inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Hawakuwaambia kondoo waivujishe sababu wawekezaji ni wazungu 'wenzetu'Wamejibu Hoja?.
Hiyo mikataba mingine ilikuwa leaked kama huu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawakuwaambia kondoo waivujishe sababu wawekezaji ni wazungu 'wenzetu'Wamejibu Hoja?.
Hiyo mikataba mingine ilikuwa leaked kama huu?
Taasisi zote za dini ambazo hazifungamani na ukristo badala ya kutoa maoni ya kuunga mkono au kupinga kwa sababu za mashiko huo uwekezaji wa DPW bandari, wenyewe wanawashambulia TEC huu ni ujinga, ukengeufu na ndio chanzo cha madai ya udini wanayachochea kuanzia hapo. Kinachopingwa na TEC na wadau wengine ni mktaba wenye vipengele tata sio uwekezaji lakini hawaelewi halafu wanadai wanapunjwa katika teuzi za uongozi au fursa mbalimbali.Ndo umbumbu ninaouona..!! Wamewadhalilisha Ansaar Sunna
Waislam watakuwaa wanajidhalilisha sana kwa kweliWamejibu kuhusu vipengele vyenye utata vya mkataba, au wanamtetea mwenzao katika imani hata kama hayupo sahihi?
Ukweli una nguvu siku zote. Na hapa ndipo ilipo tofauti ya hao TEC na hao imaams. TEC waliongea na hoja zao ziko wazi, hao imaams wao wako kwenye personalities. Elimu ni kitu kizuri.Helo Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunna Tanzania (BASUTA) Wameshutumu Vikali kile wamepita Undumilakuwili na Ukosefu wa Uadilifu Kwa Wanaopinga mkataba wa Bandari Kwa kile wameita kugumbia macho Mikataba ya hovyo iliyowahi ingiwa hapo kabla..
Kwa sababu wapingaji wa huu mkataba walifumbia macho mikataba mingine basi wsnakosa uhalali wa kutoa maoni yao?Tamko la Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunna Tanzania (BASUTA) likielezea kuhusu makubaliano ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari."BASUTA haturidhishwi na 'undumilakuwili' na ukosefu wa uadilifu wa wapingaji wa mkataba ambao
Tamko la Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunna Tanzania (BASUTA) likielezea kuhusu makubaliano ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari."BASUTA haturidhishwi na 'undumilakuwili' na ukosefu wa uadilifu wa wapingaji wa mkataba ambao 74065227802"]
View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1694707474065227802?s=20[/URL]
Kikwete nenda ukakemee hili,"Tusichanganye dini na siasa."Tamko la Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunna Tanzania (BASUTA) likielezea kuhusu makubaliano ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari."BASUTA haturidhishwi na 'undumilakuwili' na ukosefu wa uadilifu wa wapingaji wa mkataba ambao
Kwa Akili fupi kama hizo unategemea maendeleo watayapata kweli?Ndiyo Maana Ujiji na bagamoyo Watu Ni maskini Kisa utumwa,, Kumbe kuna Watu Bado Ni watumwa