Tamthilia ya Othman ya Azam TV, lengo lenu ni kuudhalilisha Ukristo. Itoeni mara moja

Tamthilia ya Othman ya Azam TV, lengo lenu ni kuudhalilisha Ukristo. Itoeni mara moja

Umeishafanikiwa kusoma "Rise and fall of Ottoman Empire" " pia ni topic A level..hivyo ndivyo ilivyokuwa acha makasiriko mkuu.
Usihangaike bure huyu hajui hata Ottoman empire ni kitu gani.

Hiyo ni sehemu ya historia iliyotokea miaka mia kadhaa nyuma lakini anakuja kulalamika leo.

Ni sawa na waislamu walalamike eti filam 'the rise and fall of the roman empire' inasaidia kueneza ukristo kwa hivyo iondolewe kwenye tv.
 
Mwongo wewe. Hollywood wanayengeneza muvi kutokana na nyakati. Nyakati za cold war walitengeneza muvi za kishushu against russia na always mashushu wa kimarekani waliibuka washindi...
Kweli kabsa
 
Ni wazi lengo lao ni kuudunisha Ukristo lakini hawataweza, kwanza mimi pamoja na kuwa sio mfuatiliaji wa historia ila sijawahi sikia himaya ya ottoman ila himaya ya rumi ni maarufu na ilitikisa dunia nzima, lakini tofauti na propaganda zinazofanywa na azam tv kutuaminisha ottoman na uislam ni bora kuliko wengine.
 
sasa kwanini unaiangalia? Wakati zipo channel nyingine unaweza kweka Chanel ya Tumaini Tv au Arise and shine ukapata neno la bwana bro?

Ukiweka channel ambazo hazina maudhui unayo yapenda na ukakereka umetaka mwenyewe
 
Ni wazi lengo lao ni kuudunisha Ukristo lakini hawataweza,kwanza mimi pamoja na kuwa sio mfuatiliaji wa historia ila sijawahi .
Kwa kweli wewe unapaswa kurudi sekondari ukajifunze historia kama hujawahi kusikia himaya ya Ottoman.

Na unadhani nani aliangusha hiyo himaya ya Roma?

Jaribu kugoogle basi usijidhihirishie ujinga kiasi hicho.
 
Hizo picha wanaelezea history ya nyuma au nini?

Hebu weka maelezo kirefu huyo osman ndio suleiman the great au anaigiza kama nani, kihistory?

Maana ni kweli uturuki zamani ilipigana na Rome empire na ikashinda🤷🏽‍♂️
 
Mwongo wewe. Hollywood wanayengeneza muvi kutokana na nyakati. Nyakati za cold war walitengeneza muvi za kishushu against russia na always mashushu wa kimarekani waliibuka washindi.
.
Hamna unachokijua maskini ya Mungu! Hiyo ni historia sio imetungwa ni kama hadithi fulani hivi.


Je, mbona hizi za kutunga kama black hawk down huoni kama zinaleta chuki
 
Angalia movie zote za waarabu na wamarekani ,lazima majambaau wawe waarabu Tena wanaonekana wale watu dini ( waislamu) wakichinja watu Kwa sana ,mbina husikii watu wakilalama.
Ndio hawa hawa kila siku wanafurahia kuona American movies ni waarabu. Kuna watu na cry babies
 
Nyie si mnasema WAISLAM ni wachache sasa huo wingi mnautoa wapi?

Tutawaendesha mpaka mkome mbuzi nyie, sasa tunapanga kuwalisha Haluwaaa
Matusi yametoka wapi tena? Haya wingi wenu unasaidia nini?
 
Kwa namna Dunia ilivyo sasa kama we ni Baba au Mama simamia familia yako, kama kuna contents unaona hazifai zitaipotosha familia yako simama zisiifikie, kulaumu Azam unakosea.

Maana hata ving'amuzi vingine inawezekana kukawa na contents unapenda ila wengine huko hawapendi.

Kuwa mlinzi wa kwanza Kwa familia yako
 
Umeandika Nini? ushaangalia filamu za wamarekani?

Mbona wanawachukulia waarabu na wengine km wasiyo faa na magaidi?

Kaa kwa kutulia bhana, ww ndo una udini dini
 
Back
Top Bottom