Duuu BASUTA inaitaka Serikali ikaze Uzi kutokukubali kukubali mashinikizo ya kundi lolote lile. Experience shows that makundi ya UISLAM WA SIASA KALI Duniani kote huwa wanakinzana na Serikali. Hata huko Saudia na Egypt imetokea hiyo. Sasa kama hawajui ni kwamba Huyo Rais wetu ingawa ni mswalihina mzuri, avaa Hijabu, Bado ni Mserikali tuu. We ngoja wake na hoja zao za kijahidina atawashangaza siku si nyingiTamko la Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunna Tanzania (BASUTA) likielezea kuhusu makubaliano ya uendeshaji na
Wasanii tunakuja na waraka mzitoTamko la Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunna Tanzania (BASUTA) likielezea kuhusu makubaliano ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari."BASUTA haturidhishwi na 'undumilakuwili' na ukosefu wa uadilifu wa wapingaji wa mkataba ambao walifumbia macho mikataba mingi ya hovyo huko nyuma katika sekta mbalimbali ikiwemo madini na hawakutaka ifutwe lakini wako tayari kwa gharama yoyote kuhakikisha mkataba huu unafutwa na unakufa"
View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1694707474065227802?s=20
Hamna akili na ndio maana tunawadharau.Upande wa pili wasemacho kina nguvu!?..unapimaje nguvu!?..upande wa pili walitoa waraka wanatoa maagizo kondoo kuanza kulia kwa makelele ya juu,kondoo namaanisha kwenye kila sekta,so ni sawa na kuitikia 'amina' kwenye Misa..ni makelele tu,hakuna nguvu yoyote,ndiyo maana Maza 'kakaa tu kimya' na soon tunasaini 'hga' na mwarabu ili chapu kazi ianze
Hawa jamaa wataendelea kuwa nyuma Hadi dunia inaishaViongozi wa kiislamu huwa wanaaibisha sana mda mwingine
Elimu Elimu ElimuHawa jamaa wataendelea kuwa nyuma Hadi dunia inaisha
Hakika Mkuu , Unadhan kwann mikoa ya Waislam ,ndio wanaongoza Kwa kufeli sana Elimu ya Darasan??.Kama viongozi wa dini wanakuwa vilaza namna hii vipi Kwa waumini wao?
Hii nchi CCM wataifanya watakavyo Kwa Akili kama hizi ni ngumu kufikia maendeleo ... Tanzania ni nchi inayoongoza Kwa vilaza Africa
Aise hapo kwa Mashahidi wa Yehova umewasingizia. Hawa jamaa wao Wana mind business zao na family zao tu. Hata hutawasikia kujiingiza hii malumbano.KATOLIKI KKKT BAKWATA WALOKOLE MASHAHIDI WA YEHOVAH BASUTA
Ya Mungu mpeni Mungu na Ya Kaisari mpeni Kaisari
Hapa sio bure inaonekana kila upande una maslahi maana tunapokwenda tutakuwa tunaongozwa na viongozi wa dini bora kila mtu abaki kuwahudumia waumini aya mambo ya nchi wayaache maana hata hizo dini zenyewe magumashi matupu
Tukisema kichwani hamna kitu, muwaache wagalatia hamuwezi kupambana nao mnatoa povuuuuuTamko la Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunna Tanzania (BASUTA) likielezea kuhusu makubaliano ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari."BASUTA haturidhishwi na 'undumilakuwili' na ukosefu wa uadilifu wa wapingaji wa mkataba ambao walifumbia macho mikataba mingi ya hovyo huko nyuma katika sekta mbalimbali ikiwemo madini na hawakutaka ifutwe lakini wako tayari kwa gharama yoyote kuhakikisha mkataba huu unafutwa na unakufa"
View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1694707474065227802?s=20
Labda wamepewa Hawa mashehe ubwabwaBadala ya kuja na hoja juu ya vipengele vya mkataba wao wanasema tayari vimeshajadilwa, sasa hii inakuwa vipi??? Tena katika hili hupaswi kumu attack mtu/taasisi directly wee jibu vifungu alivyodai vina utata njoo na argument yako kuelezea umakini wake
Sasa ukija na ushubwada kama huu ambao ni mipasho badala ya uchambuzi wa kina mnaonesha ni kwa namna gani mlivyo weupe kichwani
As a matter of fact, govt works on paper, je kuna document yoyote ambayo imetoka serikalini inafafanua kifungu kimoja baada ya kingine? Ningependa kuipata kama ipo niisome kwa makini
Basi inabidi viongozi wengine waige haoAise hapo kwa Mashahidi wa Yehova umewasingizia. Hawa jamaa wao Wana mind business zao na family zao tu. Hata hutawasikia kujiingiza hii malumbano.
Ona ha Wahhabi (siasa kali) wanailalamikia Serikali ya Saudia kwa sababu inafungulia mtu kuishi kwa uhuru. Serikali Ina Agenda zake za kiuchumi wao wanaletaawazo ya kimjahidina- kilichowapata nafikiri kila mtu akijuaDuuu BASUTA inaitaka Serikali ikaze Uzi kutokukubali kukubali mashinikizo ya kundi lolote lile. Experience shows that makundi ya UISLAM WA SIASA KALI Duniani kote huwa wanakinzana na Serikali. Hata huko Saudia na Egypt imetokea hiyo. Sasa kama hawajui ni kwamba Huyo Rais wetu ingawa ni mswalihina mzuri, avaa Hijabu, Bado ni Mserikali tuu. We ngoja wake na hoja zao za kijahidina atawashangaza siku si nyingi