Uchaguzi 2020 Tamko la chama cha Julius Malema wa EFF juu ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

Utabaki unalia lia kwa miaka mingine mitano. Pole.
 
Mkuu pamoja na mapunguvu mengi kwenye Katiba ya sasa bado ccm wameisigina.

Kuna mtoto wa miaka kumi hivi wakati akiangalia DW kwenye sim yangu alisikitika sana. Akasema huenda Rais Magufuli alipass kwa kuibaia mitihani ya wenzake. Nikamuambia alikuwa Mwalimu wa Chemistry. Akasema alikuwa anaiba mitihani shuleni na kuwaletea watoto wake nyumbani. Wakifanya mtihani watoto wake wanaonekana wana akili sana kumbe baba yao kaiba mitihani ya waalimu wengine na kuwapa.

Aibu sana.
 
Kama prezidaa asingekuwa na Elimu angekuwa mwananchi wa kawaida halafu angetumia hizo akili anazotumia kuendesha nchi kwenye huo ukawaida wa maisha ya kila siku angekuwa na maisha magumu sana, NGUVU NYINGI NA MIHEMKO, INASAIDIA UKIWA NA CHEO AU PESA, na ni vile wataogopa kukunyoshea kidole kwa sababu ya hivyo viwili bt to me this guy mmmmmmmmmmmh Hapana kwa Kweli SIBARIKIWI NAE KABISA.
 
Mkuu, mbona hakuna kibri hapo? Wanaeleza ukweli mtupu na ushauri wao ni kuntu
 
Kuna issue ya vyeti feki waliachishwa kazi no matter how long time waliajiriwa,hoja ikawa walijipatia ajira kwa udanganyifu.Kuna tofauti gani na ushindi huu hata asiyekuwa na elimu kubwa anaona kuna magumashi yalifanyika? Uzalendo gani huu? Mwaka 1998 ulifanyika uvujishaji mtihani wa taifa kidato cha nne kwa kiwango cha kutisha.Siku ya pili baada ya kufanyika mtihani ule,ilibidi ufutwe tu maana wanafunzi wangefaulu kimagumashi na kutunukiwa vyeti. Ilibidi mtihani ule urudiwe miezi miwili mbeleni huku kukiwa na ulinzi mkali.Sasa kwa mkhutadha wa matokeo ya uchaguzi huu unahalalisha udanganyifu hata kwenye mambo mengine nyeti katika jamii kama wizi wa mitihani,maana itakuwa ni utamuduni ili ushinde huna budi kufanya udanganyifu.Kuna tabia za kuigana mbinu za kupata ushindi wa kishindo,hata wengine wataiga katika nchi zao.Ushindi huu haukubaliki utapingwa popote duniani na wapenda haki
 
Yaani wanaongea as if kuna mauaji yanatokea mitaani hovyo hovyo wakati huku hali ni shwari na wanachotaka ni turuhusu maandamano halafu watu wakifa watulaumu tena, stupid!
 
Tell Mr. Malema that in Tanzania we have confused guys like himself. Let Malema hear from the people of Tanzania who voted and not otherwise.
 
Wana hoja nzito, wewe tulia ikuingie wala usijidai kurusha ngumi gala wewe.
 
Kila mtu anajua asingeweza kushinda!
 
Naiona Zimbabwe mpya ngoja washangilie upuuzi.

Hata Mugabe alishangiliwa lakini mwisho wa siku Jeshi likasema hapana Mzee kaa pembeni.
 
Sio kiburi ni mtazamo wa vijana wengi!, sio kila kijana anachozungumza ni kibr HAPANA!, Unachotakiwa kufanya ni kujenga hoja ya kupinga walichokisema sio ukimbilie kusema ni kibri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…