msovero
JF-Expert Member
- Jun 30, 2019
- 863
- 1,534
Haya ndio maajabu ya elimu ya bongo
Tunaambiwa shule hazina walimu wa sayansi ingawa walimu hao wamejaa tele mtaani
Tukiwambia kwanini msiajiri waliopo mtaani wanasema pesa hakuna lakini kwenye vikao wanalipana posho na perdiem za kufa mtu
Huko mashuleni ndo kituko zaidi. Wanafunzi wanasoma sayansi bila walimu na ufaulu unaongezeka kila mwaka alafu tukisema necta wanachakachua matokeo kuwaridhisha wazazi na wanafunzi wanabisha.
Maajabu hayatakaa yakaisha nchi hii
Tunaambiwa shule hazina walimu wa sayansi ingawa walimu hao wamejaa tele mtaani
Tukiwambia kwanini msiajiri waliopo mtaani wanasema pesa hakuna lakini kwenye vikao wanalipana posho na perdiem za kufa mtu
Huko mashuleni ndo kituko zaidi. Wanafunzi wanasoma sayansi bila walimu na ufaulu unaongezeka kila mwaka alafu tukisema necta wanachakachua matokeo kuwaridhisha wazazi na wanafunzi wanabisha.
Maajabu hayatakaa yakaisha nchi hii