Wewe sijui huwa unabisha kitu gani aisee!Una uhakika hao wengi huko mtaani ni walimu wa science?
Na kama kuna walimu wa science una uhakika kwamba wamekosa kuajiriwa au ndio wamekosa kuajiriwa mjini wmanakokutaka wao?
Kama wameajiriwa sekta binafsi hawajakosa ajira wala sio dhambi sababu private na public sector zote ni kwa maendeleo ya nchi hii, mradi hawajavunja sheria
Elimu bure nayo kwa kiasi chake imechangia upuuzi huu, mi nakumbuka wakati nasoma shule yetu ilikuwa na mwalimu mmoja mwajiliwa yaani headmaster ila kilichofanyika tulikuwa tunachanga hela ya taaluma ambayo kwa mwaka haikuwa kubwa na hela hyo ilitumika kuwaajiri form four leaver na six leaver wakatufundishe kiukweli mpaka namaliza form four nilikuwa nafundishwa na leavers hao,ila sa hivi kituko graduates wamejazana mtaani na shuleni walimu hawatoshi,na shule haziwezi kuwaajiri kwa maana elimu bure hata chaki ni za bajetiZama zimebadilika kweli...! Sisi enzi zetu ilikua shule hazikosi walimu ya physics na mathematics, na hata kama hawakua waajiriwa wa serikali lakini shule ziliweza kuwaajiri walimu hao. Mtaani kukawa hamna waalimu wanademka demka..!
Leo hii shule hazina walimu eti..! Na mtaani waalimu wapo tu kibao na serikali haiwezi kuwaajiri. Tunaona nafasi 600 za walimu zimetolewa walioomba 120K...! Tanzania yangu ya Viwanda.
Yaani nisote mtaani miaka sita alafu ndo nipate uo ualimu nijisumbue na mapindi uwiiiElimu ya Tanzania kwa sasa imo kwenye majaribu mengi sana, ni tofauti kubwa na tulivyosoma sisi miaka ya 90 ambapo wewe mwanafunzi ndiyo unamkimbia Mwalimu...
Yaani kipindi za mwendazake matokeo yanashuka vipi ani?kwa vyovyote vile ilibid yapande tuHaya ndio maajabu ya elimu ya bongo
Tunaambiwa shule hazina walimu wa sayansi ingawa walimu hao wamejaa tele mtaani
Tukiwambia kwanini msiajiri waliopo mtaani wanasema pesa hakuna lakini kwenye vikao wanalipana posho na perdiem za kufa mtu
Huko mashuleni ndo kituko zaidi. Wanafunzi wanasoma sayansi bila walimu na ufaulu unaongezeka kila mwaka alafu tukisema necta wanachakachua matokeo kuwaridhisha wazazi na wanafunzi wanabisha.
Maajabu hayatakaa yakaisha nchi hii
Tatizo siyo elimu bure. Janga lilikuwa na kibwengo mpenda sifa.Elimu bure nayo kwa kiasi chake imechangia upuuzi huu, mi nakumbuka wakati nasoma shule yetu ilikuwa na mwalimu mmoja mwajiliwa yaani headmaster ila kilichofanyika tulikuwa tunachanga hela ya taaluma ambayo kwa mwaka haikuwa kubwa na hela hyo ilitumika kuwaajiri form four leaver na six leaver wakatufundishe kiukweli mpaka namaliza form four nilikuwa nafundishwa na leavers hao,ila sa hivi kituko graduates wamejazana mtaani na shuleni walimu hawatoshi,na shule haziwezi kuwaajiri kwa maana elimu bure hata chaki ni za bajeti
Mfano niliotoa unahusu walimu wa sayansi.Una uhakika hao wengi huko mtaani ni walimu wa science?
Na kama kuna walimu wa science una uhakika kwamba wamekosa kuajiriwa au ndio wamekosa kuajiriwa mjini wmanakokutaka wao?
Kama wameajiriwa sekta binafsi hawajakosa ajira wala sio dhambi sababu private na public sector zote ni kwa maendeleo ya nchi hii, mradi hawajavunja sheria
Ndiyo kazi kubwa alikuwa nayoOky,ndiomaana basi alikuwa ananunua kwa Cash ili apige cha juu chake, wakati baadhi ya Nchi nasikia huwa wanalipa kwa awamu
Nimesoma kwenye gazeti la jana, kuna mpango wa kujenga shule za sekondari kwa ajili ya sayansi kwa ajili ya wasichana kila mkoa? tungeimarisha zilizopo na kuzipatia walimu na vitendea kazi kwanza 😎Waziri Ummy Mwalimu amesema kuna Shule takriban 1,000 za Sekondari ambazo Wanafunzi hawajawahi kukutana na Mwalimu wa somo la Physics uso kwa uso.
Akiwa Bungeni leo, pia amesema zipo Shule zipatazo 400 ambazo Wanafunzi wa Sekondari hawajawahi kuona Mwalimu wa Hesabu akiingia Darasani.
Ametoa maelezo hayo baada ya Wabunge kuhoji ni lini Serikali itapeleka Walimu wa Sayansi katika Shule akikiri kuwepo Uhaba.
Ni kweli maendeleo hayaji haraka pasipo na mission, vision na action.Kweni unadhani ni chama gani kikiongoza ndiyo kutafanya nchi kua kama Ulaya ghafla? Watu hua mna upuuzi tu,mimi sina chama lakini najua hulka za waTanzania. Kila atakaye ongoza nchi atalaumiwa tu au kila chama kitalaumiwa tu maana watu huishi kwa matamanio ambayo mtu mwingine hawezi kuyatekeleza kwa wakati mmoja.
Na kitu hua naona pia watu wengi wa sasa ni vitoto vya kuzaliwa 1990 kuja sasa, havijui nchi imetoka wapi na sasa tuko wapi.
Pole wewe unayebisha mradi unabisha tuu hata kwa vitu usivyovijuaAkili ya sukumagang!! Pole!
Njia sahihi ni kutambua uwepo wa shule ambazo hazifundishi masomo ya sayansi na hisabati ili uandaliwe mtaala mahsusi wa kufundishia.Walimu wa science wachache sana miaka yote.
Tamisemi na wizara ya elimu watafute njia sahihi ya kuondoa hili tatizo
Wewe sijui huwa unabisha kitu gani aisee!
Kwahiyo hilo lundo la walimu 80,000 walimu walioomba ajira 6,000 unadhani wote ni Arts au wanafundisha shule binafsi ?
Halafu unazungumzia shule binafsi zipi, hizo zilizopitiwa na wimbi la CORONA ?
CCM mna shule zenu za Jumuiya ya Wazazi zilizokuwa chini ya Bulembo sasa hivi ziko wapi, zimeajiri walimu wangapi ?
Afya tu yenye uhaba mkubwa wa watumishi, waombaji 31,000 wameomba ajira 2,700 na wenyewe wako sekta binafsi?
Naongelea uwepo wa Jobless walimu wa Physics na Mathematics mtaani.Unaongelea uhaba waajira au walimu wa science?