joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Lini alisema ali mteka mtu na wapi?Bahati nzuri siku hizi kuna YouTube na hotuba zake zote zipo (UTV,TBC,Millard Ayo nk) hebu niambie alisema lini?Kwani ulikuwa humsikii alivyokuwa anamwaga live, pia uwe unajibu hoja siyo kumuataki mtu alaaah
Soma vzrLini alisema ali mteka mtu na wapi?Bahati nzuri siku hizi kuna YouTube na hotuba zake zote zipo (UTV,TBC,Millard Ayo nk) hebu niambie alisema lini?
Sasa nani kakuattack wakati umeongea mwenyewe, nami nataka kujua wewe si umesema "anamwaga live....." ,mimi nataka uniambi lini na wapi au na ww walewale aka nilisikia bin kusimuliwa then ukalibeba kama lilivyo.Soma vzr
Ulisikiliza ripoti ya makinikia vzr, ametaja vzr tuuLini alisema ali mteka mtu na wapi?Bahati nzuri siku hizi kuna YouTube na hotuba zake zote zipo (UTV,TBC,Millard Ayo nk) hebu niambie alisema lini?
Wapi weka video hapa?Ulisikiliza ripoti ya makinikia vzr, ametaja vzr tuu
Na tuelezwe wazi huyo Kelemani alifukuzwa kwa tuhuma gani.Hii katika katika ya umeme ni kiboko inakumbusha enzi za Mkapa na Kikwete. Rais Samia angalau uturudishie Kalemani Kama naibu waziri wa Nishati akapambane na TANESCO, wamerelax sana baada ya mtu huyu kuondoka. Umeme umekuwa Kero. Makamba aendelee kuwa Waziri na ajikite kwenye mafuta kalemani awe naibu ajikite na umeme
Eti ndio watu wanasema agombee urais huyu huyu makamba...! Sijaona mtu hapo. Ni mbinafsi,mitego yake yote ni ksbb zake binafsi tu,si kwa maslahi ya wengi. Magufuli alikuwa anaona mbali sana yule mzee. Alikuwa hataki kurembaMakamba ni worst . Sasa tunaelewa kwanini JPM hakutaka hawa watu kwenye serikali yake. Hawajali maslahi ya watu wa chini. Wengine hatuna uwezo wa kununua majenereta na tuna biashara zinazotegemea umeme. Mungu turehemu na viongozi hawa. Tutafutie viongozi wazalendo
Huyo jamaa hkyanani hata akipewa nafasi ya kugombea nahama nchialafu January anataka tumpe urais wakati kapewa wizara tu ameanza ku abuse.huyu kijana hafai kabisa ana create mgao kama kipindi cha ngereja kwa manufaa yake
Inawezekana kuna majenereta ya Symbion yapo bandarini Yamedoda, hivyo wanatafuta gia ya kuingilia, but at what expense?, wengine kazi zetu bila umeme hufanyi, na huwezi kutumia generator, too expensive!alafu January anataka tumpe urais wakati kapewa wizara tu ameanza ku abuse.huyu kijana hafai kabisa ana create mgao kama kipindi cha ngereja kwa manufaa yake
Mshenxi kweli huyo jamaa, yaaani anatuhujumu hivi??!!!!!litamgalimu sana niemongea na watu kule kwenye bwawa la nyerere wanasema winchi lipo na iyo milango ipo January anahujumu taifa
Hata Kiranja wa darasa hafai, mhujumu wa nchiMakamba hafai hata kuwa mtendaji wa mtaa
Wazir serikal ndiyo inatakiwa kusema siyo Tanesco wala mkurugenzi wa TPDCTANESCO wawe wawazi tu. Kuliko kukaa kimya na kutokutoa taarifa yoyote ile kwa umma.
Tatizo siyo mgao...tatizo wamewahi sana kuleta mzigo wa majenereta....sasa kitimtim ni kwetualafu January anataka tumpe urais wakati kapewa wizara tu ameanza ku abuse.huyu kijana hafai kabisa ana create mgao kama kipindi cha ngereja kwa manufaa yake
We subiri
Maji*****Gesi?????Hapa sasa mumeeleweka.View attachment 2015264