Bora wasiurudishe kabisa tu kama lengo lenyewe ndo hilo angalau kama akili zinaweza kuwarudia japo kidogo!
 
Ndugu mpendwa mteja
Tunakuomba radhi sana pamoja na hayo tunakujulisha kuwa kuna kipindi cha mvua hivyo hitilagu zikiwa nyingi tunahudumia kwa kwanza kutoa taarifa wa kwanza kufanyiwa kazi

Mjifunze customer care. Jitahidini kumlizisha mteja kwa kauli na ahadi mnazompa pia mtambue kila mteja wenu kwenu ni muajiri.

Lakini pia ukishakubali kuwa Meneja wa kituo jaribu kupokea simu na kumuattend mteja inawezekana hakulidhika na majibu ya vijana wako. Unapoona hilo ni gumu kwako omba kupumzika au kufanya kazi chini ya mtu. Cheo ni dhamana.

We need good service, make sure we get the real value of our money.
 
Tatizo ni umaskini jeuri wetu! Tuwapatie mkataba mpya IPTL, Symbion, mgao utaisha!
 
Poleni kwanza kwa magumu mnayopitia ktk kuhakikisha mnawapatia nishati ya umeme watanzania.

Tangu nimeanza kupata akili mpaka sasa naufukuzia muongo wa tatu ktk maisha yangu sijawahi kuona mwaka umepita bila matatizo ya umeme nchini kwetu hii nadhan sabab za msingi mnazo wenyew maana mara nyingi huwa znafanana sasa sijui kwanini hamzitibu kikamilifu.

Kuanzia mwisho wa mwezi wa 11 tumeshuhudia kukatikakatka kwa umeme katika maeneo mengi sana kupelekea wananchi kupata hasara kwa namna moja au nyingine.

Ninachowashangaa sana ni kwanini hamtoagi taarifa ya kueleweka kwamba tatizo liko hivi na litatuliwa baada ya muda kadhaa kiasi kwamba mkatufanya wananchi tuwe aware na huo usanii wenu. Wiki iliyopita nimeenda ferry nimechukua misamaka kibao kutia kwenye friji ili inisukume sukume leo hii imeshaoza maana umeme hamna na ukirud unakuja lisaa limoja unakatka.

Ukiachilia samak wangu vitu vingi vilivyokua kwenye friji vimeharibika dah. Sio mimi tu watu wengi wanalia the same issue. Badiliken mnatuumiza jaman dah!!!
 
Kama mtaalamu wa Mambo ya technology leo nimekuja na Ushauri Huu kwa Tanzania electrical supply company(TANESCO)
Umeme sio luxury miaka hii, Umeme ni hitaji la lazima la binadamu kwa sasa yani basic need, Tunahitaji Umeme kusonga mbele kuendesha Viwanda, Kuhifadhi vyakula na Asilimia kubwa ya biashara kama sio zote zinahitaji umeme, Tunahitaji umeme kuwasiliana,Tunahitaji umeme Kuwa updated Yani umeme ni hitaji ambalo tunalihitaji moja kwa moja bila Ubabaishaji.

Shirika letu TANESCO linazalisha wastani wa MW 1740 Kwa sasa kupitia Thermal na Hydro na Heavy fuel Oil, MW hizi si toshelezi sana ila zinatufaa huku tukisubiri project kubwa kama za singinda Wind na ingine uko ruvuma ya hydro. Umeme unapitia stage tatu mpaka kumfikia end user yani consumer kuna Generation, Transmission na Distribution kati ya hao watatu mwenye shida sana ni Distributor watu wa Generation na Transmission wako firm sana kuanzia miundombinu, Nikisema Transmission hapa nazungumzia Grid yani interconnection kati ya mikoa na mikoa kupitia msongo wa kuanzia 66kv mpaka 220Kv, Hao unaona ata usafirishaji wao wa energy hii hutumia Metal tower kitaalamu tunaita Pylons hizi nguzo za Chuma ni very strong na ni ngumu kupata Breakdown kwenye hizi grid.

Distributor hapa ndio unawaface zaidi wale local tanesco wa wilaya wao wanachukua power kutoka ktk substation na kutupa sisi end user hawa wana miundo mbinu mibovu mno Line zao huanzia 33 na 11 Kv na ni za mbao, kweli kabisa tunasafirisha umeme na nguzo za mbao??? Unafukia mbao kwenye udongo nini unategemea ni bora tuingie gharama kubwa ya Kujenga nguzo za Zege kwa line za 11 na 33kv kwanza pia 11kv kwa sasa tuziache hazina efficiency tutumie 33kv tupu kwa local feeders na Ziwe structured na concrete yani Zege Hii itaondoa Temporary breakdown na replacement tunazofanya frequently kwenye Wooden pole,

33kv zikishakuwa scattered kwenye lets mkoa au wilaya basi LV line tutumie Insulated cable na mtaani zikatize Metal Pole yani Viguzo vidongo vya Chuma kwa ajili ya kubeba LT cables huku tukiangalia future ya underground ambapo ndio inatumika ktk developed countries kwa miji iliyopangika basi tuanze ku implement Underground system kabisa nakumbuka former Minister of Energy and minerals Hon Sospepter muhongo alisema kufikia kipindi fulani hatutaona cable hata moja Juu kwa Dar es salam all electrical system will be undergrounded hii alitamka waziri alietoka hivo hali iendelezwe na aliyopo sasa.
 
Tanesco kulikoni mlifika Eneo la Igombe B mkagungua Eneo kubwa la Mtaa huu hatujafikiwa na huduma ya umeme ,Mkaanzisha kanda Igombe c mkadai tutapata huduma ya umeme sio mda mrefu yapata mwaka na miezi kimya umetuachaje gizani hatujaletewa huduma ya umeme?
 
Hadi muda huu @19:18
Tanesco wamegoma kurejesha umeme wao yaani vurugu tupu sijaingiza hata 100 tangu asubuhi

Ifike muda sasa TANESCO waweke mikataba baina ya wateja na wao
Nimelipia units za kutosha kwenye mita yangu nikiamini sasa kazi tu nisidaiwe na TANESCO kumbe wameniingiza mkenge

OMG
 
TANESCO , kwa hivyo umeme tutegemee kurudi saa ngapi(nipo Dar)? Mngeweka utaratibu wa kutoa updates mara kwa Mara ili mtuwezeshe wateja wenu ku plan shughuli zetu.
 
Shukrani
 

Utakua umelogwa! Mtafute mtaalamu wa kimila
 
Nimenunua umeme lakini sijapata token:-

Namba ya simu :- 0765371753
Namba ya mita:- 54130511071
Kiasi:- 9100/=
Tarehe 03/12/2017
 
Nimenunua umeme lakini sijapata token:-

Namba ya simu :- 0765371753
Namba ya mita:- 54130511071
Kiasi:- 9100/=
Tarehe 03/12/2017
Tumeipokea kuifatilia
 

Hivi shinyanga tatizo ni nini mgao au maana imekuwa too much
 
huku kwetu hawajakata toka jumamosi hata hivyo tumehenya Mby
 
Daaah!!! Hakuna kitu mnakera kama kukata umeme vyuoni na mkiwa mnajua hakuna kazi inayoandikwa na mkono huwa mnatuumiza sana na huku mmeptia badliken bhana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…