WAPEWE DP WORLD TUMEAMBIWA WANA UWEZO MKUBWATanesco wanafeli Sana nadhani wangejitokeza competitors wengine ingekuwa poa
Giving a Dog a Bad Name...., Lawama hizi ziwafikie Makamba na Mwenzake MaharageTanesco wanafeli Sana nadhani wangejitokeza competitors wengine ingekuwa poa
Solar panel ndio yenyewe na jua hili bila tabu kabisaTanesco wanafeli Sana nadhani wangejitokeza competitors wengine ingekuwa poa
Njombe tuna thermo energy toka TANWAT na min Hydro toka kwa Pwagu, Uwemba na Kipengere hatuna wasiwasi tunatembea kifua mbereUmeme utakuwa wa mgawo kwa Saa 12 kuanzia Saa 1 Jioni hadi 12 Asubuhi huku Mikoa ya Njombe, Ruvuma na Mbeya ikitarajiwa kuathirika
Hivi hizi habari huwa mnazipataga wapi?Tunajua hizo ni ajenda za wenye fedha kuzima umeme ili wauze mafuta, majenereta kwa wingi...msije sema sikuwaambia ...zoezi hilo litakua ni endelevu kwa miezi isiojulikana.....RIP Magufuli enzi zako tulisahau giza
ππππ Ninashangaa sana mkuu. Nimesoma huu Uzi nikaona waathirika wa mwanzoni kumbe mwishoni Shinyanga na GeitaYaani kila mgao Shinyanga na Geita hazikosi
Tuwape Dp worldTanesco wanafeli Sana nadhani wangejitokeza competitors wengine ingekuwa poa