TANESCO inaweza ikatengeneza faida kubwa sana endapo wataanza kukopesha units za LUKU. Hii ni ngumu kwa mteja kukwepa marejesho

TANESCO inaweza ikatengeneza faida kubwa sana endapo wataanza kukopesha units za LUKU. Hii ni ngumu kwa mteja kukwepa marejesho

Tanesko mnaboa sana,kwanini msitangaze kuwa nchi yetu iko kwenye mgao wa umeme,mnazima na kuwasha hata Mara Tano he hamjui kuwa mnatuharibia vyombo vyetu vinavyotumia Moto wa umeme pia bulb za taa mnatuungizia.kunasiku tutawafurusha mahakamani na tuwatie adabu,maendeleo mnachelewesha sana nyie tanesko.
 
Tanesko mnaboa sana,kwanini msitangaze kuwa nchi yetu iko kwenye mgao wa umeme,mnazima na kuwasha hata Mara Tano he hamjui kuwa mnatuharibia vyombo vyetu vinavyotumia Moto wa umeme pia bulb za taa mnatuungizia.kunasiku tutawafurusha mahakamani na tuwatie adabu,maendeleo mnachelewesha sana nyie tanesko.
Duuuh wewe kiboko
 
Tanesko mnaboa sana,kwanini msitangaze kuwa nchi yetu iko kwenye mgao wa umeme,mnazima na kuwasha hata Mara Tano he hamjui kuwa mnatuharibia vyombo vyetu vinavyotumia Moto wa umeme pia bulb za taa mnatuungizia.kunasiku tutawafurusha mahakamani na tuwatie adabu,maendeleo mnachelewesha sana nyie tanesko.
Watanzania kwa lawama tu hamjambo
 
Tanesko mnaboa sana,kwanini msitangaze kuwa nchi yetu iko kwenye mgao wa umeme,mnazima na kuwasha hata Mara Tano he hamjui kuwa mnatuharibia vyombo vyetu vinavyotumia Moto wa umeme pia bulb za taa mnatuungizia.kunasiku tutawafurusha mahakamani na tuwatie adabu,maendeleo mnachelewesha sana nyie tanesko.
TANESCO sio malaika mkuu. Wao pia ni binadamu na wana mapungufu yao mengi tu.
 
Chadema wakumbuke kwamba shabiki anabadilika kutokana na treand but mwanachama ni royal
Bwana mkubwa Mbowe kama unapita hapa nakuomba ikiwezekana tembea kwa magoti hadi chamwino ukaombe radhi kwa Rais Samia la sivyo mtakufa tu mtakuwa mmekaidi sauti ya Mungu.
 
Bwana mkubwa Mbowe kama unapita hapa nakuomba ikiwezekana tembea kwa magoti hadi chamwino ukaombe radhi kwa Rais Samia la sivyo mtakufa tu mtakuwa mmekaidi sauti ya Mungu.
Mwanasiasa wa upinzani anapopingana na samia jiandae kujibu maswali yafuatayo kutoka kwa Watanzania UMEME: Ukipingana na samia watanzania watakuuliza unataka tusipate umeme wa uhakika utokanao na Bwawa LA Nyerere yaani unataka tusipate megawati 2115 za umeme unataka tusiwavutie wawekezaji.
 
Mwanasiasa wa upinzani anapopingana na samia jiandae kujibu maswali yafuatayo kutoka kwa Watanzania UMEME: Ukipingana na samia watanzania watakuuliza unataka tusipate umeme wa uhakika utokanao na Bwawa LA Nyerere yaani unataka tusipate megawati 2115 za umeme unataka tusiwavutie wawekezaji.
Rais Samia tangia akiwa waziri katika wizara mbalimbali hajawai kuwa na mshindani katika kariba yake ya utendaji.
 
Rais Samia tangia akiwa waziri katika wizara mbalimbali hajawai kuwa na mshindani katika kariba yake ya utendaji.
Rais Samia amenifanya nione kitambilisho changu cha kupigia kura mwaka jana kiwe zaidi ya hata mali ninazomiliki. Nimekihifadhi, nakitunza na nitakilinda ili nichague tena samia.
 
Rais Samia amenifanya nione kitambilisho changu cha kupigia kura mwaka jana kiwe zaidi ya hata mali ninazomiliki. Nimekihifadhi, nakitunza na nitakilinda ili nichague tena samia.
Jambo kubwa kabisa alilolifanya Rais Samia ni kuwashughulikia mafisadi wala rushwa na wapiga dili waliokuwa wanalihujumu taifa letu. Wananchi zaidi ya 95% wanataka Kazi Iendelee kwamba sasa yakang'olewe mazalia na mabakibaki ya mafisadi popote yalikobakia.
 
Jambo kubwa kabisa alilolifanya Rais Samia ni kuwashughulikia mafisadi wala rushwa na wapiga dili waliokuwa wanalihujumu taifa letu. Wananchi zaidi ya 95% wanataka Kazi Iendelee kwamba sasa yakang'olewe mazalia na mabakibaki ya mafisadi popote yalikobakia.
Utafiti umefanyika na unasema kuwa Rais Samia atawashinda mafisadi na wezi wa mali za umma.
 
Rais Samia amenifanya nione kitambilisho changu cha kupigia kura mwaka jana kiwe zaidi ya hata mali ninazomiliki. Nimekihifadhi, nakitunza na nitakilinda ili nichague tena samia.
Vyama vya siasa vivunje sheria vyenyewe alafu wakulaumiwa awe Rais Samia? Hapana aisee. Samia anaonewa sana na upinzani sababu amezidi kuwadekeza
 
Back
Top Bottom