Pre GE2025 Tamaa ya Tundu Antipas Lissu, Kuutaka uwenyekiti wa CHADEMA taifa ni utashi wake binafsi au shinikizo kutoka nje ya nchi kwa wanao mbackup!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tlaatlaah amekuwa mwendawazimu!
 
Gentleman,
inashangaza sana kwakweli,
Asubuh mtu anatangaza nia ya kugombea umakamu mwenyekiti wa Chadema taifa, halafu ghafla tena jioni anatangaza kugombea uenyekiti kamili wa Chadema Taifa.

Hakuna shinikizo la kimataifa kutoka kwa mabwenyenye ya magharibi yanayombackup kweli?

au ni tamaa na uchu wa madaraka na vyeo?πŸ’
 
Gentleman,
naona unang'ata na kupulizi kisayansi zaidi mambo haya.

uko fair kitaalamu sana aise
well done πŸ’ͺπŸ‘Š
 
Aise,
kumbe mambo ni mengi namna hiyo aise πŸ’
 
uko ndani ya mada gentleman na umepiga utosini kabisa tena bila kuegemea upande wowote baina ya mafahali hawa wawili ndani ya chadema.

Ni muhimu ubabe wao ukaamuliwa kwenye sanduku la kura bila masharti yoyote πŸ’
Inatakiwa watafsiri kwa vitendo maana ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo.
 
Lissu ni mtu wa vurugu tu, hana jipya, siasa za vurugu hazina nafasi Tanzania, Chiba anatafuta public sympathy.
 
Lissu ni mtu wa vurugu tu, hana jipya, siasa za vurugu hazina nafasi Tanzania, Chiba anatafuta public sympathy.
For sure na atawavuruga hadi wavurugike vizuri sana πŸ’
 
Lissu na Mbowe ndiyo wenye majibu ya Uhakika Mkuu.. Mimi na wewe tunabuni tu na kuhisi huenda ni hivi, huenda ni vile..
 
Kwa wenye Akili zinazofanana na watu waliosomea Cuba jibu kwa swali lako ni kwamba hakuna shinikizo kutoka popote pale bali hii ni michezo ya kisiasa tu !

Gentlemen msianze kuwa na wasiwasi πŸ˜€ !
Japo Waswahili husemaga wasiwasi ndio Akili πŸ˜³πŸ™!
 
Kila mtu Ana haki ya kugombea nafas yoyote ile, kwa muktadha wa demokrasia mbowe anatakiwa kuachia kiti kwa namna atakayoiona ni bora na isiyo na wasiwasi. Lakin ukisema mtu fulani anakurupuka utakuwa mshadadiaji wa vitu badala ya uhalisia
 
Kila mtu Ana haki ya kugombea nafas yoyote ile, kwa muktadha wa demokrasia mbowe anatakiwa kuachia kiti kwa namna atakayoiona ni bora na isiyo na wasiwasi. Lakin ukisema mtu fulani anakurupuka utakuwa mshadadiaji wa vitu badala ya uhalisia
kila mtu anahaki ya kugombea, halafu mbowe anatakiwa kuachia kiti, right?
haki ni ya nani sasa hapo?

siasa ni sayansi, siasa ni mahesabu.


unadhani nani kati ya mafahali hawa wawili anakurupuka na makelele mengi na mdomo, na nani anatumia mahesabu na sayansi kufikia azma yake ya kupata nafasi ya uongozi chadema?
 
Hao matapeli wote wanatengenez tukio wapige ruzuku wagawane wajaze matumbo yao.
Hakuna, nasema hakuna upinzani hapo ni wasanii tu wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…