Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haya ni mambo ya gizani ukitaka uyajue utalewa"observer asiyefahamika" umeingiaje kwenye hicho kikao?
wanateswa na wanaonewa sana hasa swala hili,linauma sana japokuwa ndio maelekeo inabidi wafanye tu kumridhisha bossWalimu ni uwanja wa mazoezi wa wanasiasa.
Ebu jiulize swali jepesi tu ni wapi mtahara wetu wa elemu unamuandaa mwanafunzi kujiajiri?yani nahisi wanaamua kupunguza idadi ya wanafunzi watakaokuwa wanaendelea na masomo yao ya juu
of course Yes inasemekana moja ya jambo lililomtoa yule bibi pale OR na Elimu ni "TUITION"Nadhani Sasa waalimu wanaofundisha tuition watapiga Sana hela,na hii ni nafasi nzuri kwao kupata soko la tuition.
hakuna sehemu yoyote hata ,walimu wanaofundishwa wakawafundishe hawa watoto wetu wanafundishwa content basedEbu jiulize swali jepesi tu ni wapi mtahara wetu wa elemu unamuandaa mwanafunzi kujiajiri?
Wewe ni jasusi?haya ni mambo ya gizani ukitaka uyajue utalewa
Unataka akuambie yeye ni mwalimu? Inawezekana ni mwalimu anajulikana lakini anaripoti kwenye office nyingine bila kufahamika.ili mradi Kuna hoja za msingi Basi,acha kumpekua mleta bandiko."observer asiyefahamika" umeingiaje kwenye hicho kikao?
Mwalimu ndio mtu pekee mwenye waajiri wasiopungua 5Shida ni kwamba kuna wengi wapo ofisini lakini akili bado ziko primary...
naitwa Bi Khadija,hata kwako naweza kuja na usitambueWewe ni jasusi?
Duh basi yaishenaitwa Bi Khadija,hata kwako naweza kuja na usitambue
Nimeacha mkuu.Unataka akuambie yeye ni mwalimu? Inawezekana ni mwalimu anajulikana lakini anaripoti kwenye office nyingine bila kufahamika.ili mradi Kuna hoja za msingi Basi,acha kumpekua mleta bandiko.
aika mbe ndedeeDuh basi yaishe
ndugu wajumbe waliuliza maswali hayo wakajibiwa ni changamoto wanazichukua na kuziplekea kuna ko husika.Mbaya zaidi huo muongozo haukuzibagatia dharura zainazoweza kufanya mwalimu asifundishe, mf.mwal kuugua, michezo ya umeseta na umitashumta, na mambo mengine ya kitaifa yanaoweza kuzuia ufundishaji. Nina uhakika aliyeandaa muongozo hakuwahi kuwa mwalimu
Bi Khadija,ungeandika kwa nguvu ya ngapiiiiiiiiii?naitwa Bi Khadija,hata kwako naweza kuja na usitambue