Tamasha la "Single Mothers" lina agenda ya kuharibu ndoa zaidi kuliko kujenga. Lizuiliwe!

Weka hilo Tangazo kwanza
 
Umenikumbusha ya Joyce Kiria.
Alituponda sana wanaume, alipopata kidume amefungwa mdomo.
Mwanamke asipozibwa mdomo mmoja mdomo wa juu unaongea sana.
Nisamehe rafiki
😂😂Kuwa single mama sio shida kama asingekuwa na anaponda taasisi ya ndoa(mume na mke)
 
Hii ndo kazi yako sio kujifanya unapinga ke kuolewa kumbe ni wivu wa kike tu,
Wee ke waolewe ili iweje wakati tunataka wanawake masuper woman bwana.....mwanamke lazima ujioambanie mwenye mwanaume anapaswa kuchukuliwa kama chombo cha starehe tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…