LGE2024 TAMISEMI: Wananchi 26,769,995 wamejiandikisha katika Daftari la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa hadi kufikia Oktoba 19, 2024

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Waongo hawa, ni data za kupika hizi....

Watu wanatumia njia za karne ya 14 kuandikisha halafu eti wanatoa data hata kabla zoezi halijaisha....

NEC wenyewe waliokuwa na mifumo ya kielekroniki kuandikisha/kuboresha daftari la wapiga kura zoezi lililoisha karibu mwezi umepita mpaka sasa hawajatoa takwimu za waliandikisha kwa jumla yake nchi nzima...

Hawa wanaoandikisha manually kwa kutumia madaftari ya MSOMI wamewezaje kutoa data za. nchi nzima hata kabla zoezi lenyewe halijaisha kama sio data za kupika tu hizi..?

Wasitiletee balaa hawa maana safari hii ujinga na upumbavu wao wa mwaka 2019 hautafanikiwa...!!
 
Yaani hata mimi nashangaa hapa. Alaf kwa nini watangaze takwimu harakaharaka, wanataka ku justify nini?
Kabisa, maana hata kesho bado angeleta idadi ya uongo, sasa alikuwa na haja gani ya kuitaja leo? Hii tabia ya kutangaza idadi ya uongo ya wapiga kura nilianza kuiona kwa uwazi wakati wa Magufuli, kwa sasa naona ndio imekuwa fashion.
 
Mkwe mpishi wa takwimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…