Nakuunga mkono ndugu mleta mada,semina hizi,jana zimefanyika hapa tanga, kesho Kuna mtu kanidokeza wilaya ya mkuranga,kwa kweli huwezi kumpangia mtu mpango kazi,wakati kazi anafanya yeye na hujui katika utendaji wake anakumbana na matatizo gani,hapa tamisemi wanakwenda kuua elimu jumla.tuhifadhi bandiko hili wakati mitihani itakapofanyika na matokeo kutoka ndiyo tutabaini ukweli.
Shule nyingi Zina upungufu wa walimu kwa hiyo kuwa sawa katika ufundishaji ni kitu kisichowezekana kabisa,kila eneo Lina changamoto zake.
Ajabu mpaka mitihani yote qamwpanga ifanyike wakati mmoja,ya mid term, terminal,na annual kwa Tanzania Zina. Kitu ambacho ni kigumu kutekelezeka.chukua mfano mwlimu z Ana matatizo ya kiafya,hajafika kazini siku tatu,kw hiyo atakapo Rudi atalazimika kwenda spidi ili kuwa sawia na azimio lake la kazi.