Nguzo haiuzi bali inalipiwa pamoja na gharama ngingine tafadhali pitia gharama kwenye picha tuliyokutumia
Tunaomba namba yako ya simu na iina la mteja husika tulifangie kaziKuna dukuduku ninalo juu ya tanesco but nahitaji mchanganuo kuna kuna mchango ulipita wa kuvuta umeme kutoka Ailanga seminary iliyoko usa river mpaka Ngurdoto kwa mchungaji mmoja hivi na mchango ulikuwa elfu hamsini na kuna watu wakikuja fanya survey but mpaka now ni kama miaka mitatu hakuna dalili yeyote labda mtujuze shida ni nini tanesco
Kwa mujibu wa mkataba wa huduma kwa wateja mteja anatakiwa kabla hajahamia au kupangisha au kununua nyumba atoe taarifa TANESCO ili tumuangalizie usalama wa anapoingia vinginevyo anabeba mzigo ulioachwa na aliyeondokaNAOMBA UTARATIBU ..MFANO MIE NIMENUNUA NYUMBA LAKINI BAADA YA MIAKA KADHAA TANESKO WAKAGUNDUA NYAYA ZAO ZILICHUBULIWA KWA MAANA YA KITAMBO KUNA MTUMIAJI AMEWAH KUHUJUMU TANESKO
.SASA CHA KUSHANGAZA NAAMBIWA KULIPIA 480.000 ETI NI GHARAMA ZA UKAGUZI NA KUWEKA WAYA MWINGINE ..KWA HALI ILIVYO NGUMU NILIWAWEKA WAPANGAJI WANGU ZAIDI YA MWEZI BILA UMEME NIKIDHAN TANESKO WATA LEGEZA..KIUKWELI NIMELIPA HIYO PESA ILA IMENIUMA HALI NI NGUMU NA NI UNYANYASAJI USIO NA MFANO..NADHANI SI HAKI TUNAONEWA SANA HUKU MIKOANI
Tunaomba namba yako ya simu na iina la mteja husika tulifangie kazi
+255 783 206 037
Mkoa.. wilaya.. eneo... namba ya simu tafadhaliAlafu nyie tanesco.
Shida nini mbona umeme mnakata ovyo ovyo. Jana usiku mzima mmekata mpaka asubuhi ya Leo.
Mida ya saa 4 mmekata tena mpaka saa 12 jioni.
Sasa hivi mmekata tena. Tatizo nini?
KAMA HAMNA MAJIBU FUTENI HUU UZI WENU. HAUNA FAIDA.
Mkuu kama hakuna mgao ni nini kinaendelea maana bagamoyo town tumeshinda siku nzima hamna umeme umerudi jioni aiabu ninavoandika hivi nipo gizani ebu muwe mnatoa basi hata tangazo watu tujiandae mnafanya watu tunaenda na tshart kazini kisa tumeshindwa. Kunyoosha nguo sababu umeme hamnaHakuna mgao wa umeme Mteja
Bagamoyo nzima. NAMBA YA SIMU SINA.Mkoa.. wilaya.. eneo... namba ya simu tafadhali
[emoji1] [emoji1] [emoji1] . Umerudi. Ila siamini Kama umerudisha weweMkoa.. wilaya.. eneo... namba ya simu tafadhali
Tumeipokea mkuu tunaifatiliaJamani ivi TANESCO Busega mmejipanga kweli? Naomba makao makuu tusaidieni, hatuoni sababu ya kusubiri ujio wa Rais.
Nimelipia Meter wakanyamaza kimya nimejaribu kufatilia wanasema vifaa havipo.
Sasa nashindwa kuelewa ni vifaa au wanataka kitu kidogo? Maana hata Survey walikuja baada ya kuripoti makao makuu.
Jamani tusaidieni.
Jina la Mteja: George Francis
0752 268 396
Umeme unakatakata mwanza saa hii Hamna umeme whats wrong with u guys!Tumeipokea mkuu tunaifatilia