Katiba Mpya itamke wazi, Tanzania kuna Muungano, wenye serikali moja.Sasa ni nini kifanyike?
Hussein Mwinyi Anafanya nini kule na ikulu yake na bunge lake?Katiba Mpya itamke wazi, Tanzania kuna Muungano, wenye serikali moja.
Ngoja nikupe habari: Ule mchakato wa Katiba Mpya uliofanyika chini ya Marehemu Sitta, na Samia akiwa Naibu wake; ni hawa hawa akina Samia waliokwamisha sababu ya Muundo wa Muungano.
Sasa yeye ndiye rais, na unaona anavyozungukazunguka na swala la Katiba Mpya akitafuta jinsi atakavyookoa jahazi kwenye swala hilo la Muungano.
Huku urais wa nchi anao yeye, na kule akiwa analinda maswala ya Zanzibar iendelee kunufaika zaidi ya kiasi kinachostahiki katika Muungano.
Serikali ni Moja tu, chini ya rais mmoja wa muungano.
Haya mengine ya kulembalemba achaneni nayo.
Kuhusu Muungano kuvunjika, hilo sahau. Zanzibar ni sehemu isiyotenganishwa na Tanganyika.
Hayo ndiyo kundi la Samia linayoyapigania, wao wawe tofauti na hawa wengine walioko huko Tanganyika.Hussein Mwinyi Anafanya nini kule na ikulu yake na bunge lake?
Ni mara ya pili zanzibar wanafutiwa madeni ya umeme na tanesco huku wabara wanakamuliwa. Na juzi huyu maharage eti anasema sio busara kushusha bei ya umeme wakati ni kubwa zikiongoza duniani. Mfano wakati kwa unit marekani na ulaya wanalipa $0.02 tanzania tunalipa $0.22. Magufuli akija na ujenzi wa bwawa la nyerere aliapiza kushusha bei ili kuchagiza maendeleo ya viwanda na matumizi kwa wingi ya wananchi.Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Maharage Chande amesema mjadala umefikia mwisho kuwa Zanzibar isamehewe deni ili waanze upya kwa “tariff” mpya pia.
Kwa taarifa za ndani za uhakika ni kuwa maagizo kutoka ikulu ya Dodoma kupitia Waziri January ndiyo yamepelekea afute deni hilo. Maagizo hayo alipewa January wakiwa ndani ya ndege wakitokea Uganda na mama.
Huku wabara wakiendelea kukamuliwa na tozo, wenzao huko Zanzibar mwendo mdundo.
USSR
JPM Tutamkumbuka daima.JPM alishusha bei ya kuunganisha umeme ili kila kujiji kipate umeme. Ulikuwa mpango mahsusi ambayo nchi nyingi zimefanya, ukianza na Marekani ili kuhakikisha vijiji vinapata umeme. Leo wameongeza bei ya kuunganisha umeme huku wakisameheana mabilioni!!!?
Bi tozo sehemu za strategia zote kaweka vichwa boga wake. Angalia fedha kaweka kichwa bingiri kazi kuchekacheka na kuvusha pesa, tanesco ndo kaua kabisa kapeleka kipara kipya , huyu anajiona first born kabisa, muungano ndo kamchimbia mpiga diri wa msoga. Ingekuwa hawa watoto wa kambo tungeshalimia meno ila midanganyika ni nyumbu tuNani kama MAMAAA NANI KAMA MAAA.
Matanganyika mengi ni mazuzu. Na wakati huu Marais wote kutoka nchi za kigeni heheeee hakuna mwenye uchungu wanavuna hadi visivyo komaa wanapeleka kwao.
Tuliosoma HISTORY ADVANCE TANGANYIKA kwa sasa ndio ile Africa ambayo BAZUNGU walikuwa wanakuja kipindi cha MERCANTILISM, ktk stage ya Prundering wakijibea kila kitu watakacho shamba la bibi.
Kama saa hizi imejazana Uwanjani kuangalia mpira wa Yanga huku ma majizi ya ccm yanafilisi nchi hayana habari.
Ndugai alibaelezea ninyi ma Zuzu nchi mtakuja mstuke imepigwa mnada lakini misukule kazi yao kubishana tuu Simba Yanga
Its true[emoji1787] ilianzishwa 1972!Nyerere alikuwa anaangalia TVZ!
[emoji1787][emoji1787]msalimie Anne! Zesco kwani ina wateja wangapi?Sasa wafungiwe Luku kuu basi kwenye waya kuu inayoingiza umeme kisiwani.
Nilifikiri mtatumia akili ndogo tu , kuuliza huku Zanzibar Huo umeme tunapewa bure ? Lakini kumbe wengi wenu ni boya"Tungekuwa Kama Dubai" wazenj Hela ya umeme tu hamna [emoji23][emoji23][emoji3]noma sana
Kwani nani aliwatuma mtuvamie?Huu ni uhujumu uchumi, kwa sababu uwezo wa kulipa hizo pesa upo lakini kwa kua dada yao ndio kashikishwa kijiti basi anafanya atakalo, kama wame shindwa kulipa hilo deni tanesko Wana uhakika gani kwamba watalipwa bili mpya itakayo tolewa? Kwani kule kwa waarabu koko wanatumia umeme bure? Kama wana nunua luku hiyo pesa inakwenda wapi? 🤔🤔Hivi huu upambavu utakwisha lini lakini, alafu na yeye eti anahubiri maendeleo kwa upumbavu kama huu 😡😡😡😡
Kwa sababu Nyerere alihemkwa na ukristo wake mkamfuata kutuvamia kuuuwa uislamu 🤣🤣Kwanini tunawabeba sana hawa wala urojo?
Endelea kuotaKatika kosa kubwa ambalo sintakaa nimsamehe Nyerere labda lirekebishwe ni kule kuipa hadhi ya utawala wa ndani Zanzibar. Hili ni kosa kubwa la kihistoria na linatakiwa apatikane mtu wa kulirekebisha. Kama walivyofanya India kule Kashmir. Ilitakiwa Zanzibar Leo hii iwe mkoa tu hiz kelele hazitaisha wasipofanya maamuz magumu.
Kumbuka kwamba wenzenu mumewaibia nchi nzimaaa nyie umeme tu unawauma kiasi hicho!Muungano wa kihuni na kitapeli uvunjwe hauna faida Kwa watanzania