CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,840
- 15,918
Mtajua nyie na Wazanzibar, shida akilini mwenu mnadhani WAISLAM WANAPATIKANA ZANZIBAR tu. Huna akili.Hoja kuu ni kua haina umuhimu kuwepo Muungano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtajua nyie na Wazanzibar, shida akilini mwenu mnadhani WAISLAM WANAPATIKANA ZANZIBAR tu. Huna akili.Hoja kuu ni kua haina umuhimu kuwepo Muungano
Hivi Waitaliano nao wakitengeneza movie ya dini unategemea kuwa dini yao itapigwa?Tamthilia ya Othman ni tamthilia ya Uturuki ambayo hapa nyumbani inaoneshwa na Azam Media...
Sasa mtu kama ww usiye jua hata historia ya Ottoman shuleni ulikuwa unaenda kusomea ujinga?Ni wazi lengo lao ni kuudunisha Ukristo lakini hawataweza,kwanza mimi pamoja na kuwa sio..
Tumeishika Nchi kwenye kila Nyanja sasa, KISIASA, KIUCHUMI na kila kitu, nyie mbwa mtatuambia nini??Matusi yametoka wapi tena? Haya wingi wenu unasaidia nini?
Utashangaa mkristo anaacha mambo ya msingi anaangalia tamthilia za kipuuzi hiviWakristo tususie uchafu wa Azam
sioni sababu kunununua king'amuzi cha azam.Tamthilia ya Othman ni tamthilia ya Uturuki ambayo hapa nyumbani inaoneshwa na Azam Media.
Maudhui ya tamathilia hiyo kuwa Dini ya othman ( Uislamu) ni dini bora kuliko dini ya Wakristo (waroma).
Kwenye filamu hiyo utaona kuna mapigano baina ya Waislamu ( othman) na wakiristo (waroma)! Mapigano ni kwa ajili ya kusimika dini ya Uislamu na kila pambano wanashinda Waislamu dhidi ya Wakristo, na wakishinda utasikia Mungu mkubwa, Mungu mkubwa, allah mkubwa.
Wewe ndio hulewi. Hatukatai ni historia na ilitokea kweli. Kama zilivyo tamthilia nyingine nyingi tu zenye kuelezea historia based on true stories kama 300 sparta nk.Hamna unachokijua maskini ya Mungu ! Hiyo ni historia sio imetungwa ni kama hadithi fulani ivi.
Je mbona hizi za kutunga kama black hawk down ,huoni kama zinaleta chuki
Mtoto saa nne usiku anaangalia tv ili agundue nini?Ni nyingi ila unaona inaleta picha maana watazamaji wengi ni watoto
Hiyo ni kampuni ya mtu binafisi huwezi kumpangia namna ya kuiendesha.Wewe ndio hulewi. Hatukatai ni historia na ilitokea kweli. Kama zilivyo tamthilia nyingine nyingi tu zenye kuelezea historia based on true stories kama 300 sparta nk.
Ni kweli, Mungu wa Wakristo anajipigania mwenyewe hahitaji wasaidizi.Mkristo: Anaamini kuwa Mungu anaweza kujipogania mwenyewe. Ukristu unaaminisha hata ukifa kwa ajili ya kristo na bado una
Hayo ni matukioyaliyotokea kweli.Tamthilia ya Othman ni tamthilia ya Uturuki ambayo hapa nyumbani inaoneshwa na Azam Media...
Cha ajabu na baba naye unajiita Adolf hitler jr, of all names. [emoji23][emoji23]Wavaa kobazi wakikusikia utasikia.
"Hama kwani nani kakulazimisha kununua Azam"...
Hatari sanaUtashangaa mkristo anaacha mambo ya msingi anaangalia tamthilia za kipuuzi hivi
Kwa hiyo Azam wakaona hiyo ndio tamthilia bora ya kuwekaAnother thread ...again
Ottoman series ni series iliyo based na history ya kweli ya Ottoman empire..
Wakishaitoa hiyo series ungependa kingine kipi wafanye...tuagize na Google wafute history yoote ya Ottoman empire?..
Kweli..ilikuwa huzuni..now tuna matajiri Waarabu..wenye udiniMKRISTO mwenzetu tajiri wa kichaga alifia kwenye KINENA 😂😂😂
Una family au Uko kwenye umoja wa wakataa ndoa??Ninacho kisimbuzi cha azamu ila hizo tamthilia kwangu mwiko kabisa
USSR