beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Waziri Ummy Mwalimu amesema kuna Shule takriban 1,000 za Sekondari ambazo Wanafunzi hawajawahi kukutana na Mwalimu wa somo la Physics uso kwa uso.
Akiwa Bungeni leo, pia amesema zipo Shule zipatazo 400 ambazo Wanafunzi wa Sekondari hawajawahi kuona Mwalimu wa Hesabu akiingia Darasani.
Ametoa maelezo hayo baada ya Wabunge kuhoji ni lini Serikali itapeleka Walimu wa Sayansi katika Shule akikiri kuwepo Uhaba.
Akiwa Bungeni leo, pia amesema zipo Shule zipatazo 400 ambazo Wanafunzi wa Sekondari hawajawahi kuona Mwalimu wa Hesabu akiingia Darasani.
Ametoa maelezo hayo baada ya Wabunge kuhoji ni lini Serikali itapeleka Walimu wa Sayansi katika Shule akikiri kuwepo Uhaba.