TANESCO fungukeni wapeni wananchi maelezo,kwa nini mnanyamaza kimya?

It's for whose interest Muhaji come forward, Watanzania wanataka kujua, kuna nini? Hata Morogoro hali ndio hiyo hiyo, umeme unakatika saa mbili, unarudi saa kumi mbili.
 
Mkolomije huyo Mkuu na unamjua huyu dikteta uchwara na wakolomije wenzie hawezi kumgusa. Alistahili kufukuzwa kazi pamoja na Muhongo lakini uchwara alivyo mbaguzi na ndumilakuwili hakumgusa.

Ni aibu kwa waziri anayehusika,tangu prf mhongo aondoke imekuwa shida
 
Kumbe mitaa yafanana.
Jana mbezi beach hapa niishipo umekatika saa 1 asubuhi, ukarudi saa 3.
Saa 2 usiku ukakatika.... Sijui hata ulirudi saa ngapi....
Leo kariakoo umekatika saa 4 hadi Sasa bila bila..

uchumi wa kati na tanzania ya viwanda ndio sera yetu....
 
Kumbe mitaa yafanana.
Jana mbezi beach hapa niishipo umekatika saa 1 asubuhi, ukarudi saa 3.
Saa 2 usiku ukakatika.... Sijui hata ulirudi saa ngapi....
Leo kariakoo umekatika saa 4 hadi Sasa bila bila..

uchumi wa kati na tanzania ya viwanda ndio sera yetu....
 
*SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)*

*TAARIFA YA KUANZA KUREJEA KWA UMEME *

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu Wateja wake kuwa umeme umerejea katika Mikoa yote Saa 07:11 Mchana isipokuwa Mkoa wa Mbeya kutokana na hitilafu iliyopo katika njia ya Mufindi.

Tutaendelea kutoa taarifa zaidi.

Shirika linaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza.

Tafadhali usishike wala kukanyaga waya uliokatika au kuanguka

Kwa mawasiliano zaidi

Tovuti: www.tanesco.co.tz

Mitandao ya Kijamii
www.facebook/tanescoyetultd
twitter.com/

Imetolewa na:-
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu

01/12/2017
 
Mbona mkikata hamsemi?
 
Tutengeneze viwanda vya kulima tu basi vingine tuwaachie wazungu
 
Ningekua waziri wooote nafukuza wafanyakazi wa tanesco nawatia bann msiajiliwe kokote mteseke
 
Huu nimwanzo tu, kamaserikalihii haitajirekebishamambo yataharibika zaidi mpakakwenye uchumi mzima wa nchi.
 
Ilaumiwe serekali; na si Tanesco, wao Tanesco hawafanyi manunuzi ya mitambo bali serekali. Pia umeme ni mgawo ila wamenyimwa kutangaza kwamba ni mgawo.
 
Ni taarifa ipi ambayo hujaipata. Tanesco wametoa taarifa za hitilafu za umeme wewe unasema huna taarifa. Jitahidi kufuatilia taarifa sahihi katika ofisi za mkoa wako.
 
Ni taarifa ipi ambayo hujaipata. Tanesco wametoa taarifa za hitilafu za umeme wewe unasema huna taarifa. Jitahidi kufuatilia taarifa sahihi katika ofisi za mkoa wako.
 
Hamna lolote nyinyi,
Acheni usanii bana,
Hitilafu kila siku??
Bora mbomolewe tu pale Ubungo tujue moja,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…