Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Utabaki unalia lia kwa miaka mingine mitano. Pole.CCM imetuaibisha sana sana tunaona aibu hata kuitwa watanzania sababu ya aibu ya CCM, mmefanikiwa kuwafanya masikini watanzania sasa mmefanikiwa kuharibu hata image ya nchi kimataifa. Hivi Rais anayechaguliwa kwa wizi anafanya kazi gani na nani atamuamini. Kila anapoomekana watakuwa wanaona wamekutana na mwizi, yaani sasa hivi ikionekana sura yako mtu unakumbuka wizi was kura jamani hii ni aibu kubwa sana