TAMISEMI: Zipo Shule ambazo Wanafunzi hawajawahi kuwaona Walimu wa Physics na Hesabu

TAMISEMI: Zipo Shule ambazo Wanafunzi hawajawahi kuwaona Walimu wa Physics na Hesabu

Hela zilizotumika kuhamishia Serikali Dodoma, Mradi wa Busisi, Mradi wa Umeme
 
Chakushangaza hao walimu wapo wengi tu mitaani wanazurura, Ummy alichofanya ni kuthibitisha tatizo lipo lakini hajalitolea ufumbuzi, so tutegemee liendelee kuwepo.
ndugu kwa yale matrilion yanayokwenda SGR na stigilas george unazani kutakuwa na pesa za kuweza kuajiri na kulipa mishaara ya hao waalimu hapa cha msingi tukamilishe hiyo miradi ya mwenda zake kisha tuanze upya.
 
Elimu ya Tanzania kwa sasa imo kwenye majaribu mengi sana, ni tofauti kubwa na tulivyosoma sisi miaka ya 90 ambapo wewe mwanafunzi ndiyo unamkimbia Mwalimu...
 
Uhaba wa Walimu upo.

Walimu wapo mtaani.

Pesa za kuajiri hazipo.

Tatizo la Ajira Tanzania ni la kipekee sana. Sidhani kama nchi nyingine zina matatizo ya ajira ya aina hii.
afu jamaa anasema eti nchi hii ni super rich - kwamba hakuna sababu ya kuwapigia magoti wahisani aka mabeberu...

Sera mbovu za CCM na kauli tata za Mwendazake ndiyo zimetufikisha hapa tulipo - wawekezaji wote wanaojielewa wamekimbia nchi yetu kuwekeza kwingine.
 
Huwa sielewi CCM huwa wanapata wapi uhalali wa kuomba kuendelea kuongoza hii nchi na wanaowaunga mkono sijui huwa ni vipofu na viziwi!
Tatizo LA vyama vingine hata ofisi havina. Hivyo ni afadhali CCM ni kama Zimwi Likujualo!!!
 
Walimu wa science wachache sana miaka yote.
Tamisemi na wizara ya elimu watafute njia sahihi ya kuondoa hili tatizo
Huwezi kusema walimu wa sayansi ni wachache wakati mtaani wako wengi tu waliomaliza vyuo vikuu na hawana ajira.

Binafsi nafahamu vijana wawili wa karibu ambao hawakupata ajira baada ya kuhitimu, pamoja na kujitolea kufundisha kwa muda katika shue za serikali.

Sasa hivi wote wawili wamejiriwa sekta binafsi katika fani tofauti na waliyosomea.
 
This country has gone to the dogs! Miaka ile hakuna mwalimu wa sayansi angekosa kazi, in fact hakuna mwalimu angekosa kazi! Sasa hivi, vipaumbele vimebadirika, ni tumbo street kwanza, na miradi ya ovyo ovyo; halafu eti watu wanatetea CCM, suluhisho pekee ni kuiondoa CCM madarakani, na of course viongozi wapya watakuwa tofauti angalau kwenye kufikiri!
 
Nina mtoto wa ndugu yangu, ka-graduate BS Education physics, alikaa muda bila ajira, sasa hivi kaajiriwa, kapelekwa Dodoma eti shule ya msingi, yuko anapambana kuona kama atapata sekondari!! Ujinga mtupu!
 
Sasa mwanafunzi anasoma arts, atamuonaje mwalimu wa fiziksi...Ummi dada yangu unabomoa legasi, tuliajiri waalimu wengi sana wa sayansi na hisabu wakati wa awamu ya tano🤣
 
Kweni unadhani ni chama gani kikiongoza ndiyo kutafanya nchi kua kama Ulaya ghafla? Watu hua mna upuuzi tu,mimi sina chama lakini najua hulka za waTanzania. Kila atakaye ongoza nchi atalaumiwa tu au kila chama kitalaumiwa tu maana watu huishi kwa matamanio ambayo mtu mwingine hawezi kuyatekeleza kwa wakati mmoja.

Na kitu hua naona pia watu wengi wa sasa ni vitoto vya kuzaliwa 1990 kuja sasa, havijui nchi imetoka wapi na sasa tuko wapi.
Kwa akili yako hii wewe ni mwanaCCM.
 
Mbona 'unaassume' tu kuwa chama kingine zaidi ya CCM kikitawala matatizo yatakuwa yaleyale....kwani mlishajaribu kipi kingine kikashindwa ,manake yapata sasa miaka 60 tangu tupate uhuru ni chama hicho kimoja ndo kimekuwa madarakani.... kaazi kwelikweli.
Kweni unadhani ni chama gani kikiongoza ndiyo kutafanya nchi kua kama Ulaya ghafla? Watu hua mna upuuzi tu,mimi sina chama lakini najua hulka za waTanzania. Kila atakaye ongoza nchi atalaumiwa tu au kila chama kitalaumiwa tu maana watu huishi kwa matamanio ambayo mtu mwingine hawezi kuyatekeleza kwa wakati mmoja.

Na kitu hua naona pia watu wengi wa sasa ni vitoto vya kuzaliwa 1990 kuja sasa, havijui nchi imetoka wapi na sasa tuko wapi.
 
Hiyo ndio legacy aliotuachia mwendawazimu ..?!😂😂😂
Hapa ndio unaona kuwa MaCCM akili zap azina akili, yanatukuza mambo ya kijinga,vitu muhimu wanajifanya hayawahusu.
 
Huwezi kusema walimu wa sayansi ni wachache wakati mtaani wako wengi tu waliomaliza vyuo vikuu na hawana ajira.

Binafsi nafahamu vijana wawili wa karibu ambao hawakupata ajira baada ya kuhitimu, pamoja na kujitolea kufundisha kwa muda katika shue za serikali.

Sasa hivi wote wawili wamejiriwa sekta binafsi katika fani tofauti na waliyosomea.

Una uhakika hao wengi huko mtaani ni walimu wa science?

Na kama kuna walimu wa science una uhakika kwamba wamekosa kuajiriwa au ndio wamekosa kuajiriwa mjini wmanakokutaka wao?

Kama wameajiriwa sekta binafsi hawajakosa ajira wala sio dhambi sababu private na public sector zote ni kwa maendeleo ya nchi hii, mradi hawajavunja sheria
 
Una uhakika hao wengi huko mtaani ni walimu wa science?

Na kama kuna walimu wa science una uhakika kwamba wamekosa kuajiriwa au ndio wamekosa kuajiriwa mjini wmanakokutaka wao?

Kama wameajiriwa sekta binafsi hawajakosa ajira wala sio dhambi sababu private na public sector zote ni kwa maendeleo ya nchi hii, mradi hawajavunja sheria
Akili ya sukumagang!! Pole!
 
Back
Top Bottom