TAMISEMI rasmi yaamua kuua elimu yetu Darasa 1 mpaka kidato cha 6? Nini kazi ya Wizara ya Elimu,OR na Necta?

TAMISEMI rasmi yaamua kuua elimu yetu Darasa 1 mpaka kidato cha 6? Nini kazi ya Wizara ya Elimu,OR na Necta?

Habari wanajukwaa,

Mimi nimekuwa mhanga kwelikweli wa elimu yetu hii ya tanzania hasa huku chini.

Juzi TAMISEMI wametoa mwongozo mpya ambao unatakiwa kutumia kufundishia kuanzia darasa la kwanza mpakakidato cha 6, ambapo kila mwalimu anatakiwa kuandaa kalenda la kufundisha na kwamba wanatak kuweka equality kwa wnaafunzi kuwa kwa mwanafunzi aliepo mwanza kama leo Alhamisi kasoma heabu kugawanya basi na mwanafunzi aliyeko Dar awe amesoma hesabu ya kugawanya muda ule ule.

Lengo lao ni kuweka uniformity kwa Tanzania nzima ambapo swala hili kiutendaji ni gumu sana ukizingatia idadi ya walimu waliopo na idadi ya wanafunzi.

Mfano: Kuna shule ipo Kongwa ina walimu watatu ikiwa na wanafunzi 478,je wanafunzi hao wataweza kufundishwa kwa njia hizo?

mwongozo ulivyotoka ni kwamba walimu wanatakiwa kuandaa kila kitu upya ikiwa ni pamoja na azimio la somo ambalo tayari walikuwa wameandaa,je kwa hali hiyo mwalimu mmoja anaefundisha physcs form 1 to f6 ataweza kufanya majukumu yote haya?

katika semina hizo nikiwa kama observer nisiejulikana kuna mdau aliuliza whats this for?

jibu lililotoka ni kwamba wanataka kuhakikisha kwamba,wanafunzi wakimaliza level flani wajiajiri..kuliko kusubiriwa kujiajiri

Kwa taarifa za gizani ni kwamba huu ni mkakati wa mwanamama aliepewa ujasiri kwa kukataa div 5 na GPA Ndalichako.., Waziri mpya kaingia kakuta tayari mambo yalishaiva na mwongozo umeshaandaliwa hivyo ukapelekwa OR kwa utekelezaji.

naendelea...
Usiwe serous sana na mambo ya kainchi kanaitwa Tanzania ndugu utaoata kiharusi bure. Hiyo plani ni ulaji tu hata waandaaji wanajua haiwezekani.
 
Shule ya msingi iwe hadi la nane then chuo. Mfumo wa elimu wa mkoloni ndio mfumo sahihi kwa kizazi cha sasa. Na sio huu wa kukopesha vijana wakasome Ili wawe machinga na bodaboda na mama lishe au kuishia salooni
 
Nachelewa kufikiria kwamba hizo scenario zinaweza kuwa ndio solutions kwa changamoto ya elimu yetu.... Anyway izo zinanaweza kuwa moja kati ya sabaabu ndogo sana....
Dunia ya sasa haitaji elimu za hadidhi na kukariri sijui mchoro wapanzi sijui historira ya wakoloni
Dunia inaitaji inventions and innovation kwenye teknolojia ya dunia inavyoendana na dunia
 
hilo hawajangalia kabisa yani,lazima kila siku wanafunzi wasome tu,hakuna michezo wala extra works

Hili ni jambo ambalo halijawahi kufanyika mahala popote duniani. Tunazo tofauti nyingi sana katika mashule. Zingine ni za binafsi Enue wanafunzi wachache waliochujwa na walimu wa kutosha; zingine ni za wanafunzi wenye vipaji ambao jatabwaliku kwao siyo muhimu sana na zingine ni za Kata ambazo wanafunzi ni dhaifu na walimu hakuna. Sasa hizi zote unalazimishaje ziende pamoja?
 
Hili ni jambo ambalo halijawahi kufanyika mahala popote duniani. Tunazo tofauti nyingi sana katika mashule. Zingine ni za binafsi Enue wanafunzi wachache waliochujwa na walimu wa kutosha; zingine ni za wanafunzi wenye vipaji ambao jatabwaliku kwao siyo muhimu sana na zingine ni za Kata ambazo wanafunzi ni dhaifu na walimu hakuna. Sasa hizi zote unalazimishaje ziende pamoja?
habari ndo hiyo na utekelezaji umeanza rasmi
 
Nachelewa kufikiria kwamba hizo scenario zinaweza kuwa ndio solutions kwa changamoto ya elimu yetu.... Anyway izo zinanaweza kuwa moja kati ya sabaabu ndogo sana....
Dunia ya sasa haitaji elimu za hadidhi na kukariri sijui mchoro wapanzi sijui historira ya wakoloni
Dunia inaitaji inventions and innovation kwenye teknolojia ya dunia inavyoendana na dunia
of course zinaweza kuwa ndio solutiona lakini, wanwezaje kutoka hapo wakati walimu bado wanafundishwa kwenda kuelekeza ktk mtaala wa content based?
 
Sisi Watanzania tulirogwa na nani ndugu zangu?
Uniformity inatusaidia nini?
Kilichopo nadhani ni kutaka failures wawe wengi ili wenye mamlaka wasibughudhiwe katika suala la ajira.
Kwa sababu hapo sioni kama kuna maboresho yoyote yaliyofanyika.
Ushauri wangu ni kwamba, mwaka 2025 uwe ni mwaka wa pekee sana na mwaka wa kuandika historia mpya kabisa tangu kupata uhuru.
Mambo haya tukiendelea kuyafumbia macho, vizazi vijavyo vitatushtaki kwa Mungu kwa uzembe wetu wa kukosa kuwajibika.
 
Sisi Watanzania tulirogwa na nani ndugu zangu?
Uniformity inatusaidia nini?
Kilichopo nadhani ni kutaka failures wawe wengi ili wenye mamlaka wasibughudhiwe katika suala la ajira.
Kwa sababu hapo sioni kama kuna maboresho yoyote yaliyofanyika.
Ushauri wangu ni kwamba, mwaka 2025 uwe ni mwaka wa pekee sana na mwaka wa kuandika historia mpya kabisa tangu kupata uhuru.
Mambo haya tukiendelea kuyafumbia macho, vizazi vijavyo vitatushtaki kwa Mungu kwa uzembe wetu wa kukosa kuwajibika.
best comment
 
Kulazimisha uniformity wakati mazingira hayaruhusu ni kujidanganya, sijui watafanyaje ili shule zenye walimu wachache ziende sawa na shule nyingine zenye walimu wa kutosha kwa masomo husika.

Hawa wasipokuwa makini ndio wanaidumaza elimu yetu kabisa, kuwasubirisha wenye walimu wa kutosha ili waende sawa na wasio na walimu ni ujinga tu, naona hata hawa wanaoandaa hizo sera nao ni wajinga pia.
Mpumbavu mmoja kakaa tu amevimbiwa makande yake anakuja na wazo la kipumbavu analipeleka kwa wapumbavu wenzake na wapumbavu hao wanalipitisha na inakuwa mwongozo.
 
Habari wanajukwaa,

Mimi nimekuwa mhanga kwelikweli wa elimu yetu hii ya tanzania hasa huku chini.

Juzi TAMISEMI wametoa mwongozo mpya ambao unatakiwa kutumia kufundishia kuanzia darasa la kwanza mpakakidato cha 6, ambapo kila mwalimu anatakiwa kuandaa kalenda la kufundisha na kwamba wanatak kuweka equality kwa wnaafunzi kuwa kwa mwanafunzi aliepo mwanza kama leo Alhamisi kasoma heabu kugawanya basi na mwanafunzi aliyeko Dar awe amesoma hesabu ya kugawanya muda ule ule.

Lengo lao ni kuweka uniformity kwa Tanzania nzima ambapo swala hili kiutendaji ni gumu sana ukizingatia idadi ya walimu waliopo na idadi ya wanafunzi.

Mfano: Kuna shule ipo Kongwa ina walimu watatu ikiwa na wanafunzi 478,je wanafunzi hao wataweza kufundishwa kwa njia hizo?

mwongozo ulivyotoka ni kwamba walimu wanatakiwa kuandaa kila kitu upya ikiwa ni pamoja na azimio la somo ambalo tayari walikuwa wameandaa,je kwa hali hiyo mwalimu mmoja anaefundisha physcs form 1 to f6 ataweza kufanya majukumu yote haya?

katika semina hizo nikiwa kama observer nisiejulikana kuna mdau aliuliza whats this for?

jibu lililotoka ni kwamba wanataka kuhakikisha kwamba,wanafunzi wakimaliza level flani wajiajiri..kuliko kusubiriwa kujiajiri

Kwa taarifa za gizani ni kwamba huu ni mkakati wa mwanamama aliepewa ujasiri kwa kukataa div 5 na GPA Ndalichako.., Waziri mpya kaingia kakuta tayari mambo yalishaiva na mwongozo umeshaandaliwa hivyo ukapelekwa OR kwa utekelezaji.

naendelea...
Hilo ni tanuru la kufyatua wajinga wa kutosha ili wakiunge chama mkono. Na mkakati unaenda kuzaa matunda ya kuliwa mwaka mzima.
 
Habari wanajukwaa,

Mimi nimekuwa mhanga kwelikweli wa elimu yetu hii ya tanzania hasa huku chini.

Juzi TAMISEMI wametoa mwongozo mpya ambao unatakiwa kutumia kufundishia kuanzia darasa la kwanza mpakakidato cha 6, ambapo kila mwalimu anatakiwa kuandaa kalenda la kufundisha na kwamba wanatak kuweka equality kwa wnaafunzi kuwa kwa mwanafunzi aliepo mwanza kama leo Alhamisi kasoma heabu kugawanya basi na mwanafunzi aliyeko Dar awe amesoma hesabu ya kugawanya muda ule ule.

Lengo lao ni kuweka uniformity kwa Tanzania nzima ambapo swala hili kiutendaji ni gumu sana ukizingatia idadi ya walimu waliopo na idadi ya wanafunzi.

Mfano: Kuna shule ipo Kongwa ina walimu watatu ikiwa na wanafunzi 478,je wanafunzi hao wataweza kufundishwa kwa njia hizo?

mwongozo ulivyotoka ni kwamba walimu wanatakiwa kuandaa kila kitu upya ikiwa ni pamoja na azimio la somo ambalo tayari walikuwa wameandaa,je kwa hali hiyo mwalimu mmoja anaefundisha physcs form 1 to f6 ataweza kufanya majukumu yote haya?

katika semina hizo nikiwa kama observer nisiejulikana kuna mdau aliuliza whats this for?

jibu lililotoka ni kwamba wanataka kuhakikisha kwamba,wanafunzi wakimaliza level flani wajiajiri..kuliko kusubiriwa kujiajiri

Kwa taarifa za gizani ni kwamba huu ni mkakati wa mwanamama aliepewa ujasiri kwa kukataa div 5 na GPA Ndalichako.., Waziri mpya kaingia kakuta tayari mambo yalishaiva na mwongozo umeshaandaliwa hivyo ukapelekwa OR kwa utekelezaji.

naendelea...
hahahah sawa Ndalichoko na sasa wamekuleta kwenye twifaaa[emoji855][emoji23][emoji23]
 
Eti wameona shule za serikali zinaburuzwa kwakuwa walishashindwa kusolve changamoto zao hivyo wanawafunga speed gavana wanao fundisho haraka kuwasubiri government schools waliochoshwa na changamoto kibao ili waende pamoja
 
Back
Top Bottom