Tamko la wazee Chadema: Mbowe ndiye kiongozi pekee barani Afrika asiyelipwa posho wala malipo yoyote na chama chake, anajitolea!

Kuna pesa alikuwa anawakata wabunge wake na pesa za ruzuku

Zikikuwa zunaingia kwenye account ya familia yake
Tukumbushane, hiyo bilioni nane kaichukua wapia na kwa staili gani?
 
Kuna pesa alikuwa anawakata wabunge wake na pesa za ruzuku

Zikikuwa zunaingia kwenye account ya familia yake
Too cheap to buy my friend, hakuna mbunge hata mmoja aliwahi kukatwa pesa na mbowe. Katiba ya chama chao inabainisha suala la wabunge kuchangia chama. Kama kuna mbunge kakaa na ubunge miaka mitano na hajui katiba ya chama chake,basi huyo hata udiwani hafai. Na hakunapesa iliwahi kukatwa na kuingi akwenya akaunti ya familia. Hizi ni story za kumjenga Mbowe zaidi ya kumbomoa. yatupasa kuja na hoja zenye mashiko ili kumbomoa huyu jamaa. he is very strategic na wengi wetu tumekuwa tukisakama kwa maneno ambayo kwa akili yetu tunafikilia yatammaliza kumbe ndio tunamjenga kisiasa.
 
Safi sana, huyu ndiye mfano wa kuigwa...Mtu anajitolea tu lakini yupo tayari kupambana na yeyote anayetishia nafasi yake hiyo ya kujitolea kwa jamii.
 
Mkuu Mbowe alikuwa anawakata wabunge zaidi ya milion anaenda kula bata na mukya dubai
 
Kuna haja ya TAKUKURU kupeleleza ukwasi waliokua nao
Mzee Mwinyi
Mzee Mkapa
Mzee Kikwete
Hii itaongeza uwajibikaji sana
 

Ujinga ni kipaji pia
 
Unajua kuna watu wamezoea kuzani Watanzania ni wajinga, na hivyo bado wanaishi nao kwa mazoea! Ni TAKUKURU hukohuko ilipelekwa hadi flash iliyokuwa na sauti za viongozi wa CCM mkoa wa Arusha waliokuwa wakipanga njama za kuwahonga na kuwanunua madiwani wa CHADEMA, lakini hatujawahi kusikia hatua zozote zikichukuliwa! Si hivyo tu, mwaka 2016 Mwenyekit wa CCM aliunda tume ya kuchunguza mali za chama hicho nchi nzima, baada ya uchunguzi tume ile iliyokuwa chini ya Dk Bashiru Ally, iligundua ubadhirifu mkubwa sana wa mali za chama karibu Tanzania nzima, lakini hatujawahisikia TAKUKURU imejitosa kuita watu kuhojiwa! Je hapa tuamini nini? Tunaomba TAKUKURU wabishe hodi kwenye vyama vyote kama kweli wana nia njema!
 
Kwa sababu ni wazee sina haja ya kushangaa. Ni sahihi kabisa kama mwenyekiti wa Chama halipwi, lakini by Position hiyo anaingiza pesa. Ana malipo na maslahi kama Mbunge, pia kama KUB. Muhimu zaidi kama mwenyekiti chama chake kina muhudumia safari, makazi na issue zake zote kwa ujumla as a Chairman.
 
Hivi kwa mfano bakhresa analipwa mshahara au posho kwenye kampuni zake?
kwa mfano huu wa Bakhresa, mkuu unamaanisha Chadema ni kampuni ya Mbowe?
 
Ama kweli ukizeeka na akili za kudanganya zinazeeka eti anajitolea miaka 20 bila posho wala malipoo!!!
Uzee mwingine sio dawa ni ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…