KING KIGODA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2018
- 3,893
- 3,145
ebu rudia?Kwangu mimi hii ni njia bora ukilinganisha na zilizokuwepo.Suala la walimu ni ishu ya kuajiri.
Maana mimi wakati na soma,kuna masomo tulikuwa tunaishia kusoma topic 3 tu mwaka mzima kwa uzembe tu wa walimu.Hii itasaidia.
Wanatia hasira sanainabidi tuchukue hatua kali kabisa kama wadau wa elimu
Sasa hapo wanategemea hao wanafunzi wajiajiri kwa ujuzi gani waliopata kutoka uko shule kama sio wote kutaman kwenda chuo kikuu wakiamin wakimaloza watapata ajira nzuri?hakuna sehemu yoyote hata ,walimu wanaofundishwa wakawafundishe hawa watoto wetu wanafundishwa content based
Habari wanajukwaa,
Mimi nimekuwa mhanga kwelikweli wa elimu yetu hii ya tanzania hasa huku chini.
Juzi TAMISEMI wametoa mwongozo mpya ambao unatakiwa kutumia kufundishia kuanzia darasa la kwanza mpakakidato cha 6, ambapo kila mwalimu anatakiwa kuandaa kalenda la kufundisha na kwamba wanatak kuweka equality kwa wnaafunzi kuwa kwa mwanafunzi aliepo mwanza kama leo Alhamisi kasoma heabu kugawanya basi na mwanafunzi aliyeko Dar awe amesoma hesabu ya kugawanya muda ule ule.
Lengo lao ni kuweka uniformity kwa Tanzania nzima ambapo swala hili kiutendaji ni gumu sana ukizingatia idadi ya walimu waliopo na idadi ya wanafunzi.
Mfano: Kuna shule ipo Kongwa ina walimu watatu ikiwa na wanafunzi 478,je wanafunzi hao wataweza kufundishwa kwa njia hizo?
mwongozo ulivyotoka ni kwamba walimu wanatakiwa kuandaa kila kitu upya ikiwa ni pamoja na azimio la somo ambalo tayari walikuwa wameandaa,je kwa hali hiyo mwalimu mmoja anaefundisha physcs form 1 to f6 ataweza kufanya majukumu yote haya?
katika semina hizo nikiwa kama observer nisiejulikana kuna mdau aliuliza whats this for?
jibu lililotoka ni kwamba wanataka kuhakikisha kwamba,wanafunzi wakimaliza level flani wajiajiri..kuliko kusubiriwa kujiajiri
Kwa taarifa za gizani ni kwamba huu ni mkakati wa mwanamama aliepewa ujasiri kwa kukataa div 5 na GPA Ndalichako.., Waziri mpya kaingia kakuta tayari mambo yalishaiva na mwongozo umeshaandaliwa hivyo ukapelekwa OR kwa utekelezaji.
naendelea...
Kama Ungekuwa umewai mwalimu kwenye hiz shule zetu ata wala usingesema hvyoKwangu mimi hii ni njia bora ukilinganisha na zilizokuwepo.Suala la walimu ni ishu ya kuajiri.
Maana mimi wakati na soma,kuna masomo tulikuwa tunaishia kusoma topic 3 tu mwaka mzima kwa uzembe tu wa walimu.Hii itasaidia.
Wewe zako zinazokidhi umetoa ngapi?hata kama zinakuja 6000 ni upuuzi wala haikidhi chochote...
Kuhusu elimu hata bila Tamisemi kufanya inachofanya elimu ya sasa ulimwengu mzima its not fit for purpose....,
Ni ujinga mtupu na kuwatesa walimuHabari wanajukwaa,
Mimi nimekuwa mhanga kwelikweli wa elimu yetu hii ya tanzania hasa huku chini.
Juzi TAMISEMI wametoa mwongozo mpya ambao unatakiwa kutumia kufundishia kuanzia darasa la kwanza mpakakidato cha 6, ambapo kila mwalimu anatakiwa kuandaa kalenda la kufundisha na kwamba wanatak kuweka equality kwa wnaafunzi kuwa kwa mwanafunzi aliepo mwanza kama leo Alhamisi kasoma heabu kugawanya basi na mwanafunzi aliyeko Dar awe amesoma hesabu ya kugawanya muda ule ule.
Lengo lao ni kuweka uniformity kwa Tanzania nzima ambapo swala hili kiutendaji ni gumu sana ukizingatia idadi ya walimu waliopo na idadi ya wanafunzi.
Mfano: Kuna shule ipo Kongwa ina walimu watatu ikiwa na wanafunzi 478,je wanafunzi hao wataweza kufundishwa kwa njia hizo?
mwongozo ulivyotoka ni kwamba walimu wanatakiwa kuandaa kila kitu upya ikiwa ni pamoja na azimio la somo ambalo tayari walikuwa wameandaa,je kwa hali hiyo mwalimu mmoja anaefundisha physcs form 1 to f6 ataweza kufanya majukumu yote haya?
katika semina hizo nikiwa kama observer nisiejulikana kuna mdau aliuliza whats this for?
jibu lililotoka ni kwamba wanataka kuhakikisha kwamba,wanafunzi wakimaliza level flani wajiajiri..kuliko kusubiriwa kujiajiri
Kwa taarifa za gizani ni kwamba huu ni mkakati wa mwanamama aliepewa ujasiri kwa kukataa div 5 na GPA Ndalichako.., Waziri mpya kaingia kakuta tayari mambo yalishaiva na mwongozo umeshaandaliwa hivyo ukapelekwa OR kwa utekelezaji.
naendelea...
Unajua hata wajibu wa Serikali yako ?Wewe zako zinazokidhi umetoa ngapi?
wewe hujui hata ulichoandikaKwangu mimi hii ni njia bora ukilinganisha na zilizokuwepo.Suala la walimu ni ishu ya kuajiri.
Maana mimi wakati na soma,kuna masomo tulikuwa tunaishia kusoma topic 3 tu mwaka mzima kwa uzembe tu wa walimu.Hii itasaidia.
Hivi unafikiria kwa kutumia kiungi gani mkuu[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Kwangu mimi hii ni njia bora ukilinganisha na zilizokuwepo.Suala la walimu ni ishu ya kuajiri.
Maana mimi wakati na soma,kuna masomo tulikuwa tunaishia kusoma topic 3 tu mwaka mzima kwa uzembe tu wa walimu.Hii itasaidia.
Umetumwa[emoji15][emoji15][emoji15]Ni Jambo zuri Linalofanywa na serikali .
Kwa sababu ya ujenzi wa shule mbalimbali ili kukithi mahitaji ya eneo husika.
Hii itasaidia Sana [emoji123] kwenye kuandaa mitihani