TANESCO isifiche kuhusu mgao wa umeme

TANESCO isifiche kuhusu mgao wa umeme

Kwani ulikuwa humsikii alivyokuwa anamwaga live, pia uwe unajibu hoja siyo kumuataki mtu alaaah
Lini alisema ali mteka mtu na wapi?Bahati nzuri siku hizi kuna YouTube na hotuba zake zote zipo (UTV,TBC,Millard Ayo nk) hebu niambie alisema lini?
 
Sasa nani kakuattack wakati umeongea mwenyewe, nami nataka kujua wewe si umesema "anamwaga live....." ,mimi nataka uniambi lini na wapi au na ww walewale aka nilisikia bin kusimuliwa then ukalibeba kama lilivyo.
 
Lini alisema ali mteka mtu na wapi?Bahati nzuri siku hizi kuna YouTube na hotuba zake zote zipo (UTV,TBC,Millard Ayo nk) hebu niambie alisema lini?
Ulisikiliza ripoti ya makinikia vzr, ametaja vzr tuu
 
Ulisikiliza ripoti ya makinikia vzr, ametaja vzr tuu
Wapi weka video hapa?
Halafu mnawa singizia sana usalama, jamaa wanaifanya kazi yao vizuri, tatizo linabaki kwa kiongozi wenu msomaji wa hizo ripoti, je anafuatilia hizo ripoti. Yeye mwenyewe wakati anakabidhiwa madaraka akadai, yy si mfuatiliaji mzuri kama marehemu.

Magu ripoti za TISS alikuwa anazilia msuli kama PCM wa kipindi hicho, wanamjua jamaa alikuwa anakesha ofisini, je mama uwezo wa kupiga msuli kama wa Magu anao, acheni kuwalaumu TISS kazi yao wana itimiza, tatizo ripoti zao hazisomwi.
 
Hii katika katika ya umeme ni kiboko inakumbusha enzi za Mkapa na Kikwete. Rais Samia angalau uturudishie Kalemani Kama naibu waziri wa Nishati akapambane na TANESCO, wamerelax sana baada ya mtu huyu kuondoka. Umeme umekuwa Kero. Makamba aendelee kuwa Waziri na ajikite kwenye mafuta kalemani awe naibu ajikite na umeme
Na tuelezwe wazi huyo Kelemani alifukuzwa kwa tuhuma gani.

Kama kaondolewa kimkakati ili watende haya wanayotutendea sasa, wanyamaze ili kila mTanzania awe na jibu lake mfukoni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeme ukirudi unaskia watoto uko nje "UOOOOOOOO..."

Dah, mama anaturudisha mbali sana
 
Makamba ni worst . Sasa tunaelewa kwanini JPM hakutaka hawa watu kwenye serikali yake. Hawajali maslahi ya watu wa chini. Wengine hatuna uwezo wa kununua majenereta na tuna biashara zinazotegemea umeme. Mungu turehemu na viongozi hawa. Tutafutie viongozi wazalendo
Eti ndio watu wanasema agombee urais huyu huyu makamba...! Sijaona mtu hapo. Ni mbinafsi,mitego yake yote ni ksbb zake binafsi tu,si kwa maslahi ya wengi. Magufuli alikuwa anaona mbali sana yule mzee. Alikuwa hataki kuremba
 
alafu January anataka tumpe urais wakati kapewa wizara tu ameanza ku abuse.huyu kijana hafai kabisa ana create mgao kama kipindi cha ngereja kwa manufaa yake
Huyo jamaa hkyanani hata akipewa nafasi ya kugombea nahama nchi
 
alafu January anataka tumpe urais wakati kapewa wizara tu ameanza ku abuse.huyu kijana hafai kabisa ana create mgao kama kipindi cha ngereja kwa manufaa yake
Inawezekana kuna majenereta ya Symbion yapo bandarini Yamedoda, hivyo wanatafuta gia ya kuingilia, but at what expense?, wengine kazi zetu bila umeme hufanyi, na huwezi kutumia generator, too expensive!
 
TANESCO hawana aibu kabisa...yaani hapa ndo tutamkumbuka yule mzee wetu pamoja na mapungufu yake lkn kuna nyanja alikua vizuri sana.Hivi taifa zima ni mgao kimyakimya..lkn hakuna hata kiongozi mmoja aliyejitokeza walau kuelezea nini kinaendelea, Bunge ndo hivyo..kama sehemu ya serikali tu....

Tuna viongozi wa ajabu sana kwenye taifa letu
 
alafu January anataka tumpe urais wakati kapewa wizara tu ameanza ku abuse.huyu kijana hafai kabisa ana create mgao kama kipindi cha ngereja kwa manufaa yake
Tatizo siyo mgao...tatizo wamewahi sana kuleta mzigo wa majenereta....sasa kitimtim ni kwetu
 
Hapa sasa mumeeleweka.
JamiiForums841811697.jpg
 
Ingalikuwa ni enzi za zamani zile za msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Ili kukabiliana na uhaba huu wa maji, wananchi wangalihimizwa kufunga na kusali na kuomba kwa siku tatu kupitia imani zao, ili Mola wao akapate kuwasaidia.

Naamini kwa imani hii ya hali ya juu ingaliweza kufanya kazi kwa 100% vile kama ilivyokuwa dhidi ya tishio la UVIKO 19. Natambua JPM alizingatia nukuu ifuatayo kutoka katika maandiko matakatifu;

Mathayo 7:7-9

“Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtapata; bisheni mlango, nanyi mtafunguliwa. Maana, yeyote aombaye hupewa, atafutaye hupata, na abishaye mlango hufunguliwa. Je, kuna yeyote miongoni mwenu ambaye mtoto wake akimwomba mkate, atampa jiwe?
 
Back
Top Bottom