bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
Usihangaike bure huyu hajui hata Ottoman empire ni kitu gani.Umeishafanikiwa kusoma "Rise and fall of Ottoman Empire" " pia ni topic A level..hivyo ndivyo ilivyokuwa acha makasiriko mkuu.
Ila nyie watu mna malalamiko ya ajabu sana, sasa ukristo umeumizwa vipi hapo?.Maudhui ni Dini ..kwann wasitafute zingine ambazo haziumizi Dini nyingine
Kweli kabsaMwongo wewe. Hollywood wanayengeneza muvi kutokana na nyakati. Nyakati za cold war walitengeneza muvi za kishushu against russia na always mashushu wa kimarekani waliibuka washindi...
kwa taarifa tu ni kwamba waturuki siyo waarabu, jifunze kutenganisha makabila na mataifaHizo tamthilia zimewekwa kwa lengo maalumu,kueneza utamaduni wa waarabu na uislamu,
Kwa kweli wewe unapaswa kurudi sekondari ukajifunze historia kama hujawahi kusikia himaya ya Ottoman.Ni wazi lengo lao ni kuudunisha Ukristo lakini hawataweza,kwanza mimi pamoja na kuwa sio mfuatiliaji wa historia ila sijawahi .
Nyie si mnasema WAISLAM ni wachache sasa huo wingi mnautoa wapi?List ya familia masikini wengi waislamu
Hoja kuu ni kua haina umuhimu kuwepo MuunganoKhee we unadhani TANGANYIKA kuna Waislam wachache kuliko Zanzibar??
Mjinga na mpumbavu ni wewe mwenye roho mbaya ya wivuMitanzania mijinga unaanzaje kutumia kighamuzi Cha Azam si upumbavu huo
endelea kukoroma usiku bado haujachaUkigundua Uislamu ni dini dhaifu na mungu wao ni dhaifu hutajisumbua nao
Hamna unachokijua maskini ya Mungu! Hiyo ni historia sio imetungwa ni kama hadithi fulani hivi.Mwongo wewe. Hollywood wanayengeneza muvi kutokana na nyakati. Nyakati za cold war walitengeneza muvi za kishushu against russia na always mashushu wa kimarekani waliibuka washindi.
.
Ndio hawa hawa kila siku wanafurahia kuona American movies ni waarabu. Kuna watu na cry babiesAngalia movie zote za waarabu na wamarekani ,lazima majambaau wawe waarabu Tena wanaonekana wale watu dini ( waislamu) wakichinja watu Kwa sana ,mbina husikii watu wakilalama.
Matusi yametoka wapi tena? Haya wingi wenu unasaidia nini?Nyie si mnasema WAISLAM ni wachache sasa huo wingi mnautoa wapi?
Tutawaendesha mpaka mkome mbuzi nyie, sasa tunapanga kuwalisha Haluwaaa
🤣🤣🤣Ndio hawa hawa kila siku wanafurahia kuona American movies na waarabu. Kuna watu na cry babies