Labda unguli wa kutangaza vishindo feki vya awamu ya tanoTBC ndio nguli wa habari nchini huwezi kuwatimua kizembezembe vile!
Sure ili kuwaomba msamaha walete vyeti vya form four,Prisonerx, Makanjanja watupu hao
Haina unguli wowote, wamejaa waandishi wa kujipendekeza tu!TBC ndio nguli wa habari nchini huwezi kuwatimua kizembezembe vile!
Duuu kweli aisee maana pale tbc wamejaa vihiyo kibaoSure ili kuwaomba msamaha walete vyeti vya form four,
Ni ujinga kumwomba msamaha mtu alipepata div Iv
Wamejaa vihiyo kina BashiteHaina unguli wowote, wamejaa waandishi wa kujipendekeza tu!
Tatizo lako na wewe umeendekeza sana njaa, tatizo lako ni kulelewa mjengoni kwa shemeji, kila uzi upoTBC ndio nguli wa habari nchini huwezi kuwatimua kizembezembe vile!
Wametimuliwa basi. Hakuna kuomba radhi. Imeshotoka hiyo ikirudi pancha.TBC ndio nguli wa habari nchini huwezi kuwatimua kizembezembe vile!
Hivi kumbe kuna DCPC? Ilikuwa wapi miaka yote mitano? Ama ndio imeanzishwa juzi?Ulimwengu wa Wanahabari na Watanzania kwa ujumla ulipigwa na butwaa pale Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mhe. Freeman Alkaeli Mbowe, alipoamrisha waandishi wa habari wa televisheni ya Taifa (TBC) kuondoka katika mkutano wa ufunguzi wa kampeni za chama hicho, uliofanyika kwenye viwanja vya Mbagala Zackem jijini Dar es Salama kwa tuhuma za kwamba wanafikiri wao ni televisheni ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Katika amri yake Mhe. Mbowe alitoa dakika 15. Kwa waandishi hao kuwa wamefunga vyombo vyao na kuondoka katika eneo la mkutano huo kwa madai kwamba TBC ilikuwa imesitisha matangazo ya mkutano huo ambayo awali yalikuwa yakirushwa mubashara.
Mbowe alisema wamechoka kuonewa na kufanywa wapumbavu hivyo aliwapa dakika 15 wawe wameondoka kwenye viwanja vya mkutano.
Kwa vipimo vyovyote vya kimaadili kitendo hicho kilikosa uungwana na hakikubeba misingi ya kiutu hata kama zilikuwepo dalili zozote za kukatishwa kwa matangazo hayo au huko kufanywa wapumbavu kama alivyosema Mhe. Mbowe.
Kitendo kile ambacho kilikosa busara na ukomavu wa kisiasa siyo tu kiliwadhalilisha na kuwafedhesha waandishi wale pamoja na taaluma yao isipokuwa zaidi kilihatarisha usalama wao na vifaa vyao kutokana na mazingira yaliyokuwepo.
Kutokana na hali hiyo ambayo haivumiliki hasa katika kipindi hiki cha kampeni za kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu wa 2020 sisi DCPC ni klabu huru ya waandishi wa habari mkoa wa Dar es salaam, wakati tukiendelea kutafakari hatua sahihi za kuchukua kwa kushirikiana na wadau wengine wa habari mkoani humu, inachukua nafasi hii kukemea na kulaani kitendo kile pamoja na kumtaka Mhe. Mbowe kuomba radhi kwa waandishi wale, Televisheni ya taifa, tasnia ya habari, pamoja na Watanzania kwa ujumla.
Tasnia ya habari ni nyenzo muhimu katika upashanaji wa habari hasa nyakati hizi za kampeni za kisiasa na uchaguzi wananchi wanahitaji kujua sera, ilani na mipango ya vyama vya siasa kabla ya kupigakura. Na kwa vyovyote hakuna njia rahisi ya wananchi kuyapata yote hayo kama si kupitia vyombo vya habari ambavyo CHADEMA imeamua kuwadhalilisha.
DCPC inaungana na vyombo, taasisi na watu wote ambao wamekerwa na kitendo kile na inaviasa vyama vingine vyote kujiepusha na mihemuko inayoweza siyo tu kudhalilisha taaluma ya habari lakini pia kuwatia hatarini waandishi wa habari wanapokuwa kazini.
Mwenyekiti DCPC
Irene Mark
01.09.2020
Ujinga mtupu. Wangekuwa timamu wangrionya TBC kwanza amvayo inatumika kama chombo chanpropaganda cha CCM.
Hakuna mwenye akili timamu atakayeunga mkono upuuzi unaofanywa na TBC.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamewabeba sana miaka yote hawa waandishi.Wapeleke upuuzi huko.
Hakuna mtu atawaomba radhi hao wazee wa bahasha za kaki, hizo njaa zao wazipeleke huko CCM.
Hivi kuna mwandishi wa habari utajiri kweli?Wapeleke upuuzi huko.
Hakuna mtu atawaomba radhi hao wazee wa bahasha za kaki, hizo njaa zao wazipeleke huko CCM.
Akwahiyo hao wanasema waombwe radhi walifurahia hujuma za tbc?. Na wanalipwa kwa Kodi za watanzania wote. Wacheni unafiki ndio Mana meko anawakandamiza Kila kukicha kwa ujinga wenu.Ulimwengu wa Wanahabari na Watanzania kwa ujumla ulipigwa na butwaa pale Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mhe. Freeman Alkaeli Mbowe, alipoamrisha waandishi wa habari wa televisheni ya Taifa (TBC) kuondoka katika mkutano wa ufunguzi wa kampeni za chama hicho, uliofanyika kwenye viwanja vya Mbagala Zackem jijini Dar es Salama kwa tuhuma za kwamba wanafikiri wao ni televisheni ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Katika amri yake Mhe. Mbowe alitoa dakika 15. Kwa waandishi hao kuwa wamefunga vyombo vyao na kuondoka katika eneo la mkutano huo kwa madai kwamba TBC ilikuwa imesitisha matangazo ya mkutano huo ambayo awali yalikuwa yakirushwa mubashara.
Mbowe alisema wamechoka kuonewa na kufanywa wapumbavu hivyo aliwapa dakika 15 wawe wameondoka kwenye viwanja vya mkutano.
Kwa vipimo vyovyote vya kimaadili kitendo hicho kilikosa uungwana na hakikubeba misingi ya kiutu hata kama zilikuwepo dalili zozote za kukatishwa kwa matangazo hayo au huko kufanywa wapumbavu kama alivyosema Mhe. Mbowe.
Kitendo kile ambacho kilikosa busara na ukomavu wa kisiasa siyo tu kiliwadhalilisha na kuwafedhesha waandishi wale pamoja na taaluma yao isipokuwa zaidi kilihatarisha usalama wao na vifaa vyao kutokana na mazingira yaliyokuwepo.
Kutokana na hali hiyo ambayo haivumiliki hasa katika kipindi hiki cha kampeni za kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu wa 2020 sisi DCPC ni klabu huru ya waandishi wa habari mkoa wa Dar es salaam, wakati tukiendelea kutafakari hatua sahihi za kuchukua kwa kushirikiana na wadau wengine wa habari mkoani humu, inachukua nafasi hii kukemea na kulaani kitendo kile pamoja na kumtaka Mhe. Mbowe kuomba radhi kwa waandishi wale, Televisheni ya taifa, tasnia ya habari, pamoja na Watanzania kwa ujumla.
Tasnia ya habari ni nyenzo muhimu katika upashanaji wa habari hasa nyakati hizi za kampeni za kisiasa na uchaguzi wananchi wanahitaji kujua sera, ilani na mipango ya vyama vya siasa kabla ya kupigakura. Na kwa vyovyote hakuna njia rahisi ya wananchi kuyapata yote hayo kama si kupitia vyombo vya habari ambavyo CHADEMA imeamua kuwadhalilisha.
DCPC inaungana na vyombo, taasisi na watu wote ambao wamekerwa na kitendo kile na inaviasa vyama vingine vyote kujiepusha na mihemuko inayoweza siyo tu kudhalilisha taaluma ya habari lakini pia kuwatia hatarini waandishi wa habari wanapokuwa kazini.
Mwenyekiti DCPC
Irene Mark
01.09.2020
Huu ni upumbavu mkubwa, nguli anaruhusiwa kufanya makosa ya makusudi?TBC ndio nguli wa habari nchini huwezi kuwatimua kizembezembe vile!
Wapo wale wa zamani ila wamefilisika mfano mzuri ni Pascal MayallaHivi kuna mwandishi wa habari utajiri kweli?
Wangekua na nia njema wangekua wanakemea madhila waaliopata kina Azory Gwanda au wangepigia kelele hii sheria ya vyombo vya habari inavyotumika kukandamiza vyombo vya habari kupitia idara ya habari maelezo chini ya Dr. Abassi.Kwa hili 'Tamko' lao tu la sasa ni 'Uthibitisho' ulio rasmi kuwa 'Tasnia' nzima ya Waandishi wa Habari nchini Tanzania iko 'Mfukoni' mwa 'Dola' Kuu.