Tamko la Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Dar es Salaam (DCPC) kumtaka Freeman Mbowe kuomba radhi

Yes ni adui wa vyombo vya CCM... !! Vinavyosifu na kiabudu masaa 24 /7

Azory kapotea mwaka wa tatu sasa lakini hatuyaoni matamko ya kulaani toka kwa hawa wasaka tonge.
 
HAWA MAKANJANJA WALISHINDWA KUDAI HAKI YA MWANGOSI KUISHI BADALA YAKE WAKAJIKOMBA KWA SERIKALI WAKATI WA MSIBA PALE JANGWANI!
 
Hivi kumbe kuna DCPC? Ilikuwa wapi miaka yote mitano? Ama ndio imeanzishwa juzi?

"Tasnia ya habari ni nyenzo muhimu katika upashanaji wa habari".

Yaani hilo ndio linajulikana leo baada ya TBC kufukuzwa kwa makosa yao wenyewe?
Kitendo cha kukata matangazo mnakikubali lakini kufukuzwa ndio kumewakera?
TBC hawakufukuzwa kwa kutangaza mkutano wa kampeni za CDM, ila hujuma ndio iliyo waponza. Kama lengo nikurusha matangazo mubashara wangerusha halafu wawaachie wananchi waamue mchele ama pumba.
Kama wanakata matangazo haina maana tena kuwepo eneo husika.
Kama ikitokea Mbowe akaomba radhi kwa upuuzi huu, itaanza kampeni yakusitisha harakati za kampeni za uchaguzi na kushinikiza Mbowe ajiuzulu kwanza.
 
Yaani baaada waalani ssheria.kandamizi zinazotungwa na serikali kukandamiza vyombo vya habari

Hiyo ni klabu ya waandishi walevi tu
 
Wapeleke upuuzi huko.

Hakuna mtu atawaomba radhi hao wazee wa bahasha za kaki, hizo njaa zao wazipeleke huko CCM.
Wamewabeba sana miaka yote hawa waandishi.

Habari nyingi za chadema ni za kubumba.

Wana haki kudemand Gastura aombe radhi
 
Akwahiyo hao wanasema waombwe radhi walifurahia hujuma za tbc?. Na wanalipwa kwa Kodi za watanzania wote. Wacheni unafiki ndio Mana meko anawakandamiza Kila kukicha kwa ujinga wenu.
 
TBC ndio nguli wa habari nchini huwezi kuwatimua kizembezembe vile!
Huu ni upumbavu mkubwa, nguli anaruhusiwa kufanya makosa ya makusudi?

Hiyo club ya wana habari mbona hatujaina
Ikiikemea tbc ilipokuwa inafanya upendeleo kwa ccm?
Hiyo ni club bali ni kilabu ya ulanzi unsotoka iringa wananywea Dar.

Hapo ndipo vyombo vya habari vya tanzania vinadharaulika ndani na nje ya nchi.
Wanawashinda hata wakenya! Shame
 
Kwa hili 'Tamko' lao tu la sasa ni 'Uthibitisho' ulio rasmi kuwa 'Tasnia' nzima ya Waandishi wa Habari nchini Tanzania iko 'Mfukoni' mwa 'Dola' Kuu.
Wangekua na nia njema wangekua wanakemea madhila waaliopata kina Azory Gwanda au wangepigia kelele hii sheria ya vyombo vya habari inavyotumika kukandamiza vyombo vya habari kupitia idara ya habari maelezo chini ya Dr. Abassi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…