Tamthilia ya Othman ya Azam TV, lengo lenu ni kuudhalilisha Ukristo. Itoeni mara moja

MIMI NAJIULIZA HIVI BODI YA FILAMU INAKAGUA HIZI TAMTHILIYA KABLA HAZIJARUSHWA KAMA ZINAVYOKAGULIWA ZA KWETU MAANA SIO TAMTHILIYA YA KUONYESHWA KABISA NI UDINI MTUPU
 
Hiyo ni historia japo wameongeza. Kusema kweli sijatazama ila kweli Constantinople ilianguka ikaja Istanbul ila hata hilo jina la istabubl bado ni jina la Kigiriki z[emoji23][emoji23][emoji23]kuanguka kwa Constantinople bado hakufanyi ukristu uanguke maana baadae wakristu walimiki dunia nzima. Hv unajua kipindi cha vita ya kwanza Waingereza walikua na machaguo mawili waisambaratishe Makka au ottoman empire. Wakaamua kuwakomesha Waturuki na kuwakabidhi al Saudi Makka ila wawashike masikio Waislamu
 
Mimi ndio maana situmii kipe king'amuzi aisee. Yani Azam ni mdini aliyepotiliza. Ni mdink mpaka anakera
 
Fuatilia historia vizuri ujue ni kiongozi/mtume gani aliyehusishwa na ulawiti
 
Nimeipenda hii, tafadhali nipe source yako!
 
Nimeipenda hii, tafadhali nipe source yako!
We andika Arab revolt against ottoman. Yani Jordan ndio alishika Arab nzima sema watu wa arabia jangwani wakawapindua ndio wakachukua Saudia. Yani hiyo familia ya Saudi iliwapindua Waarabu wa Madina ikabidi wakimbilie Jordan
 
Hata wewe ungekuwa unajitambua usingeleta udini kwenye mambo serious.

Imagine wangekuwa wanafanyiwa waislam hayo mambo mngefurahi?

Kuna watu pamoja na ukongwe wenu humu jf ila akili tunafanana. Bora ungekaa kimya tu kujitunzia heshima yako.
Muislamu hata awe na PHD ila akili zao ni km punje ya mchele kwenye ku reason mambo ya Dini..haya majamaa Madini sana
 
Daah kweli binaadamu hana jema

Mkuu nani kakulazimisha ununue kingamuzi cha azam
? Si ununue ivo ambavyo havina uislamu

Then problem solved
 
Hao mbona ni kawaida yao. Kuna yale mahubiri ya kuukashifu ukristo.
Dini ya uislamu huenezwa kwa umwagaji damu, ubaguzi na kukashifu imani zingine.
Muislam hawezi kukutendea matendo mema au kukuhubiria mema ili usilimu. Km hajakuua, atakubagua au kukufanyia jambo baya.
Achana nao si unaona tetemeko lishawapiga tayari.
 
Kuna jamaa anajiita NABII TITTO mzuieni basi huyo jamaa anatembea na misalaba na anaashiria vitendo vichafu huku anamisalaba kwenye nguo zake na ana act kashika bible

Kuhusu ving’amuzi unaweza ukaacha kulipia coz jamaa ajasema ni lazima kununua ni vilee unapenda tu ulipie au uache na kuna vitu vingi tu kwenye kile king’amuzi kuna mpaka wachungaji wanahubiri ni bora kuangalia mahudhui yanayokuvutia tu kuliko kujinyima raha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…