia iran inauwezo wa kuunda kundi la wapiganaji kupitia madhehebu hayo na afghanistan pasikalike kama yemen
Subir tuone kama inaeza kuwa ghafla hivyo
 
Hata Kenya na Tz huwa kunatokeaga shida mipakani ,na sio hao tu ni nchi kibao hata nyinyi wa Kenya mna mgogora na jirani yenu wa siku nyingi kuhusu mpaka .

Sasa mada kawasilisha kama Serikali moja inataka kufanya uvamizi katika nchi nyingine kama Urusi na Ukraine wakati mgogoro hatujafika stage hiyo na wala hakuna aliyemtisha mwenzake sasa mleta mada kaikuza habari kishambenga.
Ndo tuliwai fikia hatua ya kupigana risasi hadi kuuana ?
 
Tanzania na Malawi

Rwanda na DRC

Egypt na Ethiopia

Israel na Iran,Hamas,PIJ,Hezbollah,Syria

Ukraine na Belarus, Russia

China na India, Taiwan, USA

Northkorea na southKorea, USA,Japan
Nan alikufa hapo kwa Tz na Malawi?
 
Wapi nimesema Jeshi la Tz limegombana na jeshi la Kenya kuhusu mpaka ,hivi akili unayo ?

Mimi nimetoa Maelezo generally kwamba mipakani migogoro ni jambo la kawaida na sijakuwa specific kwamba mgogoro wa namana hiyo umewahi kutokea East Africa .
Hiyo migogoro haifanani
 
Hawataki kuliona hilo. Kifo cha HUAWEI China mpaka leo analilia bafuni kila akienda kuoga.
Aliyekwambia huawei imekufa nani mbona mnakuwa kama watu mlioishia darasa la7
 
Mkwara mmoja tu tena wa mdomo pale Washinton mpaka leo Kariakoo Huwaei hakuna, nakumbuka saana mzee DT aliulizwa na mwandishi wa Fox News kwamba US itafanyaje endapo China itakaidi? Jibu la kiburi alilotoa alisema “wev gat all option on the table, its up to them to choose whether they are with us or not’ fikiria sana hili jawabu, mkwala ule uliopigwa Beijing ulipelekea mpaka nchi ambazo zilikuwa zilishaanza mradi wa 5G installation kuvunja mikataba na China na kukunja mikono
Nakukumbusha tu Huawei ni kampuni kubwa sana biashara zake nyingi zilizuiliwa ulaya na Australia ila bado inafanya kazi nchi nyingi za Asia na Africa ukianza na sisi apa Tanzania, huawei hawakuwa kwenye simu tu au installation ya mitambo ya 5G ila juzi wamezindua magari yao ya umeme wakishirikiana na kampuni nyingine ya China na tayari wametoa toleo lao la cm p60 saivi wamewekeza kwenye A.I shida ni wajinga kama nyie mnaona huawei imefeli hamfatilii vitu ila kuongelea mambo kishabiki kama waimba taarabu
 
Aliyekwambia huawei imekufa nani mbona mnakuwa kama watu mlioishia darasa la7
Hauwezi ukaelewi kinachoomgelewa sababu ya tabia za panzi ulizo nazo. Wewe unadhani kila kinachoongelea is meant kwa akili 'kubwa' kama zako?
 
Hauwezi ukaelewi kinachoomgelewa sababu ya tabia za panzi ulizo nazo. Wewe unadhani kila kinachoongelea is meant kwa akili 'kubwa' kama zako?
Akili kubwa unazo wewe ila vichaa wanaongea kama watu wasio na akili
 
Hii video haithibitishi kuwa ndio kilichotokea hivi karibuni .

Source Tiktok ni kweli mtu kuamini asilimia zote ?
Ww unataka tuamin nn ? Hv unahisi ili habari iwe ya ukwel inabidi ionekane wap tu ? Kwamba waliopo ground hawajui lolote bali ww ndo unaelewa kuwazid ? Ebu watz hz elimu zetu zitukomboe na sio kututia ujinga wa kubisha kila kitu
 
Watu ni vile wamekuwa wwpesi kusahau. Marekani kabla hajaondokana Afghanistan walikaa na Taliban kwanza na kuna mambo wakikubaliana.
Nakumbuka kikao hicho kilifanyika chini ya utawala wa Trump, ambapo nakumbuka ilisemwa inaangaliwa namna watakavyoondoka ma jinsi Taleban watakavyotawala.

Fikiria, anayetawala Afghanistan ni mwingine, lakini US anakaa na mwingine kujadili namna ya kuondoka na huyo kiongozi wa Taleban nadhani alikutana na Trump katika ziara ya Trump huko Qatar or Saud.

Ilivyokuwa inaripotiwa kuwa US amekimbia Afghanistan, binafsi sikuwahi kuchangia maana kwa kumbukumbu zangu ilikataa kuwa amekimbia huku akiwaachia vifaa vya kisasa kwa madai ya kushindwa kuvihamisha sababu ya muda, yaani unawahi kukimbia unaacha hadi ndege za kisasa za kivita?
Hii mimi ilikataa kuingia akilini nikachagua kuwa kimya tu.
Koo leo ndo umepata nguvu si ndio.
 
Mataleban wazuri sana kwenye kujilipua mabomu ili wakawahi mabikira, sasa hapo ukiwaza nalo kubwa la magaidi ni Iran .....te te te aisei wasikawie kuamsha amsha.
Tulia wewe kwanza source yako ya Al-Jazeera haina mbwembwe nyingi kama ndugu yako alizoleta hapa.
 
Ww unataka tuamin nn ? Hv unahisi ili habari iwe ya ukwel inabidi ionekane wap tu ? Kwamba waliopo ground hawajui lolote bali ww ndo unaelewa kuwazid ? Ebu watz hz elimu zetu zitukomboe na sio kututia ujinga wa kubisha kila kitu
Iwe na source kama CNN ,BBC na Aljazeera sasa video ya Tiktok inaonyesha vifaru na wanajeshi huku ikiwa na maneno kuwa nchi fulani inavamia nchi fulani ni ya kuamini kwa mtu mwenye akili timamu ?

Video hiyo hiyo mimi ninaweza kufuta hayo maneno nikaweka kuwa Turkmenistan jeshi lake linavamia Armenia utaamini nayo ?

Tiktok inajulikana kuwa ni site ya vijana wa hovyo kivipi unafosi iwe chanzo cha kuaminika ?
 
Back
Top Bottom