Noted sirUsitishwe na mpumbavu, Mimi nishawahi kuajiriwa kwenye Ajira zao zilizokosa staha na wapojaribu kuninyamazsha waliniita wenyewe kuniomba msamaha, ukishakuwa muoga tu watakuona mbuzi tu. Mimi nilimuambia mkurugenzi wao kabisa kuwa hapa nataka haki yangu na kama haipo basi wewe ndio uwe na adabu na sio mimi, unachonizidi ni ukada tu na kujipendekeza kwa aliyekuteua
Kuna wakat nmekaa nkajiuliza hiv ninin hasa kinawafanya watu wanashindwa jal thaman ya mtu. Ata kidog ili hari umemfata ofisin zaid ya mara mbili..Usitishwe na mpumbavu, Mimi nishawahi kuajiriwa kwenye Ajira zao zilizokosa staha na wapojaribu kuninyamazsha waliniita wenyewe kuniomba msamaha, ukishakuwa muoga tu watakuona mbuzi tu. Mimi nilimuambia mkurugenzi wao kabisa kuwa hapa nataka haki yangu na kama haipo basi wewe ndio uwe na adabu na sio mimi, unachonizidi ni ukada tu na kujipendekeza kwa aliyekuteua
Hawa watu hawana ubinadamu, Zao lolote la CCM ni laana, Kuna Dada zetu wanateseka wa ujinga wa hawa watu. Mimi niliacha hiyo Ajira yao mbona tungepigana ngumu tuKuna wakat nmekaa nkajiuliza hiv ninin hasa kinawafanya watu wanashindwa jal thaman ya mtu. Ata kidog ili hari umemfata ofisin zaid ya mara mbili..
Alaf ww unawasikia wanasema boss vp kuhus ile posho sasa then wanachekaa wana enjoy.
Ndo maana wa tz weng wakifa ata nyuso zao zinapoteza taswira halisi maana maana nafs zao zina dhambi sana ya unafik.
Sent from my TECNO KI7 using JamiiForums mobile app
Daaaah, ndo mana mshikaji wangu ye amepata huko mkuranga pwani, juzi ananicheki nim save kiasi kidogo cha fedha nikashangaa sana mana kaniacha mtaani napigika nkajua kaula kumbe bado. Hii nchi hii tunachoweza kwa usahihi na kwa wakati ni ushirikina na minyanduano tu.Habari zenu wadau.
Bila shaka mpo poa aisee, mimi sitochoka kuongea tafadhari ebu wizara husika kupitia vyombo kama PCCB piteni kwenye ma halmashauri ya wilaya mkague pesa za kujikimu.
Tunapitia mazingira magumu jamani toka tulivyoripoti makazini binafsi hata sh.100 sijapewa. Hata ule msaada kutoka tu kwa mkuu wangu wa kituo cha kazi nimeomba sijapata nimejarbu kupiga simu na kutuma sms kwa mkuu wa kazi ngazi ya wilaya na kupiga simu na kutuma sms kwa katibu sijibiwi lolote.
Naishi mazingira magumu nalala chini nipo kwenye wilaya yenye baridi 24 hrs hebu, fikiri halafu nalala kwenye sakafu ambayo natandika shuka moja jingine najifunika.
Dumu moja la maji ni sh.600 hapo sijazungumzia chakula n.k
Nimeshakula sana kwa staff wenzangu hadi naona aibu sasa.
Najua nitaonekana muongeaji sana lakini ngoja niongee huenda nikawasaidia wengine walioshindwa ongea.
Jamani tusaidieni tupate pesa ya kujikimu tena iwe yote kwa pamoja maana nimesikia hii wilaya wanatoaga mara 100,000/= mara sh. Kadhaa mwisho wa siku wanaishia njiani hawajakamilisha hiyo pesa.
Kwa ufupi upande wangu naishi maisha magumu sana hata nashindwa kuelezea yote kwa ujumla.
NAJUA HUMU MPO MPAKA VIONGOZI TUSAIDIENI JAMAN.... [emoji120]🥹
Mkuu hii hali ikikukuta usiombe, hadi amefikia kuandika humu itakuwa hizo ngazi hapati majibu ya kuridhosha. Serikali haidhulumu italipa japo si kwa wakati. Nakushauri andika barua kwa boss wako ukapumzike kwenu hadi utakapopewa hiyo stahiki au mshahara akikukatalia basi yeye abebe jukumu la kukutunza. Kazi siyo matesoIla ni kama vile una asili ya ulalamishi sana na gubu,aisee serikalini utachokwa haraka usifanye hivyo.Tumia ngazi sahihi kueleza changamoto yako.Mf kama huridhishwi na maelezo ya afisa utumishi basi ongea na DHRO, kama huelewi rudi kwa bosi kuu wa idara yako kwanza ili labda aongee na bosi mwenzie DHRO labda utasaidika.Ukishindwa nenda kwa mkurugenzi ded/md kulingana na halmashauri ulipo.Pia eleza kwa staha changamoto za huko kulala chini ili waone namna gani huenda kuna viposho utasaidiwa wakati wanajipanga na mwaka mpya wa fedha.Jaribu hivyo kuliko kukimbilia media.
Mbn ulikataa kumbe kweli we ni teacher, kama siyo teacher utakuwa Lab. technician pole sana lakiniNi kawaida mkuu at ww ukipata kitu unachotaka lazima ufurah
Sent from my TECNO KI7 using JamiiForums mobile app
Afya ni kama cover we ni mwalimu
Pamoja na yote, Hongera sn kwa kupata kaz, mateso ni ya kitambo kidogo, vumilia.Habari zenu wadau.
Bila shaka mpo poa aisee, mimi sitochoka kuongea tafadhari ebu wizara husika kupitia vyombo kama PCCB piteni kwenye ma halmashauri ya wilaya mkague pesa za kujikimu.
Tunapitia mazingira magumu jamani toka tulivyoripoti makazini binafsi hata sh.100 sijapewa. Hata ule msaada kutoka tu kwa mkuu wangu wa kituo cha kazi nimeomba sijapata nimejarbu kupiga simu na kutuma sms kwa mkuu wa kazi ngazi ya wilaya na kupiga simu na kutuma sms kwa katibu sijibiwi lolote.
Naishi mazingira magumu nalala chini nipo kwenye wilaya yenye baridi 24 hrs hebu, fikiri halafu nalala kwenye sakafu ambayo natandika shuka moja jingine najifunika.
Dumu moja la maji ni sh.600 hapo sijazungumzia chakula n.k
Nimeshakula sana kwa staff wenzangu hadi naona aibu sasa.
Najua nitaonekana muongeaji sana lakini ngoja niongee huenda nikawasaidia wengine walioshindwa ongea.
Jamani tusaidieni tupate pesa ya kujikimu tena iwe yote kwa pamoja maana nimesikia hii wilaya wanatoaga mara 100,000/= mara sh. Kadhaa mwisho wa siku wanaishia njiani hawajakamilisha hiyo pesa.
Kwa ufupi upande wangu naishi maisha magumu sana hata nashindwa kuelezea yote kwa ujumla.
NAJUA HUMU MPO MPAKA VIONGOZI TUSAIDIENI JAMAN.... [emoji120]🥹
Umeona mbaliUsije fukuzwa kazi. Unajua anayetaka kukusaidia ni nani?
Pole sana mkuu naelewa Hali unapitiaHabari zenu wadau.
Bila shaka mpo poa aisee, mimi sitochoka kuongea tafadhari ebu wizara husika kupitia vyombo kama PCCB piteni kwenye ma halmashauri ya wilaya mkague pesa za kujikimu.
Tunapitia mazingira magumu jamani toka tulivyoripoti makazini binafsi hata sh.100 sijapewa. Hata ule msaada kutoka tu kwa mkuu wangu wa kituo cha kazi nimeomba sijapata nimejarbu kupiga simu na kutuma sms kwa mkuu wa kazi ngazi ya wilaya na kupiga simu na kutuma sms kwa katibu sijibiwi lolote.
Naishi mazingira magumu nalala chini nipo kwenye wilaya yenye baridi 24 hrs hebu, fikiri halafu nalala kwenye sakafu ambayo natandika shuka moja jingine najifunika.
Dumu moja la maji ni sh.600 hapo sijazungumzia chakula n.k
Nimeshakula sana kwa staff wenzangu hadi naona aibu sasa.
Najua nitaonekana muongeaji sana lakini ngoja niongee huenda nikawasaidia wengine walioshindwa ongea.
Jamani tusaidieni tupate pesa ya kujikimu tena iwe yote kwa pamoja maana nimesikia hii wilaya wanatoaga mara 100,000/= mara sh. Kadhaa mwisho wa siku wanaishia njiani hawajakamilisha hiyo pesa.
Kwa ufupi upande wangu naishi maisha magumu sana hata nashindwa kuelezea yote kwa ujumla.
NAJUA HUMU MPO MPAKA VIONGOZI TUSAIDIENI JAMAN.... [emoji120]🥹
Leta ushahidiTAMISEMI ilishatuma fedha za kujikimu kwa maDED kwa councils zote kulingana na idadi ya watu.
✍️Taja jina lako na wilaya uliopo
Kumbe unafanya kazi kwenye wizara ipi afya?Usicheke mkuu ILA CHEKA SANA KAMA AYAJAKUKUTA USIONBE YAKUKUTE LAZIMA UTASIMULIA..toka nilivyo kula usiku sijala tena naratiba ya kula usiku to usiku tu.🥹 Sio poa.
Sent from my TECNO KI7 using JamiiForums mobile app
We kichaa kweli, nenda kwa DED utapata ukweliLeta ushahidi
We kichaa kweli, nenda kwa DED utapata ukweliLeta ushahidi
Ila ni kama vile una asili ya ulalamishi sana na gubu,aisee serikalini utachokwa haraka usifanye hivyo.Tumia ngazi sahihi kueleza changamoto yako.Mf kama huridhishwi na maelezo ya afisa utumishi basi ongea na DHRO, kama huelewi rudi kwa bosi kuu wa idara yako kwanza ili labda aongee na bosi mwenzie DHRO labda utasaidika.Ukishindwa nenda kwa mkurugenzi ded/md kulingana na halmashauri ulipo.Pia eleza kwa staha changamoto za huko kulala chini ili waone namna gani huenda kuna viposho utasaidiwa wakati wanajipanga na mwaka mpya wa fedha.Jaribu hivyo kuliko kukimbilia media.
We teacher unafundisha saa ngapi kutwa tupo wote jamii forum? fanya kazi ujira baadae
Pole teacher!
Ila ulisherekea mno wakati unaona jina kwenye mkeka!!!
Punguza ujuwaji bwan mdogo, unazani wewe ndiye wa kwanza kuajiriwa huko halmashauri? Kaa kimya.
Naweza tunza ukoo wenu mzima,kula asubuhi hadi jioni(chakula bora),kuvaa,kusafiri upendavyo kwa miaka 50.
Inama upigw kamoja.