mbenge
JF-Expert Member
- May 15, 2019
- 4,864
- 10,483
- Thread starter
- #21
Inampasa kuelewa kuna tofauti kubwa kati ya JPM kama mtu binafsi, na JPM kama kiongozi wa taasisi nyeti ya urais aliyoiongoza. Ni lazima azingatie na kufuata miradi ya kimkakati ambayo JPM alitembea nayo katika kipindi alipokuwa madarakani.litamgalimu sana niemongea na watu kule kwenye bwawa la nyerere wanasema winchi lipo na iyo milango ipo January anahujumu taifa
Kama ana hoja kinzani ni vyema angeipenyeza kupitia marafiki zake waliopo vyama vya upinzani na wala si wale waliopo ndani CCM na kuonekana waliathiriwa katika utawala uliopita. Ukiangalia kwa jicho la tatu, utaona kabisa hata timu ya wateule wake, wengi wao ni wale waliowekwa kando ktk awamu ya JPM.
Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app