Tamko la JK lawaondosha Wanyarwanda Kagera! Waacha ng'ombe, mashamba na nyumba

Hii nimeipenda sana, km Serikali ni sikivu hata waliopo huko Ikulu na Usalama wa Taifa waondoke.
  • Huku kwetu kuna Wanyarwanda waliopo TRA
  • wapo waliko Wizara ya kilimo na Mifugo na wamepewa Vyeo vikubwa tu
Tulishamwambia rais JK kuwa kujiunga na hawa Rwanda katika EAC iko siku watatugeuka tusiungane nao maana wanatama sana ya kutawala Binadamu wenzao, hata ukifuatilia Historia yao ya HIMA Empire (BAHIMA) utaona ni watu wasio wastaarabu
 
Hawawezi kujifunza hao watutsi! Tabia za ubaguzi zipo kwenye damu. Hata waliozaliwa huku hiyo tabia wanayo. Mpaka sasa huko rwanda wahutu na watwa ni second class citizens.
That is very right mkuu...Watusi ni wabaguzi mno.Ubaguzi wao ni hardwired to their DNA....sin uhakika kama watabadilika.Kagame tumemkaribisha juzi tu ndani ya East Africa Community sasa ivi anaungana na Museveni kuanzisha kaumoja kengine tena wakimshirikisha Kenyatta huku waikiitenga Tanzania.Ukweli ni kwamba hatuwezi kubeba hii mizigo tena...wajipange sasa.Juzi Pk KASHAURIWA NA JK wapatane na wapinzani wake akaanza kuporomosha matusi...hao ndo warwanda....in a national scale,tabia zo zimeonyeshwa na rais wao.
 
They deserve it wahame kabisa nchi sio yao hii
 

Yaani ndugu Ukwaju tupo pamoja kabisa! Inatakiwa ufanyike msako wa nguvu watolewe popote walipo. Mfano akina serukamba na ntukamazina ambao ni wabunge
 
Confirmed,kuna ndugu yangu ameolewa na Mnyarwanda huko mipakani jana nimepigiwa simu kuwa amechanganyikiwa pa kwenda maana amezaa na ndugu yangu watoto wawili na serikali wameweka matangazo wageni wote waondoke haraka kabla mpaka haujafungwa rasmi.

Ndugu yangu nae hajui afanye nini na familia bila mume wake ambaye anytime anarudi Rwanda.Mipakani umefanyika uzembe miaka mingi hadi watu wameoleana tayari!!!

Serikali ilinde vyema mipaka yetu tusiwe shamba la bibi.
 

Waondoke hawana lolote la msaada zaidi ya kutuvuruga.
 
Yaani ndugu Ukwaju tupo pamoja kabisa! Inatakiwa ufanyike msako wa nguvu watolewe popote walipo. Mfano akina serukamba na ntukamazina ambao ni wabunge
Waanze na wewe muhutu wa kigoma.
 
Tea party politics hizi,waende tuu and they will be better in Rwanda kuliko kukaa sehemu wanayochukiwa namna hii,Kagame atawapokea kwa mikono miwili waendelee kujenga nchi yao kwenda mbele na hope Rwandese hawata retaliate na huu upuuzi na kuanza kuwatimua watanzania Kigali na biashara zao.
 
Wewe ndio Mtutsi Waheed kabisa ambaye hujui asili yenu,
Nchi hiyo ni ya Wahutu na Watwa nyie mlitoka Ethiopia, enzi za kina Kushi nashauri yaani ikiwezekana UN ikubaliane na Barak Obama hata huko Rwanda mtimuliwe tena maana hamfai kuishi na Binadamu ni wabaguzi kupindukia leo wanaitaka DRC baada ya kushtukiwa na JK kuishi TZ sasa wanatimuka wote Biharamulo, na hapo ndio mwanzo tu na BADO damu ya Habyarimana itawarudia wote WAUAJI NA WABAYA NYIE [h=1]General Paul Kagame Assassinated President Juvenal Habyarimana, Former RPF Secretary General and Kagame's Chief of Staff Says[/h]http://www.afroamerica.net/AfricaGL...mes-chief-of-staff-says/#chitika_close_button
 
Shida yangu kubwa na hawa jamaa ilikua ni uharibifu wa mazingira uliokuwa ukifanywa na mifugo ya hawa jamaa na silaha walizikua wanaingiza nchini na kutumiwa kwa ujambazi


Mkuu mbaya zaidi wakati sisi tunahangaika na shida zote hizo zilizotokana na kuwahifadhi hawa watu, kiongozi wao anajifungia sehemu na rais wa Kenya kwa kushilikiana na M7 wanaweka mikakati ya kupunguza nguvu bandari yetu. Kama kweli maisha ya Rwanda ni bora kuliko ya kwetu kama wanavyodai, kwa nn wahangaike kukimbilia mikoa mingine badala ya kwenda kwao kwenye neema.
 
Hiyo ni trela movie lenyewe litawaangukia hivi karibuni. Hawawezi kujifanya wakali sana kwa just kushauriwa tu. Dawa yake tukiwateka aliowatuma wakafanye uharamia Kongo tunawabana virungu vyao na mabomu yao mawili mpaka watutajie nani aliyewatuma.

Halafu baada ya kupata ushahidi wakutosha tunakuja kumalizia hasira zetu hapo kwenye kijinchi kama wilaya moja ya Shinyanga.
 
Kama kwao ni kuzuri kwa jirani walifuata nini? Na huyo Kagame wao alikuwa wapi kuwapokea kwa mikono miwili tokea mwaka 1994?
 

mkuu kumwambia mtu arudi kwao kuna ubaya, ukatili uko wapi kama ana kwao ndugu??
 

Ndio, acha waende.
 
Hili zoezi la kuwaondoa wahamiaji haramu limechelewa sana, ninaunga mkono banyamulenge kuondolewa lakini JK alitakiwa atoe tamko hili mapema sana kabla hali haijawa mbaya kiasi ilivyofikia. Malalamiko juu ya wahamiaji hawa hayakuanza jana lakini alijifanya kama hakuna kinachoendelea. Ninashawishika kuamini ile kauli inayomtuhumu kuwa baba Riz ni mtu wa visasi na amefikia kutoa tamko hilo baada ya kutofautiana na Kagame la sivyo angeendelea kuziba masikio.
 

Kaeni kikao nyie wanandugu juu ya huyo mwenzenu. Ni vema kama huyo Mrwanda akaondoka na damu yake, yaani watoto. Ni ngumu ila ni vema zaidi.
 

Bora urudi kwenu.
 

Koba kuna msemo wa kiswahili usitukane wakunga na uzazi ungalipo.............kiburi cha Kagame na wahuni wenzake ndio kimeamsha hasira hii ya watanganyika..! Get Kagame out of map akanyee debe ICC, wale wenye mtazamo chanya na kujua utu na kuishi kwa amani na majirani wapo Rwanda.....msiwe brainwashed kuwa bila Kagame hakuna Rwanda
 
Yaani ndugu Ukwaju tupo pamoja kabisa! Inatakiwa ufanyike msako wa nguvu watolewe popote walipo. Mfano akina serukamba na ntukamazina ambao ni wabunge


Mmeanza hivi watu wa Ngara/Kagera waliwakosea nini? Ntukamazina ni mnyarwanda toka lini? chuki tu zimewajaa......haya na muwaondoe na hao wasomali, wamalawi, wamsumbiji, wakenya etc. tuone nani atabaki.
 

Koba ndugu yako Elizebeth Dominick sijamwona tangu tamko la JK litangazwe, nafikiri atakuwa anahaha sasa.....maanake baada ya mipakani zoezi litahamia DAR, Mwanza na Arusha...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…